Upande wenye siasa kali unashinda ndani ya vyama vya siasa

Upande wenye siasa kali unashinda ndani ya vyama vya siasa

Kamundu

Platinum Member
Joined
Nov 22, 2006
Posts
7,823
Reaction score
10,857
Tanzania tujiandae na vuguvugu kubwa sana miaka 3 ijayo. CCM Mama Samia kaamua kuwafuata wenye siasa kali na wanao amini wizi wa kura na matumizi ya Polisi kwenye chaguzi. Upinzani wale wanaopenda maridhiano wanashidwa na upande wenye misimano mikali mfano Mbowe upande wake unapungua nguvu na upande wa Lissu na Heche wa misimamo mikali unapata nguvu kwasababu ya hali halisi.

Sasa msije mkafikiri Lissu na group lake watakuwa barabarani na kuandamana wamegundua njia moja hatari sana. Lissu na timu yake sasa wanafanya kitu kimoja rahisi sana wanabadilisha Watanzania kwenye

1. Watanzania wanaelimishwa na kukubali sasa kwamba hakuna demokrasia na wawakilishi ni batili . Hivyo watawaambia wasishirikiane nao

2. Wananchi wataanza kuchukuwa sheria mikononi wawakilishi hawatakuwa na mvuto na wananchi wenyewe wataanza kufanya fujo mbali mbali. Mfano kuuwa watekaji,

3. Polisi haitakuwa jeshi la raia litakuwa kama jeshi la watawala

4. Umashuhuri wa Mama utapungua pale ambapo watu watakata tamaa na siasa

5. Maridhiano yatakuwa magumu zaidi maana wale watu wa kati watakuwa hawapo watabaki radical pekee

6. Plan ya upinzani ni kubadilisha watanzania kwanza kwa miaka kama mitatu hivi baada ya hapo watawala wataishia pa kwenda na hiyo ndiyo itatokea.
 
Hakuna plan hapo ni domino effects tu.
 
Tanzania tujiandae na vuguvugu kubwa sana miaka 3 ijayo. CCM Mama Samia kaamua kuwafuata wenye siasa kali na wanao amini wizi wa kura na matumizi ya Polisi kwenye chaguzi. Upinzani wale wanaopenda maridhiano wanashidwa na upande wenye misimano mikali mfano Mbowe upande wake unapungua nguvu na upande wa Lissu na Heche wa misimamo mikali unapata nguvu kwasababu ya hali halisi.

Sasa msije mkafikiri Lissu na group lake watakuwa barabarani na kuandamana wamegundua njia moja hatari sana. Lissu na timu yake sasa wanafanya kitu kimoja rahisi sana wanabasilisha Watanzania kwenye mambo mawili

1. Watanzania wanaelimishwa na kukubali sasa kwamba hakuna demokrasia na wawakilishi ni batili . Hivyo watawaambia wasishirikiane nao

2. Wananchi wataanza kuchukuwa sheria mikononi wawakilishi hawatakuwa na mvuto na wananchi wenyewe wataanza kufanya fujo mbali mbali. Mfano kuuwa watekaji,

3. Polisi haitakuwa jeshi wa raia litakuwa kama jeshi la watawala

4. Umashuhuri wa Mama utapungua pale ambapo watu watakata tamaa na siasa

5. Maridhiano yatakuwa magumu zaidi maana wale watu wa kati watakuwa hawapo watabaki radical pekee

6. Plan ya upinzani ni kubadilisha watanzania kwanza kwa miaka kama mitatu hivi baada ya hapo watawala wataishia pa kwenda na hiyo ndiyo itatokea.
CCM Mama Samia kaamua kuwafuata wenye siasa kali na wanao amini wizi wa kura na matumizi ya Polisi kwenye chaguzi.
 
Nadhani bandiko langu kuhusu hii kitu liunganishwa hapa,

Mods pls do us a favor...

Thanks so much for this Kamundu
 
Cha kubadilisha ni kuwa na taasisi imara na wananchi kuwa knowledgeable kuacha kutumika kama platform ya watu kupata kura ili kwenda kula...

Wapinzani na Chama Tawala they are just two sides of the same coin kama tatizo ni ufahamu au lack of wa wananchi yoyote atakayepewa hili gari bovu tegemea the same outcome..., Politicians world wide are out of touch they have become self serving, overpaid, underperforming Prima Donnas.., If anything Taasisi ziachane kabisa na mambo ya siasa na tukicheza Jeshi likichukua ndio niagieni....

 
Back
Top Bottom