Upatikanaji wa Sukari na utulivu wa Bei ya sukari umeimarika sana Chini ya Bashe!

Upatikanaji wa Sukari na utulivu wa Bei ya sukari umeimarika sana Chini ya Bashe!

Paul Alex

JF-Expert Member
Joined
Jul 14, 2012
Posts
4,351
Reaction score
9,838
Wakuu wote salaam!
Kwa wanaonisomaga humu watashangaa Sana nikisimama na Bashe leo kwenye sakata la sukari!

Ila Leo ntasimama nae tena kwa hoja na sio vihoja!

Kwanza kabisa Bashe ni moja ya mawaziri vijana ambaye utendaji wake unapaswa kutufariji vijana na kutupa motisha kuwa tunaweza kugeuza mawazo na matamaanio yetu kuwa vitendo.

Bashe anatuhumiwa kuzipa tenda kampuni ambazo zinasemekana kutokuwa na sifa...
Kwa ufupi kabisa hizo ndio tuhuma.

Sasa maswali ya msingi!
1. Je kampuni hizo zimedeliver? Yani zimetekeleza makubaliano zilizoingia.
JIBU; Ni ndio tena kwa 100%

2. Je kuna wizi wowote ulioonyeshwa na yeyeto anayetuhumu ukianzia na Mpina?
JIBU; Hakuna wizi wa hata senti tano moja mbovu

SASA HIZI KELELE NI ZA NINI?
Kelele ni juu ya rangi ya paka na sio ufanisi wa paka.

Ukiangalia Upande wa Sukari, na hapa ukweli tu Usemwe...kabla ya Bashe hali ilikuwa mbaya Sana!
Nani hakumbuki kilichotokea wakati wa Mwendazake?
Hayo yanayoonekana ni makampuni yenye sifa yalifanya nini?
Kuna sehemu kilo iliuzwa elfu 8 na sukari ikawa haipatikani.
Viongozi wote wa serikali wakaingia mtaani kutafuta sukari na tochi mchana.
Hili hatulikumbuki?

Mnyonge mnyongini ila haki yake mpeni!
Sometimes, na hili mimi naliafiki, Kuna haja ya kuachana na mazoea...Hawa wanaoitwa wakongwe na wenye sifa.. wana-practice za kimazoea. Ndio walafi kupitiliza na ndio shida kubwa ambayo hata mwendazake ilimtoa jasho.
Wanaingiza sukari kweli ila hawajawahi kutosheka na faida. Hata sukari ikiwa hapa bado wanatengeneza 'uhaba/ scarcity' ili tu faida iwe mara dufu.

Sasa Kama Kuna paka mweusi na anakamata panya, shida iko wapi!
Unang'ang'ana na paka mwenye rangi nzuri ili ajisaidie ndani halafu wapeane tano na panya?
 
UMEPEWA SHINGAPI WEWE
ASADSDDS.jpeg
 
Watu washakula hela za wale matajiri 7 eti bashe anaua viwanda vya ndani walitaka sukari iendelee kuwa adimu..

Mama ikimpendeza bashe awe naibu waziri mkuu kabisa
 
K
Hoja zaifu sana!! Zimetekeleza kwa rushwa ya kupata vibali. Uchawa nao kazi kwa sasa Tanganyika.

Hoja zaifu sana!! Zimetekeleza kwa rushwa ya kupata vibali. Uchawa nao kazi kwa sasa Tanganyika.




KAZI ni kipimo cha UTU
Kuna mahali unaweza onyesha hiyo rushwa iliyofanya vibali vikatoka?
 
Sijui hata kama unajielewa, yaani tender ipatikane kwa njia ovu halafu useme hakuna shida kisa tu kwakuwa wamedeliver, je hicho cha juu kilienda kwa nani?
Njia ovu ipi?
Hicho cha juu kilikuwa kiasi gani?
Nani alipewa?
 
Wakuu wote salaam!
Kwa wanaonisomaga humu watashangaa Sana nikisimama na Bashe leo kwenye sakata la sukari!

Ila Leo ntasimama nae tena kwa hoja na sio vihoja!

Kwanza kabisa Bashe ni moja ya mawaziri vijana ambaye utendaji wake unapaswa kutufariji vijana na kutupa motisha kuwa tunaweza kugeuza mawazo na matamaanio yetu kuwa vitendo.

Bashe anatuhumiwa kuzipa tenda kampuni ambazo zinasemekana kutokuwa na sifa...
Kwa ufupi kabisa hizo ndio tuhuma.

Sasa maswali ya msingi!
1. Je kampuni hizo zimedeliver? Yani zimetekeleza makubaliano zilizoingia.
JIBU; Ni ndio tena kwa 100%

2. Je kuna wizi wowote ulioonyeshwa na yeyeto anayetuhumu ukianzia na Mpina?
JIBU; Hakuna wizi wa hata senti tano moja mbovu

SASA HIZI KELELE NI ZA NINI?
Kelele ni juu ya rangi ya paka na sio ufanisi wa paka.

Ukiangalia Upande wa Sukari, na hapa ukweli tu Usemwe...kabla ya Bashe hali ilikuwa mbaya Sana!
Nani hakumbuki kilichotokea wakati wa Mwendazake?
Hayo yanayoonekana ni makampuni yenye sifa yalifanya nini?
Kuna sehemu kilo iliuzwa elfu 8 na sukari ikawa haipatikani.
Viongozi wote wa serikali wakaingia mtaani kutafuta sukari na tochi mchana.
Hili hatulikumbuki?

Mnyonge mnyongini ila haki yake mpeni!
Sometimes, na hili mimi naliafiki, Kuna haja ya kuachana na mazoea...Hawa wanaoitwa wakongwe na wenye sifa.. wana-practice za kimazoea. Ndio walafi kupitiliza na ndio shida kubwa ambayo hata mwendazake ilimtoa jasho.
Wanaingiza sukari kweli ila hawajawahi kutosheka na faida. Hata sukari ikiwa hapa bado wanatengeneza 'uhaba/ scarcity' ili tu faida iwe mara dufu.

Sasa Kama Kuna paka mweusi na anakamata panya, shida iko wapi!
Unang'ang'ana na paka mwenye rangi nzuri ili ajisaidie ndani halafu wapeane tano na panya?
Bashe vijana wake wote wamepewa waraka wa utetezi wenye kufanana kwa kila nukta.
 
Wakuu wote salaam!
Kwa wanaonisomaga humu watashangaa Sana nikisimama na Bashe leo kwenye sakata la sukari!

Ila Leo ntasimama nae tena kwa hoja na sio vihoja!

Kwanza kabisa Bashe ni moja ya mawaziri vijana ambaye utendaji wake unapaswa kutufariji vijana na kutupa motisha kuwa tunaweza kugeuza mawazo na matamaanio yetu kuwa vitendo.

Bashe anatuhumiwa kuzipa tenda kampuni ambazo zinasemekana kutokuwa na sifa...
Kwa ufupi kabisa hizo ndio tuhuma.

Sasa maswali ya msingi!
1. Je kampuni hizo zimedeliver? Yani zimetekeleza makubaliano zilizoingia.
JIBU; Ni ndio tena kwa 100%

2. Je kuna wizi wowote ulioonyeshwa na yeyeto anayetuhumu ukianzia na Mpina?
JIBU; Hakuna wizi wa hata senti tano moja mbovu

SASA HIZI KELELE NI ZA NINI?
Kelele ni juu ya rangi ya paka na sio ufanisi wa paka.

Ukiangalia Upande wa Sukari, na hapa ukweli tu Usemwe...kabla ya Bashe hali ilikuwa mbaya Sana!
Nani hakumbuki kilichotokea wakati wa Mwendazake?
Hayo yanayoonekana ni makampuni yenye sifa yalifanya nini?
Kuna sehemu kilo iliuzwa elfu 8 na sukari ikawa haipatikani.
Viongozi wote wa serikali wakaingia mtaani kutafuta sukari na tochi mchana.
Hili hatulikumbuki?

Mnyonge mnyongini ila haki yake mpeni!
Sometimes, na hili mimi naliafiki, Kuna haja ya kuachana na mazoea...Hawa wanaoitwa wakongwe na wenye sifa.. wana-practice za kimazoea. Ndio walafi kupitiliza na ndio shida kubwa ambayo hata mwendazake ilimtoa jasho.
Wanaingiza sukari kweli ila hawajawahi kutosheka na faida. Hata sukari ikiwa hapa bado wanatengeneza 'uhaba/ scarcity' ili tu faida iwe mara dufu.

Sasa Kama Kuna paka mweusi na anakamata panya, shida iko wapi!
Unang'ang'ana na paka mwenye rangi nzuri ili ajisaidie ndani halafu wapeane tano na panya?
Billion 500 ni ukwasi mrefu unatosha kununua members wote JF waka msifia bashe.
 
Wakuu wote salaam!
Kwa wanaonisomaga humu watashangaa Sana nikisimama na Bashe leo kwenye sakata la sukari!

Ila Leo ntasimama nae tena kwa hoja na sio vihoja!

Kwanza kabisa Bashe ni moja ya mawaziri vijana ambaye utendaji wake unapaswa kutufariji vijana na kutupa motisha kuwa tunaweza kugeuza mawazo na matamaanio yetu kuwa vitendo.

Bashe anatuhumiwa kuzipa tenda kampuni ambazo zinasemekana kutokuwa na sifa...
Kwa ufupi kabisa hizo ndio tuhuma.

Sasa maswali ya msingi!
1. Je kampuni hizo zimedeliver? Yani zimetekeleza makubaliano zilizoingia.
JIBU; Ni ndio tena kwa 100%

2. Je kuna wizi wowote ulioonyeshwa na yeyeto anayetuhumu ukianzia na Mpina?
JIBU; Hakuna wizi wa hata senti tano moja mbovu

SASA HIZI KELELE NI ZA NINI?
Kelele ni juu ya rangi ya paka na sio ufanisi wa paka.

Ukiangalia Upande wa Sukari, na hapa ukweli tu Usemwe...kabla ya Bashe hali ilikuwa mbaya Sana!
Nani hakumbuki kilichotokea wakati wa Mwendazake?
Hayo yanayoonekana ni makampuni yenye sifa yalifanya nini?
Kuna sehemu kilo iliuzwa elfu 8 na sukari ikawa haipatikani.
Viongozi wote wa serikali wakaingia mtaani kutafuta sukari na tochi mchana.
Hili hatulikumbuki?

Mnyonge mnyongini ila haki yake mpeni!
Sometimes, na hili mimi naliafiki, Kuna haja ya kuachana na mazoea...Hawa wanaoitwa wakongwe na wenye sifa.. wana-practice za kimazoea. Ndio walafi kupitiliza na ndio shida kubwa ambayo hata mwendazake ilimtoa jasho.
Wanaingiza sukari kweli ila hawajawahi kutosheka na faida. Hata sukari ikiwa hapa bado wanatengeneza 'uhaba/ scarcity' ili tu faida iwe mara dufu.

Sasa Kama Kuna paka mweusi na anakamata panya, shida iko wapi!
Unang'ang'ana na paka mwenye rangi nzuri ili ajisaidie ndani halafu wapeane tano na panya?
Sawa. Mfikishie hongera zako!!

Tusaidie tu kumkumbusha ajitokeze kujibu hoja za Mpina!! Ni hilo tu mrembo wangu
 
Hawana ushahidi .. mara wanadai serikali imepata hasara ukiwauliza hasara kivipi .. hawajui wala hawasemi
Bashe angewapa hela wenye akili ili wamtetee humu!! Wewe na hao wenzako wawili mmejileta humu kuzidi kumharibia zaidi!! Mmeendelea kuthibitisha kwamba ni kweli alikiuka taratibu ila mmeunganishwa na upumbavu mmoja kwamba sukari imeshuka Bei!! Puumbavu kabisa, mnatunywesha sumu
 
Back
Top Bottom