Upande wa pili wa usalama wa Taifa ukoje?

Yaani wewe upo tayari kwenye wishlist yao endapo utaanza kuropoka waliyoyaongea baada ya kunywa bia 19 kila mmoja[emoji2]
 
Hata ukiiona huwezi kuitambua pili hawana kabisa huo upupu mnaita salary slip na Kama ipo hutaona imeandikwa tiss never wanaweza kutumia code za mfumo wa namba kutambua vote na sub vote biambege mbegebia
Khaaaaaa Yani uone na ushindwe lala Uko
 
Hata ukiiona huwezi kuitambua pili hawana kabisa huo upupu mnaita salary slip na Kama ipo hutaona imeandikwa tiss never wanaweza kutumia code za mfumo wa namba kutambua vote na sub vote biambege mbegebia
Kubali hujui chochote
 
kadri unavo onesha interest ya kutaka kujiunga/kuifahamu hii idara ndivo na wenyewe huzidi kupoteza interest yao kwako


NB
hata humu JF wapo 24/7 wahusika wa kitengo
 
Alikuwa teeth naye
 
Nipe namba zake
 
Nani alikuambia TISS ina-deal na umbea pekee? Nani alikuambia aliowatumbua au kuwafilisi Magufuli basi alikuwa akiwaonea wivu? Wewe ni mhanga wa tumbua tumbua au bomoa bomoa? Wewe ni mhanga wa 'madili'? Wewe ni mhanga wa vyeti feki? Au una ndugu yako alionja joto la jiwe la JPM? Kama ndio, basi una haki ya kubwabwaja.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mimi sio mchumia tumbo mwenzio nina ishu zangu ndugu
 
usalama wa Taifa hawaajiri kama unavyofikiria,ukidanganyika ukatoa hela jua mwelevu kala cha mjinga,hiyo idara inatafuta watarajiwa from the core,wanachimbua na kukujua tangu utoto wako mpaka ulipofikia huko mahala kunahitaji akili kubwa sana na isiyo ya kawaida,na ajira yake haitangazwi kama idara nyingine
 
Usalama wa taifa hawajionyeshi kama hao unaowazungumzia ukiona hivyo basi jua ndo hao wanaopigiwa pande na jamaa zao ili hali akili zao sio very bright na hawana mlango wa 6 wa ufahamu
 
Na kwa kuongezea pia hata viongozi wenye madaraka huko JWTZ na taasisi nyingine kama mkuu wa Brigedi au kikosi jeshi flani wanakuwaga ni TISS
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…