Upande wa pili wa usalama wa Taifa ukoje?

Upande wa pili wa usalama wa Taifa ukoje?

TAKUKURU ndio walikuja kiwazi ila mchakato wote ulikuwa chini ya tiss na walikuwa wanalipoti kwa PM na ilifikia kuna demu mmoja alikuwa anatoka na master plan wa huo upigaji alikuwa ni tiss aliyeajiriwa kitambo pale so mtangange ulikuwa hot ikabidi baadhi ya undercover wajioneshe wazi tu
Nasikia waliokuja hapo TPA Kigoma branch ni TAKUKURU sio TISS
 
Apo wakuu inahitaji akili nyingi kuyachanganua haya mambo kati TPDF na TISS ukisha yaelewa hayo unabaki bila swali lolote kwanza 1. TISS_Tanzania Intelligence Social Security
2.TPDF_Tanzania People Defence Force
Ukishaelewa maana ya hizi taasisi huwezi sumbuka nakuchanganikiwa ngoja niishie hapo kwanza najua wajuzi zaidi wataongezea ili nipate funua upande wa pili

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Kipindi cha kagera war Bernard membe jasusi mahiri alikuwa uganda kama muuza spea kwann jwtz wasingetumia watu wao wa MI ?

unajua kuwa MI inaundwa na wanajeshi watupu na unajua ugumu uliopo kutuma mwanajeshi wa nchi A kuingia nchi B ?

mossad ndio wanaodili saana na Iran kwann Israel wasitumie majasusi wa MI ?

unajua kuwa mkuu wa takukuru wa sasa pamoja na kuwa ni mwanajeshi wa jwtz lkn alikuwa ni muajiriwa wa tiss
Muuza spea za nini acha uongo
 
Wanaofanya vetting ya viongozi ambao wanahudumia raia kama mawaziri up to rais. Makatibu wa wizara ma dc.. wale ni vetting ya TISS.
Umetolewa mfano wa diwani.. kwa polisi inawezekana maana wao ni paramilitary element.

JWTZ ni main component nchini ambayo ni full military component.
Wana vitengo vyao. Ni kiongozi mmoja tu huwa anafanyowa vetting na TISS ambae anakuwa general.
Chini ya hapo wengi wanafanyiwa vetting na kamati maalumu ya uongozi jeshini.
Ndani ya hii kamati vina include component zote za majeshi.. from Infantry.. airforce..navy.. nationa service.
Hawa generals.. wanakuwa na info zote kuhusu mujisika. Then wanamjadili kwa siku kadhaa kambla ya kuruhusu kuteuliwa au kupandishwa cheo cha juu kabisa.
Military sio dumb mpaka wasimamiwe na TISS. Wenyewe wana ji manage. Na wana experience na uwezo huo.
Diwani ni mkuu wa takukuru?
 
Unabishana na ukweli uliopo,TISS ndio kila kitu katika nchi hii.TISS ina dhamana kubwa sana tofauti na tunavyowachukulia,ingelikuwa mimi ndio mkulu mlolongo wa vyombo vya ulinzi na usalama nchini ungalikuwa;
-TISS
-JWTZ
-PT.
Hawa jamaa wanamchango mkubwa sana ndio maana hata mishahara yao ni mikubwa kuliko taasisi yoyote ya ulinzi na usalama.
kila chombo kina play part yake. TISS hawezi kufanya kila kitu.
TISS ni intelligence agency..
JWTZ ikiwa na main military component nchini.
hata TISS wenyewe sio main military.. ni paramilitary kama ulikuwa hufahamu.

huwezi sema wana dhamana kubwa wkt majukumu ya JWTZ huyajui.. polisi huyajui. only juu juu tu. but indeep hawa watu wana vitengo humo ndani vinavyofanya kazi similar to TISS au even efficent zaid to TISS. ita depend na scope ya organization.

sisemi tuwadharau,TISS wana umuhimu wao mkubwa tu.
but kila organization ina play part yake.
wote wanaitumikia Tanzania.
 
TAKUKURU ndio walikuja kiwazi ila mchakato wote ulikuwa chini ya tiss na walikuwa wanalipoti kwa PM na ilifikia kuna demu mmoja alikuwa anatoka na master plan wa huo upigaji alikuwa ni tiss aliyeajiriwa kitambo pale so mtangange ulikuwa hot ikabidi baadhi ya undercover wajioneshe wazi tu
Duuh kumbe kazi ilikuwa nzito hapo ? [emoji16]
 
Apo wakuu inahitaji akili nyingi kuyachanganua haya mambo kati TPDF na TISS ukisha yaelewa hayo unabaki bila swali lolote kwanza 1. TISS_Tanzania Intelligence Social Security
2.TPDF_Tanzania People Defence Force
Ukishaelewa maana ya hizi taasisi huwezi sumbuka nakuchanganikiwa ngoja niishie hapo kwanza najua wajuzi zaidi wataongezea ili nipate funua upande wa pili

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Hapo kuna kimoja kinaweza kumuingia mwenzie huku kimoja hakiwezi kumuingia mwenzie?
 
Hapo kuna kimoja kinaweza kumuingia mwenzie huku kimoja hakiwezi kumuingia mwenzie?
Hapo tumeenda sawa maana hawa TISS wapo takribani kila idara japo huwezi kuwafahamu kwa akili nyepesi mpaka uwe unajua some of their characteristics la sivyo utachemka japo wengine washakalili miwani myeusi na kaunda suit ila hyo haitoshi kuwafaham sababu kila mtu anaweza fanya hvyo lakini Kuna distinct features utawajua kuwa huyu ni was kitengo.ngoja niishie hapo Maana duuh!!!!

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
kila chombo kina play part yake. TISS hawezi kufanya kila kitu.
TISS ni intelligence agency..
JWTZ ikiwa na main military component nchini.
hata TISS wenyewe sio main military.. ni paramilitary kama ulikuwa hufahamu.

huwezi sema wana dhamana kubwa wkt majukumu ya JWTZ huyajui.. polisi huyajui. only juu juu tu. but indeep hawa watu wana vitengo humo ndani vinavyofanya kazi similar to TISS au even efficent zaid to TISS. ita depend na scope ya organization.

sisemi tuwadharau,TISS wana umuhimu wao mkubwa tu.
but kila organization ina play part yake.
wote wanaitumikia Tanzania.
upo sawa kabisa lkn ugumu upo hata jwtz hawawezi kupandikiza mtu(askari wa jwtz) nchi nyingine mfano kuwa daktari au mwanasiasa lkn tiss wanaweza

japo kuna baadhi ya wa Tz nawajua wapo Rwanda na ni wanajeshi huko sidhani kama master plan wa huo mchongo walikuwa ni jwtz
 
upo sawa kabisa lkn ugumu upo hata jwtz hawawezi kupandikiza mtu(askari wa jwtz) nchi nyingine mfano kuwa daktari au mwanasiasa lkn tiss wanaweza

japo kuna baadhi ya wa Tz nawajua wapo Rwanda na ni wanajeshi huko sidhani kama master plan wa huo mchongo walikuwa ni jwtz
Mkuu hawa Tiss wanafungamana kila upande hawana upande maalumu ili kuhakikisha ulama wa nchi upo shwali kila Kona ndo maana kila upuuzi unaofanyika ndani ya nchi haufichiki Unakuta wakulu wanafahamu kila kitu ila tofauti na TPDF na ndo maana (Tiss) unaweza wakuta (TPDF) kwa vivuli ila (TPDF)ni ngumu kuwakuta (Tiss) haya mambo mpaka unaweza changanikiwa hayaeleweki yanaitaji ikili nyingi na mda

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Hapo tumeenda sawa maana hawa TISS wapo takribani kila idara japo huwezi kuwafahamu kwa akili nyepesi mpaka uwe unajua some of their characteristics la sivyo utachemka japo wengine washakalili miwani myeusi na kaunda suit ila hyo haitoshi kuwafaham sababu kila mtu anaweza fanya hvyo lakini Kuna distinct features utawajua kuwa huyu ni was kitengo.ngoja niishie hapo Maana duuh!!!!

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Endelea kutupa somo mkuu, hasa namna gani wanakuwa recruited hasa vyuoni
 
Back
Top Bottom