Upangaji wa Makao Makuu Dodoma. Nani aliamuru Ikulu izungukwe na Makazi ya Watu?

Upangaji wa Makao Makuu Dodoma. Nani aliamuru Ikulu izungukwe na Makazi ya Watu?

kuna mji umepangwa kama Dodoma hapa Tanzania? upangaji gani unaoongelea? wale watu wa ikulu ni watu wa kawaida tu tena wameomba hata kura kwako na wakimaliza izo kazi watahama ikulu. ungekazana kuongelea maendeleo ya watu masikini huku mtaani badala ya kupambana ikulu ijitenge wakati watu wa ikulu hawana shida kabisa za maisha na yale wanayopitia wananchi hapa hayapo kwao, wewe unapigania ikulu wakati hata ikulu hautakuja kwenda hadi utakapokufa ila ndugu zako huku mtaani wana shida. halafu watu wa ikulu wenyewe wala hawana shida wanaona poa tu ila wewe wa manzese huko unahangaika kama kuku anataka kutaga mayai.
Kama wewe ni Mungu basi sawa hatokuja kukanyaga Ikulu
 
Kwa hiyo hutaki wananchi wajenge karibu na ikulu?wenye Nchi ni wananchi Kwa Nini wasitenge popote?kuhusu kutokea ya Haiti nakupinga.wananchi kuivamia ikulu inatokana na viongozi kujilimbikizia Mali na wananchi kuwakandamiza watakavyo.lakini kama kiongozi anajali wananchi haitatokea mwananchi akaenda kuharibu ikulu.Sasa wewe fikiria bibi chura kawakamua wtz tozokupitia simu halafu yeye na spika hawakatwi hata Senti Moja huo ni uungwana?Au uuze bandari zote za Tanganyika na uache za kwako Zanzibar ni uungwana huo?Kwa me aovu haya ni rahisi mwananchi kuiteketeza hiyo chamwino
 
Back
Top Bottom