TAWA umeitowa wapi hii picha. Du.
Kuna uwanja watoto hucheza wao hujiita timu Chadema. Nilishangaa wamejuajeDuuuh yani mpaka watoto wanaichukia CCM... Aibu kwa Kikwete hii..
Hii picha ya chini,lete maelezo kamili,sijaelewa.
Yale mabasi ya hood yameswashushia kia?
Wameanza kuleta usumbuf kwa kunyang'a watu vipeperush
Kabisa mkuu walinishangazaUkipita tena siku nyingine hapo uwanjani wapelekee hata vizawadi..
Hao ni makamanda wa baadae..
Wanaenda kusikia MAMA NTILIE, BODABODA, MACHINGA. ignorants
Updates zaidi zaja