Updated List: Haya ndio makabila yenye wasomi zaidi Tanzania

Endelea kucomment kwa adabu jf ukitegemea humu utapata connection [emoji1787][emoji1787]pana watu wazito BumbaaaaaaV!
Japo sina adabu connection kubwa kuliko zote kwenye maisha yangu nmepata humu humu jf , na bado naendelea kuchangia bila adabu .
 
Manyuzi yanajirudia inaonekana sasa hatuna jipya.
 
Kuna wasukuma 20m!?..
Je wana akili ya kulete maendeleo? Angalia mazingira yao wanayoishi vijijini, bahati mbaya nilipita Usukumani mwaka 1970 Dec nilipita karibu mkoa wote mpaka mkoa wa Musoma nikaishia Isbania na kurudi APRIL 1971. Maendeleo yalikua zero
 
Mkuu serious wanyakyusa wana uwezo kawaida???


Sijajua ila katika soma zangu sijawai kutana na Mnyakyusa mzembe darasani

Me mwenyewe sio utani isingekuwa kubebana chuo flan nilikuwa naondoka na best student 😃
 
Je wana akili ya kulete maendeleo? Angalia mazingira yao wanayoishi vijijini, bahati mbaya nilipita Usukumani mwaka 1970 Dec nilipita karibu mkoa wote mpaka mkoa wa Musoma nikaishia Isbania na kurudi APRIL 1971. Maendeleo yalikua zero
Kuzungumzia maendeleo ya jamii za kitanzania ya mwaka 1970 kulinganisha na 2024 lazima dish liwe limeyumba.
 
Mkuu usijizime data, nakukumbusha tu kwamba mkoa wa Kilimanjaro pamoja na eneo lake dogo ndio mkoa unaoongoza kwa shule nyingi zaidi nchini, na wanaofaulu kwenda vyuoni ni wengi pia,
Mkoa wa Kilimanjaro una shule nyingi za sekondari tu lakini hauna idadi kubwa ya wanafunzi. Kwa mfano mkoa wa Kagera unapeleka wanafunzi wengi Form six kuliko kilimanjaro alafu kilimanjaro wanasoma wanafunzi wengi kutoka mikoa(makabila) mengine hivo uwepo wa sekondari nyingi sio kigezo cha wachagga kwenda shule
 
Je wana akili ya kulete maendeleo? Angalia mazingira yao wanayoishi vijijini, bahati mbaya nilipita Usukumani mwaka 1970 Dec nilipita karibu mkoa wote mpaka mkoa wa Musoma nikaishia Isbania na kurudi APRIL 1971. Maendeleo yalikua zero
Wewe kwanza ahapo ulipo nakupa pole sana! Jamii zimeshachange sana tu! Njoo saizi utajionea mabadiliko ya kutosha kuanzia Shinyanga ,Kaham,Katoro, Mwanza ,Lamadi na maeneo mbali mba;li!

Miaka hiyo najua hata shule zilikuwepo chache na zilikuwa mjini tu! Kama unazungumzia maendeleo haya yaliyopo na maeneo mengine mbona hata Kanda ya ziwa yapo na hakuna tofauti!
 
Sahihi kabisa
Wanyakyusa tuko vizuri kielimu .....huku mbeya mtoto ukikataa shule .... wazazi wanakutimua nyumbani [emoji23][emoji23]

Pia Kwa vyuo vikuu na vile vyakati mbeya vinafika Hadi 20..

But Kwa wachaga na wahaya Kwa elimu hawa watu wanaheshima yao
 
Umesahau
Tabora,
Katavi,
Rukwa,
Morogoro,
Mbeya


Wamesambaa karibu kila kona ya nchi leta hiyo taarifa yako ya sensa.

Wasukuma ndio kabila kubwa Tanzania.

Hawafiki milioni ishirini. Kusambaa hata wachaga, waha, Masai wamesambaa sana.
 
Nasikitika makabila yenye akili elimu ilichelewa kwao lakini, elimu imewahi kwa makabila yenye vilaza wengi ndiyo maana hadi leo hatuna gunduzi za kitanzania zinazo eleweka zaidi ya ubinafsi na majigambo. Nchi inaimaskini wa kunuka.
 
Ni uchambuzi wenye ukweli mkubwa sana ila usisahau kuwa Morogoro ina vyuo vikuu vingi na vikubwa; SUA, Mzumbe, Jordan, Muslim University, etc, Pengine K’Njaro inafuatia.

Pia ujue hakuna watu waliominywa kwenye elimu enzi za Nyerere kama Wachagga. Hawakuachwa wafaulu waende shule za serikali ila walijiongeza na kuwa na shule nyingi za mashirika ya dini na hata kwenda Kenya kusoma pindi Nyerere alipowadhibiti.

Mwisho wa siku walishinda siasa za kimaskini za Nyerere na Nyerere aliwaogopa mno!
 
Ni kweli flani; zaidi ya 80% ya wachagga wapo nje ya K’Njaro na watoto wengi wa huko husoma nje ya mkoa.

Vijana wengi sana K’Njaro wameenda shule ndio maana siku hizi kupata vibarua au wafanyakazi Moshi ni ngumu sana na huagizwa mikoa mingine.

Lazima kitu kifanyike kurudisha population kule K’Njaro la sivyo mkoa utakufa!
 
Wandengereko, wazaramo na the like wapo busy kukata mauno na kushikana uchawi

Hatuna stress watu wa Pwani. Nyie ibeni halafu tupeni sisi hizo hela zenu za Wizi tuwajengee Mahekalu yenu. Sie tukiwa tuna Kuku 10 Bandani wewe una Ng’ombe 10 zizini tunakuona fala tu. Ndio maana mmekuja mjini tumewauzia nyumba zetu za Magomeni, Kariakoo, Ilala halafu sisi haoo Mbagala na Chanika. Tukisoma sote nani atamtuma mwenzie?
 
Nimekuelewa vizuri. Sasa, uwe objectively verifiable. Nilidhani kusudio lako la kumpinga,usingedhani tena kama yeye, ungeweka data kwa kutumia cluster groups ulizotaja. Ukija na data unanishawishi. Niambie kwa kutumia statistcs za Wizara ya Elimu,ni Mkoa gani hapa nchini unaongoza kwa kuwa na shule nyingi za sekondari?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…