UPDATES: Kimbunga JOBO hakipo

UPDATES: Kimbunga JOBO hakipo

Kwenye Mungu kuiepusha Tanzania na Kimbunga mnaamini na mnashupalia ila kuamini kuwa Mungu aliiepusha Tanzania na bwana yule kwa kumtwaa hamtaki kuamini! What a double standard? Tanzania ni ile ile na Mungu ni yule yule Mataga nyinyi, kubalini Mungu anaipenda Tanzania na anailinda na mabaya yote!
Jiwe liliondoshwa na Mungu kabisa kwa maombi na machoz ya wadai haki ndan na nje ya mipaka ya Tz.
 
Updates jaman
Screenshot_20210424-213530.png
 
 
Asante hayati rais Magufuli kwa kutuachia wosia wa kuacha hofu na kumtegemea Mungu kwa kila jambo.

Kimbunga Jobo na Corona wamekiona cha mtema kuni Tanzania.
Corona ikamfyeeeeeka fyuuuu. Sasa yu mzoga keshaoza huko chatto
 
Hiki kimbunga nacho miyeyusho sana. Sasa mbona kimya hadi muda huu.
Yaani hizi habari ndio maana huwaga sifwatilii mimi ikifika muda wa hali ya hewa. Nahama tu station.
 
Hiki kimbunga nacho miyeyusho sana. Sasa mbona kimya hadi muda huu.
Yaani hizi habari ndio maana huwaga sifwatilii mimi ikifika muda wa hali ya hewa. Nahama tu station.
lake zone watu wana hali mbaya sana mvua sio ya kawaida na upepo mkali sana......yan tulisema equator ni kinga ya cyclones sasa ndo imefuata huku huku..
 
Back
Top Bottom