UPDATE: Mahujaji zaidi ya Elfu Moja wamefariki Makka. Hakuna Mtanzania aliyepoteza Maisha wala kujeruhiwa

Si umeshaambiwa wanamlenga mawe Shetani?
 
Amin 🙏
 
Lengo la uzi ilikuwa ni kusifu na kulamba miguu tu wala siyo Mahujaj
 
Vipi wewe hujafa!?
 
Du kumbe sio tahaira huwa unaigiza tu
 
Kuna mi nonsense inawaza eti kwa kuwa wamekufa wakiwa ibadani watathawabika hamna kitu kama hicho
 
Si umeshaambiwa wanamlenga mawe Shetani?
wanaenda kufanya ujinga mtupu, shetani yupo mioyoni mwao wampige mawe humo. Upuuzi wa waarabu mbantu nae anasafiri maili nyingi kwenda kushiriki upuuzi huo, ni ajabu sana
 
wanaenda kufanya ujinga mtupu, shetani yupo mioyoni mwao wampige mawe humo. Upuuzi wa waarabu mbantu nae anasafiri maili nyingi kwenda kushiriki upuuzi huo, ni ajabu sana
Nasikia serikali ya Saudi Arabia wanatengeneza pesa nyingi sana na wanachukulia hii kuwa ni Utalii, wao si wajinga
 
Nasikia serikali ya Saudi Arabia wanatengeneza pesa nyingi sana na wanachukulia hii kuwa ni Utalii, wao si wajinga
let's say ni utalii wa kiimani/dini/utamaduni, mbona unakuwa ni overeted hivyo? Watetezi wa hija hiyo wanadai saudia haikusanyi fedha za mahujaji bali mahujaji hulipia gharama za usafiri chakula na malazi tu!
 
let's say ni utalii wa kiimani/dini/utamaduni, mbona unakuwa ni overeted hivyo? Watetezi wa hija hiyo wanadai saudia haikusanyi fedha za mahujaji bali mahujaji hulipia gharama za usafiri chakula na malazi tu!
Hela wanayokusanya kama sadaka na ni nyingi mno wanazipeleka wapi?
 
Hela wanayokusanya kama sadaka na ni nyingi mno wanazipeleka wapi?
itakuwa wanatumia sadka hizo kujenga uchumi wa nchi yao, ndio maana iran inatamani kuichukua kaaba ikidai saudia imenajisi ardhi tukufu kwa kuruhusu makafiri/wamagharibi wakanyage nchi hiyo na kufanya shughuli zao huko. Iran inaona saudia inanufaika na utalii huo why nayo isinufaike wakati inajinasibu ndio kinara wa dini hiyo duniani?
 
komredi Lucas Mwashambwa ni refa bila kipenga uko chamani sidhani ataweza kuwasadia wahanga wa panton
 
Watanzania hawafikagi kwenye kumtupia mawe Shetani
[/QUOTEwanachukua tahadhari ikitokea mkanyagano wasikanyagwe na kufa huko kizembe. Waende tu wakatalii huko wakaone ujinga unaofanyika huko ila wasitupe mawe na kushiriki upuuzi huo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…