Upande wa pili wa usalama wa Taifa ukoje?

Upande wa pili wa usalama wa Taifa ukoje?

Pole itakua ulikosa nafasi ya kujiunga na JWTZ au ulimaliza kwa mujibu wa sheria au mkataba uliisha ukarudi nyumbani.Pole ni kawaida ya watu kama nyie kutukana mitandaoni baada ya kukosa nafasi.
Alafu sio lazima kila mtu aongee ili na yeye aonekane anajua mbele ya kadamnasi kunyamaza ni busara pia,,angekaa tu kimya kama hajui hayo majukum ya TPDF sio kuwaona useless kama alivyosema
 
TISS ya bongo ni chenga tu....haina madhara yoyote positive kwa nchi bhana....HIDE MY ID PLEASE.....!!!
 
Pole itakua ulikosa nafasi ya kujiunga na JWTZ au ulimaliza kwa mujibu wa sheria au mkataba uliisha ukarudi nyumbani.Pole ni kawaida ya watu kama nyie kutukana mitandaoni baada ya kukosa nafasi.
Hata jkt cjapita ila nafanya kazi nilio ipenda ila hizi kazi za ulinzi ilikuwa plan B
 
Uzi unafanana na ule wa chanzo kifo cha aliyekuwa makam wa rais serikali ya mkapa
 
Nafurahi Kuona Watu Kama Wewe. Duniani Popote Pale Maarifa Yapo Vitabuni Na Ngozi Nyeupe Wanathamini Sana Hii Kitu Pia Wana Tradition Ya Kutrain Watoto Kuwa Voracious Readers Kama Obama. By The Way Kama We Ni Mdau Wa Dan Brwown Ametoa Kitu Kinaitwa " THE ORIGIN" Kipo Mlimani City 45,000Tsh.
Duka gani hapo Mlimani City.
 
Back
Top Bottom