Kafungue forum ya familia yako hutoniona huko! Ila hapa ni jamii so naona kilichoandikwaSio lazima ufuatilie kwani umelazmishwa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kafungue forum ya familia yako hutoniona huko! Ila hapa ni jamii so naona kilichoandikwaSio lazima ufuatilie kwani umelazmishwa?
Jiwe liliondoshwa na Mungu kabisa kwa maombi na machoz ya wadai haki ndan na nje ya mipaka ya Tz.Kwenye Mungu kuiepusha Tanzania na Kimbunga mnaamini na mnashupalia ila kuamini kuwa Mungu aliiepusha Tanzania na bwana yule kwa kumtwaa hamtaki kuamini! What a double standard? Tanzania ni ile ile na Mungu ni yule yule Mataga nyinyi, kubalini Mungu anaipenda Tanzania na anailinda na mabaya yote!
TMA hawapo serious na kazi.
Hadi Kimbunga chake? 😂😂😂Watanzania huwa tunawahi kusahau, Profesa Assad aliwahi kusema kwamba Mr. JOBO na chombo chake ni wadhaifu.
Mwambieni huyo Jobo amuulize Corona sie ni akina nani?![emoji38][emoji38][emoji38]Kwani watanzania wenyewe wanasemaje?
Updates jaman
Mbona kama spid imeonhezeka
Hii ni hatar.
Corona ikamfyeeeeeka fyuuuu. Sasa yu mzoga keshaoza huko chattoAsante hayati rais Magufuli kwa kutuachia wosia wa kuacha hofu na kumtegemea Mungu kwa kila jambo.
Kimbunga Jobo na Corona wamekiona cha mtema kuni Tanzania.
Hiki kimbunga nacho miyeyusho sana. Sasa mbona kimya hadi muda huu.
Yaani hizi habari ndio maana huwaga sifwatilii mimi ikifika muda wa hali ya hewa. Nahama tu station.
lake zone watu wana hali mbaya sana mvua sio ya kawaida na upepo mkali sana......yan tulisema equator ni kinga ya cyclones sasa ndo imefuata huku huku..Hiki kimbunga nacho miyeyusho sana. Sasa mbona kimya hadi muda huu.
Yaani hizi habari ndio maana huwaga sifwatilii mimi ikifika muda wa hali ya hewa. Nahama tu station.
Kama unakitamani sana si ukifuate?Hiki kimbunga nacho miyeyusho sana. Sasa mbona kimya hadi muda huu.
Yaani hizi habari ndio maana huwaga sifwatilii mimi ikifika muda wa hali ya hewa. Nahama tu station.