Vishu Mtata
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 15,954
- 35,415
Wewe unajiona unanakili. Ukome kuniquote. Sijawahi kukuquote sababu ni kichaa wewe, usinitafute andika hoja yako achana na yangu. Unaandika uharo tu, polisi nyokonyoko hueleweki hata unachotaka kukiwakilisha. Rudi shule acha uchawa. Ushaingia kwenye ignore list 🚮Hao askari kwenye mabasi unaambiwa walikuwa Moshi kwenye maadhimisho ya miaka 60 ya polisi wanarudi mikoani kwao
Pili ulichoandika akili huna hujui siasa zinavyofanyika Chama chochote cha siasa hutafuta kura kwa wapiga kura
Polisi na familia zao ni sehemu ya wapiga kura unatakiwa hilo kundi kuwa nalo pia
Ukiwatibua na kuwasumbua ina maana kura zao na familia zao hutapata
Chadema hakuna wanasiasa wajua kupanga mikakati ya kupata kura nyingi toka makundi yote wakiwemo polisi na familia zao
Wacha ugaidi wa mtandaoni.
Kwamba saa ulizoposti maa hii picha zilikuwa hazipigiki?Mbula umeona muda nilioposti?.
Kwa sukumagang tatizo mnajisahau sana,huku hatunaga upumbavu huoHiyo tarehe 23 polisi wote watakuwa Dar mara paap maandamano Dar yanahairishwa haafu siku hiyohiyo yanafanyika kanda ya ziwa, hii inaitwa changanya bwege.
Mikogo wanatoa wapi masikini hao!Jana wametupita sehemu Fulani na king'ora wapo katika defender kama tatu hivi. Wana mikogo balaa,tinted machoni na wengine wamevaa musk nyeusi wanaonekana macho tu.
Kila mtu aliyewaona aliwapuuza na kuwasema vibaya.Hawa jamaa Nina uhakika wanachukiwa na watz sana sasa hivi na siku likiwakuta baya tutashuhudia dhihaka nyingi sana mitandaoni.
Polisi na nyoka,hapa duniani hakuna viumbe vinapenda sifa kuwazidi Hawa wahuni wawili.
Katika misafara iliyona farasi nilitamani nione pia wale punda kazi.Mbona ni wachapakazi wazuri tu?Unamaanisha polisi wameitika wito wa maandamano ya J3?
Arusha Kila kitu ninaona kimekamilika!
Mitandao ya kijamii, imesaidia sana
Sipati picha maandamano dar yaki ahirishwa lakini mikoani yakawepo hahahaaNimesikia Mahali kutoka kwa bodaboda kuwa maandamano yatafanyika mikoa yote hapo Kesho.
Polisi wote kwa sasa wamesafirishwa kuletwa Dar, japo nasikia hawajalipwa hata Mia. Ikiwa ni kweli basi policcm watakua wamechemka Sana......
Inafurahisha kuona Maskini anamuumiza maskini mwenzie ili kumlinda wenye madaraka wachache.....
View attachment 3103395
The total number of Police Force in Tanzania is 40,960; whereby one police officer is responsible for 1097 people (1:1,097).Nimesikia Mahali kutoka kwa bodaboda kuwa maandamano yatafanyika mikoa yote hapo Kesho.
Polisi wote kwa sasa wamesafirishwa kuletwa Dar, japo nasikia hawajalipwa hata Mia. Ikiwa ni kweli basi policcm watakua wamechemka Sana......
Inafurahisha kuona Maskini anamuumiza maskini mwenzie ili kumlinda wenye madaraka wachache.....
View attachment 3103395
Na wote wako Dar, Very poor planningThe total number of Police Force in Tanzania is 40,960; whereby one police officer is responsible for 1097 people (1:1,097).