Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wana Arusha/Watanzania wanakuja kumwangalia FISADI akirekodi Mapicha ya Mafuriko ya Watu badala ya Maji. Lakiri Kura zao ni kwa Chama Dume CCM Chini ya Jembe DR Magufuli
Jopo la Wanahabari wa Chadema ndio tumeingia mda huu Arusha Tutariport moja kwa moja tukio hili
asante sana mkuu .
Niko uwanjani hapa tindigani watu Ni wengi sana na bado wanaendelea kujaa Kwa wenye usafiri mnashauriwa kupark magari, pikipiki kwenye shule ya Msingi iliyoko karibu vinginevyo huku hutopata pakuegesha gari...
Hahahahaha Oil Chafu kiboko ya mchwa
Jamani naombeni niulize hivi mgombea wetu anashati moja tu jeupe au anamaanisha nini
Kwa huu upepo wa kisiasa unavyovuma nchini hivi sasa, naamini hadi ifikapo Oktoba 25 mwaka huu yanaweza yakawa yametokea maafa kadhaa ya wahanga wa pressure.
Maana hii CDM inachofanya hivi sasa ni kutaka sifa, yaani wakati maccm bado yanaugulia maumivu makali sana ya ile nyomi ya 'kufa mtu' kule Mbeya, leo tena mmepania huko Arusha kulisimamisha kabisa jiji la Arusha.
Msituhamishe humu na mambo ya shati kwa ujumla tuu lowasa hafai kuwa Rais wa awamu ya Tano, labda awe kiongozi wa Cdm tuu,
asante sana mkuu .
Hii sasa sifa, kila siku maccm yanapigwa. Leo ndio leo, CCM inafutwa kabisa