The Illicit Mc
JF-Expert Member
- Jan 21, 2018
- 469
- 642
Hahahahaaaaa....ndio wewe nini?
ndio huyo huyo aliyekuwa anajifany kibarua magufuli hostel....alivyokuwa anakuj magu alikuwa pemben pembn.
the World is too small
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahaaaaa....ndio wewe nini?
ndio huyo huyo aliyekuwa anajifany kibarua magufuli hostel....alivyokuwa anakuj magu alikuwa pemben pembn.
Alafu sio lazima kila mtu aongee ili na yeye aonekane anajua mbele ya kadamnasi kunyamaza ni busara pia,,angekaa tu kimya kama hajui hayo majukum ya TPDF sio kuwaona useless kama alivyosemaPole itakua ulikosa nafasi ya kujiunga na JWTZ au ulimaliza kwa mujibu wa sheria au mkataba uliisha ukarudi nyumbani.Pole ni kawaida ya watu kama nyie kutukana mitandaoni baada ya kukosa nafasi.
Okay.
Nimejibiwa na mtu aliesema ni mawazo yake. Labda wajuvi watakuja na jibu sahihi zaidi.Wamekujibu??
Nimejibiwa na mtu aliesema ni mawazo yake. Labda wajuvi watakuja na jibu sahihi zaidi.
Nimejibiwa na mtu aliesema ni mawazo yake. Labda wajuvi watakuja na jibu sahihi zaidi.
tiss wamejazana madogo wakina 'Kipara' wanalewa na tu kufany umalaya
Kipara yule alokua president Kwenye serikali ya wanachuo udsm??
Na sijutii kutokuwa mmoja waoNdo mana hukuwa mmoja wao
Ndiye huyo huyo humu anajiita kipara kipya .Kipara yule alokua president Kwenye serikali ya wanachuo udsm??
Hehehhe free idea mawazo huruNimejibiwa na mtu aliesema ni mawazo yake. Labda wajuvi watakuja na jibu sahihi zaidi.
Huu uzi wa moto mmhMada tamu sana hii, mleta mada tulinde tusije tukadakwa humu
Naku note pembeni,,i will deal with yo..TISS ya bongo ni chenga tu....haina madhara yoyote positive kwa nchi bhana....HIDE MY ID PLEASE.....!!!
Hata jkt cjapita ila nafanya kazi nilio ipenda ila hizi kazi za ulinzi ilikuwa plan BPole itakua ulikosa nafasi ya kujiunga na JWTZ au ulimaliza kwa mujibu wa sheria au mkataba uliisha ukarudi nyumbani.Pole ni kawaida ya watu kama nyie kutukana mitandaoni baada ya kukosa nafasi.
Duka gani hapo Mlimani City.Nafurahi Kuona Watu Kama Wewe. Duniani Popote Pale Maarifa Yapo Vitabuni Na Ngozi Nyeupe Wanathamini Sana Hii Kitu Pia Wana Tradition Ya Kutrain Watoto Kuwa Voracious Readers Kama Obama. By The Way Kama We Ni Mdau Wa Dan Brwown Ametoa Kitu Kinaitwa " THE ORIGIN" Kipo Mlimani City 45,000Tsh.
Kipara namjua siyo TISS bali ni jamaa mmKipara yule alokua president Kwenye serikali ya wanachuo udsm??