UPDATE: Padri afikishwa Mahakamani kwa tuhuma za kulawiti watoto 10 Moshi

UPDATE: Padri afikishwa Mahakamani kwa tuhuma za kulawiti watoto 10 Moshi

Huyu ni kudili nae kiume eti wanataka serikali ifuatilie! WaTz bana
 
kuna baadhi ya Mapdre hawana nidhamu, sio waadilifu hawafai kbisaaa.
No wakati sasa Kamati zikwachukulia hatua wale wote wenye vishiria vya utovu wa maadili kabla hawajalichafua kanisa kama ilivyo sasa.
 
Ina maana jf hakuna anayefahamu jina la huyo padri na kituo chake cha kazi ikiwezekana na picha kabisa? Hivyo vyote vimefichwa eti kutokana eti ni kiongozi wa dini maadili hayaruhusu. Je ufirauni alioufanya kwa hao watoto watausahau maishani mwao? Mimi ni mkristo ila matukio ya hovyo kama haya ni ya kukemea na kupiga vita haswa, akizidiwa akatafute huko barabarani akajipigie
 
Suluhisho la hili ni rahisi sana. Acheni kuwapeleka watoto kwenye hayo yanayoitwa mafundisho ya dini. Mnawakosea sana na kuwaharibia future zao kwa mambo yasiyohitajika katika umri wao
 
Ina maana jf hakuna anayefahamu jina la huyo padri na kituo chake cha kazi ikiwezekana na picha kabisa? Hivyo vyote vimefichwa eti kutokana eti ni kiongozi wa dini maadili hayaruhusu. Je ufirauni alioufanya kwa hao watoto watausahau maishani mwao? Mimi ni mkristo ila matukio ya hovyo kama haya ni ya kukemea na kupiga vita haswa, akizidiwa akatafute huko barabarani akajipigie
mie nataka kujua ni kanisa gani? nifatilie nilete na jina la padre hapa
 
Back
Top Bottom