Upande wa pili wa usalama wa Taifa ukoje?

Upande wa pili wa usalama wa Taifa ukoje?

Wengi wanaishia kwenye Pombe na Umalaya tu.Kuna kipindi nilikua na wakuu wakitengo maeneo flani walinchukua tukatembee nipate kujua maeneo kidogo ila cha kushangaza walipiga bia kama 19 kila MTU ila mmoja alizidiwa na kuanza kuropoka mission zao na majukumu waliyoyakamilisha Nilijifanya siwaelewi ila mmoja akabadili story kwa staili yaaina yake by that time nilikua napata soft drinks na kiepe changu.Mpaka sasa mmoja ananitaftaga sana kunifanya niwe karibu
Yaani wewe upo tayari kwenye wishlist yao endapo utaanza kuropoka waliyoyaongea baada ya kunywa bia 19 kila mmoja[emoji2]
 
Hata ukiiona huwezi kuitambua pili hawana kabisa huo upupu mnaita salary slip na Kama ipo hutaona imeandikwa tiss never wanaweza kutumia code za mfumo wa namba kutambua vote na sub vote biambege mbegebia
Khaaaaaa Yani uone na ushindwe lala Uko
 
Hata ukiiona huwezi kuitambua pili hawana kabisa huo upupu mnaita salary slip na Kama ipo hutaona imeandikwa tiss never wanaweza kutumia code za mfumo wa namba kutambua vote na sub vote biambege mbegebia
Kubali hujui chochote
 
kadri unavo onesha interest ya kutaka kujiunga/kuifahamu hii idara ndivo na wenyewe huzidi kupoteza interest yao kwako


NB
hata humu JF wapo 24/7 wahusika wa kitengo
 
Kuna mmoja babake mkubwa aliwahi kuwa mkuu wa kitengo pale kijitonyama alivyotoka masomoni babake akampenyeza sehemu pale mjini kwenye kishirika cha serikali jamaa kila siku yeye ni kuchange magari na anatembea na bastora full mashauzi nowdays katupwa huko mbeya nimemkuta juzi na mark2 box kajichokeaaaaa.nikamkumbusha zile misele akaishia kusema wewe acha tuu. Ngosha alivyoingia kapandikiza watu wake ka kanda ya ziwa tu huko wengine tupa kule.
Alikuwa teeth naye
 
Kuna demu nilikuwa napiga ila yuko vizuri kimaisha na alikuwa anafanya kazi posta ofisi sijui kumbe ni katiss aise kilichokuwa kuwa kinanikera nikupenda kuongea na simu mida ya jioni kwa muda mrefu sanaa halafu akiwa pekee.yake basi hiyo tabia ikawa inanikera banaa nikamwambia anachekacheka basi ananipoza maisha yanaendelea ssiku moja tumelala nikajifanya nimelala kumbe namcheki akaingiza password za simu nikazinakili.kumbe mwaka wKe wa kuzailiwa siku moja anaenda kuoga nikaifungua simu daa pekupekua maagizo kibao maa taariifa za ajabu ajabu mengine wanawasiliana kwa code...kwa mfano kuna moja nilikuta sms inasema wasilian na kobe akupe mguu wa kuku kesho na kazi sehemu. Hhheee nikakausha nikawa napeleleZa.mengine siyaeliwi kutoka na lugha zao basi siku nilimwambia na ndo siku alinitumia sms ya kuachana namii nami kwakuwa nilikuwa napiga kisela nikajisemea powa mpaka sijamuona sijui yuko wPi. Hii sio kazi kabisaa.
Nipe namba zake
 
Kazi za kipuuzi sana hizo ,yaani ukahangaike na watu walio na kipato kisa wivu, angalia jinsi mwendazake alivyowatumia hao jamaa kuumiza wenzao kisa wivu. Kazi ambayo haiumizi watu haionei watu wivu na wala haina kusingiziana umbea na urogaji hiyo ndio kazi. Kiufupi fanya biashara zako kula hela yako usifuatilie maisha ya watu hapo umeyapatia
Nani alikuambia TISS ina-deal na umbea pekee? Nani alikuambia aliowatumbua au kuwafilisi Magufuli basi alikuwa akiwaonea wivu? Wewe ni mhanga wa tumbua tumbua au bomoa bomoa? Wewe ni mhanga wa 'madili'? Wewe ni mhanga wa vyeti feki? Au una ndugu yako alionja joto la jiwe la JPM? Kama ndio, basi una haki ya kubwabwaja.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nani alikuambia TISS ina-deal na umbea pekee? Nani alikuambia aliowatumbua au kuwafilisi Magufuli basi alikuwa akiwaonea wivu? Wewe ni mhanga wa tumbua tumbua au bomoa bomoa? Wewe ni mhanga wa 'madili'? Wewe ni mhanga wa vyeti feki? Au una ndugu yako alionja joto la jiwe la JPM? Kama ndio, basi una haki ya kubwabwaja.

Sent using Jamii Forums mobile app
mimi sio mchumia tumbo mwenzio nina ishu zangu ndugu
 
usalama wa Taifa hawaajiri kama unavyofikiria,ukidanganyika ukatoa hela jua mwelevu kala cha mjinga,hiyo idara inatafuta watarajiwa from the core,wanachimbua na kukujua tangu utoto wako mpaka ulipofikia huko mahala kunahitaji akili kubwa sana na isiyo ya kawaida,na ajira yake haitangazwi kama idara nyingine
 
Wengi wanaishia kwenye Pombe na Umalaya tu.Kuna kipindi nilikua na wakuu wakitengo maeneo flani walinchukua tukatembee nipate kujua maeneo kidogo ila cha kushangaza walipiga bia kama 19 kila MTU ila mmoja alizidiwa na kuanza kuropoka mission zao na majukumu waliyoyakamilisha Nilijifanya siwaelewi ila mmoja akabadili story kwa staili yaaina yake by that time nilikua napata soft drinks na kiepe changu.Mpaka sasa mmoja ananitaftaga sana kunifanya niwe karibu
Usalama wa taifa hawajionyeshi kama hao unaowazungumzia ukiona hivyo basi jua ndo hao wanaopigiwa pande na jamaa zao ili hali akili zao sio very bright na hawana mlango wa 6 wa ufahamu
 
Mnabishana kitu kidogo sana, yuke Boss aliyefichuliwa na jiwe kwamba ni TISS mnamkumbuka ? Yule ni polisi na kazi yake huko ilikuwa ni kuoeleka taarifa kwa jiwe kuhusu polisi kwa mfano askari fulani amefanya hivi nk. Hao wapo hadi TPDF na kazi yao ni kupeleka taarifa kwamba mkuu wa sehemu fulani amefanya jambo fulani au jeshi linafanya hivi nk
Kwa kifupi hadi jeshi la mgambo kuna TISS,wamewekwa majeshini kuhakikisha wanazima majaribio ya mapinduxi na kuwachomea ma boss wauza silaha nk. TiSs ni wambea na kazi yao ni kufanya umbeya so usidhani eti wakiwa JWTZ hawatoi siri za jeshi. Wapo maafisa wa TISS hadi ulaya,congo,uganfa nk.pale Uganda wakati vita ndio imeanza kuna askari wa TISS walitumwa UG ila mmoja alidakwa akauliwa,walimshtukia coz alijidai chizi so akaanza kufuatiliwa
Afu hoja yako eti TISS akichunguza jeshi atauwawa ni dhaifu sana, nani wa kumuua ? Unajua hadi askari wa jeshi kuuwawa ni mpaka atiwe hatiani na mahakama ya kijeshi ? Sasa mtamuhukumu kumuua mtu aliyetumwa na amiri jeshi mkuu ?. Na unadhani kumjua ni rahisi ? Nakupa mfano hapo Congo jeshi liliunda mpango wa kumuua rais ila akatonywa na watu wake wa usalama ndani ya jeshi
Na kwa kuongezea pia hata viongozi wenye madaraka huko JWTZ na taasisi nyingine kama mkuu wa Brigedi au kikosi jeshi flani wanakuwaga ni TISS
 
Back
Top Bottom