Upatikanaji wa Sukari na utulivu wa Bei ya sukari umeimarika sana Chini ya Bashe!

Upatikanaji wa Sukari na utulivu wa Bei ya sukari umeimarika sana Chini ya Bashe!

Huu mwingine ni uchawi tu!
Kwani mtaji ukisoma milioni moja hauruhusiwi kufanya biashara kubwa?
Sasa huo ndio udanganyifu wenyewe wewe ukiwa na mtaji wa milioni moja utafanyaje biashara kubwa zaidi ya mtaji wako. Wewe jamaa vipi acha kutetea vitu ambovyo haviwezekani katika hali ya kawaida lazima kuna udanganyifu umefanyika tu
 
Tuache mambo ya kusadikika, Kama Kuna ushahidi wa wizi uwekwe..ila sio mambo ya kudhania. Kwamba itakuwa ameiba..tusiharibu sifa za watu, career za watu kwa chuki tu na husuda.
Bashe ni mwizi kwani unadhani hilo ni siri? Nenda kwa wakulima ameleta uwizi wake unaitwa TMX huko wakulima hawataki hata kuisikia, we endelea kula hizo posho za utetezi mwenzio anaiba mabilioni
 
Wakuu wote salaam!
Kwa wanaonisomaga humu watashangaa Sana nikisimama na Bashe leo kwenye sakata la sukari!

Ila Leo ntasimama nae tena kwa hoja na sio vihoja!

Kwanza kabisa Bashe ni moja ya mawaziri vijana ambaye utendaji wake unapaswa kutufariji vijana na kutupa motisha kuwa tunaweza kugeuza mawazo na matamaanio yetu kuwa vitendo.

Bashe anatuhumiwa kuzipa tenda kampuni ambazo zinasemekana kutokuwa na sifa...
Kwa ufupi kabisa hizo ndio tuhuma.

Sasa maswali ya msingi!
1. Je kampuni hizo zimedeliver? Yani zimetekeleza makubaliano zilizoingia.
JIBU; Ni ndio tena kwa 100%

2. Je kuna wizi wowote ulioonyeshwa na yeyeto anayetuhumu ukianzia na Mpina?
JIBU; Hakuna wizi wa hata senti tano moja mbovu

SASA HIZI KELELE NI ZA NINI?
Kelele ni juu ya rangi ya paka na sio ufanisi wa paka.

Ukiangalia Upande wa Sukari, na hapa ukweli tu Usemwe...kabla ya Bashe hali ilikuwa mbaya Sana!
Nani hakumbuki kilichotokea wakati wa Mwendazake?
Hayo yanayoonekana ni makampuni yenye sifa yalifanya nini?
Kuna sehemu kilo iliuzwa elfu 8 na sukari ikawa haipatikani.
Viongozi wote wa serikali wakaingia mtaani kutafuta sukari na tochi mchana.
Hili hatulikumbuki?

Mnyonge mnyongini ila haki yake mpeni!
Sometimes, na hili mimi naliafiki, Kuna haja ya kuachana na mazoea...Hawa wanaoitwa wakongwe na wenye sifa.. wana-practice za kimazoea. Ndio walafi kupitiliza na ndio shida kubwa ambayo hata mwendazake ilimtoa jasho.
Wanaingiza sukari kweli ila hawajawahi kutosheka na faida. Hata sukari ikiwa hapa bado wanatengeneza 'uhaba/ scarcity' ili tu faida iwe mara dufu.

Sasa Kama Kuna paka mweusi na anakamata panya, shida iko wapi!
Unang'ang'ana na paka mwenye rangi nzuri ili ajisaidie ndani halafu wapeane tano na panya?
Adui mwingine aibuka hivi sasa wa taifa letu. Baada ya uwepo wa maadui watatu wa kihistoria wa nchi, wakitajwa kuwa ni ujinga, umaskini, na maradhi. Sasa adui uchawa naye kaingia rasmi katika orodha hii.
 
Wakuu wote salaam!
Kwa wanaonisomaga humu watashangaa Sana nikisimama na Bashe leo kwenye sakata la sukari!

Ila Leo ntasimama nae tena kwa hoja na sio vihoja!

Kwanza kabisa Bashe ni moja ya mawaziri vijana ambaye utendaji wake unapaswa kutufariji vijana na kutupa motisha kuwa tunaweza kugeuza mawazo na matamaanio yetu kuwa vitendo.

Bashe anatuhumiwa kuzipa tenda kampuni ambazo zinasemekana kutokuwa na sifa...
Kwa ufupi kabisa hizo ndio tuhuma.

Sasa maswali ya msingi!
1. Je kampuni hizo zimedeliver? Yani zimetekeleza makubaliano zilizoingia.
JIBU; Ni ndio tena kwa 100%

2. Je kuna wizi wowote ulioonyeshwa na yeyeto anayetuhumu ukianzia na Mpina?
JIBU; Hakuna wizi wa hata senti tano moja mbovu

SASA HIZI KELELE NI ZA NINI?
Kelele ni juu ya rangi ya paka na sio ufanisi wa paka.

Ukiangalia Upande wa Sukari, na hapa ukweli tu Usemwe...kabla ya Bashe hali ilikuwa mbaya Sana!
Nani hakumbuki kilichotokea wakati wa Mwendazake?
Hayo yanayoonekana ni makampuni yenye sifa yalifanya nini?
Kuna sehemu kilo iliuzwa elfu 8 na sukari ikawa haipatikani.
Viongozi wote wa serikali wakaingia mtaani kutafuta sukari na tochi mchana.
Hili hatulikumbuki?

Mnyonge mnyongini ila haki yake mpeni!
Sometimes, na hili mimi naliafiki, Kuna haja ya kuachana na mazoea...Hawa wanaoitwa wakongwe na wenye sifa.. wana-practice za kimazoea. Ndio walafi kupitiliza na ndio shida kubwa ambayo hata mwendazake ilimtoa jasho.
Wanaingiza sukari kweli ila hawajawahi kutosheka na faida. Hata sukari ikiwa hapa bado wanatengeneza 'uhaba/ scarcity' ili tu faida iwe mara dufu.

Sasa Kama Kuna paka mweusi na anakamata panya, shida iko wapi!
Unang'ang'ana na paka mwenye rangi nzuri ili ajisaidie ndani halafu wapeane tano na panya?
Njaa mbaya sana. Bashe amewapa visenti mje muongee utumbo hapa. Mwambie huyo msomali mwizi, aongee yeye mwenyewe.Sura kama paka.
 
Sukari Ni Janga Mpaka Sasa
Imekuwa Kama Magendo Vile
 
Wakuu wote salaam!
Kwa wanaonisomaga humu watashangaa Sana nikisimama na Bashe leo kwenye sakata la sukari!

Ila Leo ntasimama nae tena kwa hoja na sio vihoja!

Kwanza kabisa Bashe ni moja ya mawaziri vijana ambaye utendaji wake unapaswa kutufariji vijana na kutupa motisha kuwa tunaweza kugeuza mawazo na matamaanio yetu kuwa vitendo.

Bashe anatuhumiwa kuzipa tenda kampuni ambazo zinasemekana kutokuwa na sifa...
Kwa ufupi kabisa hizo ndio tuhuma.

Sasa maswali ya msingi!
1. Je kampuni hizo zimedeliver? Yani zimetekeleza makubaliano zilizoingia.
JIBU; Ni ndio tena kwa 100%

2. Je kuna wizi wowote ulioonyeshwa na yeyeto anayetuhumu ukianzia na Mpina?
JIBU; Hakuna wizi wa hata senti tano moja mbovu

SASA HIZI KELELE NI ZA NINI?
Kelele ni juu ya rangi ya paka na sio ufanisi wa paka.

Ukiangalia Upande wa Sukari, na hapa ukweli tu Usemwe...kabla ya Bashe hali ilikuwa mbaya Sana!
Nani hakumbuki kilichotokea wakati wa Mwendazake?
Hayo yanayoonekana ni makampuni yenye sifa yalifanya nini?
Kuna sehemu kilo iliuzwa elfu 8 na sukari ikawa haipatikani.
Viongozi wote wa serikali wakaingia mtaani kutafuta sukari na tochi mchana.
Hili hatulikumbuki?

Mnyonge mnyongini ila haki yake mpeni!
Sometimes, na hili mimi naliafiki, Kuna haja ya kuachana na mazoea...Hawa wanaoitwa wakongwe na wenye sifa.. wana-practice za kimazoea. Ndio walafi kupitiliza na ndio shida kubwa ambayo hata mwendazake ilimtoa jasho.
Wanaingiza sukari kweli ila hawajawahi kutosheka na faida. Hata sukari ikiwa hapa bado wanatengeneza 'uhaba/ scarcity' ili tu faida iwe mara dufu.

Sasa Kama Kuna paka mweusi na anakamata panya, shida iko wapi!
Unang'ang'ana na paka mwenye rangi nzuri ili ajisaidie ndani halafu wapeane tano na panya?
Watz wagumu kuelewa shule mlipitaje?

unaambiwa vibali vya kuagiza sukari viliuzwa tsh 300 kwa kilo na ushahidi upo haijakanushwa

Walitafutwa waagiza mtaani wasiosajiliwa kufanya biashara hii wakakauziwa vibali

Kuna waagizaji wameleta sukari ambayo ime expire na kuingiza kwenye soko
Bashe na wenzie Baada ya kutengeneza uhaba feki Bei ya sukarili panda mpaka sh 6000 kwa kilo

Kwa ukweli huu wote Alafu anatokea mtu kalipwa na bashe aje kuandika upuuzi

Hatukubali
 
Wakuu wote salaam!
Kwa wanaonisomaga humu watashangaa Sana nikisimama na Bashe leo kwenye sakata la sukari!

Ila Leo ntasimama nae tena kwa hoja na sio vihoja!

Kwanza kabisa Bashe ni moja ya mawaziri vijana ambaye utendaji wake unapaswa kutufariji vijana na kutupa motisha kuwa tunaweza kugeuza mawazo na matamaanio yetu kuwa vitendo.

Bashe anatuhumiwa kuzipa tenda kampuni ambazo zinasemekana kutokuwa na sifa...
Kwa ufupi kabisa hizo ndio tuhuma.

Sasa maswali ya msingi!
1. Je kampuni hizo zimedeliver? Yani zimetekeleza makubaliano zilizoingia.
JIBU; Ni ndio tena kwa 100%

2. Je kuna wizi wowote ulioonyeshwa na yeyeto anayetuhumu ukianzia na Mpina?
JIBU; Hakuna wizi wa hata senti tano moja mbovu

SASA HIZI KELELE NI ZA NINI?
Kelele ni juu ya rangi ya paka na sio ufanisi wa paka.

Ukiangalia Upande wa Sukari, na hapa ukweli tu Usemwe...kabla ya Bashe hali ilikuwa mbaya Sana!
Nani hakumbuki kilichotokea wakati wa Mwendazake?
Hayo yanayoonekana ni makampuni yenye sifa yalifanya nini?
Kuna sehemu kilo iliuzwa elfu 8 na sukari ikawa haipatikani.
Viongozi wote wa serikali wakaingia mtaani kutafuta sukari na tochi mchana.
Hili hatulikumbuki?

Mnyonge mnyongini ila haki yake mpeni!
Sometimes, na hili mimi naliafiki, Kuna haja ya kuachana na mazoea...Hawa wanaoitwa wakongwe na wenye sifa.. wana-practice za kimazoea. Ndio walafi kupitiliza na ndio shida kubwa ambayo hata mwendazake ilimtoa jasho.
Wanaingiza sukari kweli ila hawajawahi kutosheka na faida. Hata sukari ikiwa hapa bado wanatengeneza 'uhaba/ scarcity' ili tu faida iwe mara dufu.

Sasa Kama Kuna paka mweusi na anakamata panya, shida iko wapi!
Unang'ang'ana na paka mwenye rangi nzuri ili ajisaidie ndani halafu wapeane tano na panya?
Unapokosea ni kumfananisha mtu ambaye amekufa na aliye hai.ulikuwa na hoja nzuri lkn umeiharibu kwa chuki zako binafsi na JPm.sisi tunataka hoja huu upuuzi mwingine hatutaki.kama unaongelea issue ya sukari nenda nayo kama siasa ongelea siasa ili tujue moja.
 
Watz wagumu kuelewa shule mlipitaje?

unaambiwa vibali vya kuagiza sukari viliuzwa tsh 300 kwa kilo na ushahidi upo haijakanushwa

Walitafutwa waagiza mtaani wasiosajiliwa kufanya biashara hii wakakauziwa vibali

Kuna waagizaji wameleta sukari ambayo ime expire na kuingiza kwenye soko
Bashe na wenzie Baada ya kutengeneza uhaba feki Bei ya sukarili panda mpaka sh 6000 kwa kilo

Kwa ukweli huu wote Alafu anatokea mtu kalipwa na bashe aje kuandika upuuzi

Hatukubali
Naomba kujua uhusiano kati ya being ya kibali na Bei ya sukari? Hapo tu!
 
Unapokosea ni kumfananisha mtu ambaye amekufa na aliye hai.ulikuwa na hoja nzuri lkn umeiharibu kwa chuki zako binafsi na JPm.sisi tunataka hoja huu upuuzi mwingine hatutaki.kama unaongelea issue ya sukari nenda nayo kama siasa ongelea siasa ili tujue moja.
Kwenye hii mada sijasema Kama namchukia marehemu!
Japo kiukweli namchukia
 
Duh karne hii bado mnahangaika na sukari....nchi ya ajabu sana

Ova
 
Back
Top Bottom