Upangaji wa Makao Makuu Dodoma. Nani aliamuru Ikulu izungukwe na Makazi ya Watu?

Wacha wakosee tulpiwe,hayo makosa yanamalengo,walengwa ni wao,mimi na wewe,mbaya kupigwa kimya
Shida haya makosa yanatufanya nchi nzima tuonekane hatuna akili. Mbaya zaidi yanaweza kuja kutugharimu Big time
 
Kama wewe ni Mungu basi sawa hatokuja kukanyaga Ikulu
 
Kwa hiyo hutaki wananchi wajenge karibu na ikulu?wenye Nchi ni wananchi Kwa Nini wasitenge popote?kuhusu kutokea ya Haiti nakupinga.wananchi kuivamia ikulu inatokana na viongozi kujilimbikizia Mali na wananchi kuwakandamiza watakavyo.lakini kama kiongozi anajali wananchi haitatokea mwananchi akaenda kuharibu ikulu.Sasa wewe fikiria bibi chura kawakamua wtz tozokupitia simu halafu yeye na spika hawakatwi hata Senti Moja huo ni uungwana?Au uuze bandari zote za Tanganyika na uache za kwako Zanzibar ni uungwana huo?Kwa me aovu haya ni rahisi mwananchi kuiteketeza hiyo chamwino
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…