Sawa sawa..coz haina maana kukesha barabarani mwisho wa siku hawapigi wala hawalindi kura zao..ni wastage of time and money..ngoja tusubili hiyo October,2015 mkuu
Mkusanyiko wa nyumbu
picha ni muhimu sana mkuuu msitutenge tuliombalijamani kwa tulio arusha wenyewe mnashuhudia shamra shamra zilivo, yani hakukaliki , kila mtu tupo na picha kifuani ya mheshimiwa rais wetu lowasa, wamasai wanatoka monduli kwa mguu hadi kimandolu, kila mtu habar za asubuh ni lowasa tu, kijana ukimwambia mambo anakujibu kwa lowasa, ntaendelea kuwapa update ila kifupi tu leo hili jiji litazizima siku nzima na dunia itasimama kuzunguka leo
Teamlaptop
Litarindima siyo kuzizima! (Kwa mujibu waRadio One leo jmosi kipindi cha kiswahili)Jamani kwa tulio arusha wenyewe mnashuhudia shamra shamra zilivo, yani hakukaliki , kila mtu tupo na picha kifuani ya mheshimiwa rais wetu lowasa, wamasai wanatoka monduli kwa mguu hadi kimandolu, kila mtu habar za asubuh Ni lowasa Tu, kijana ukimwambia mambo anakujibu kwa lowasa, ntaendelea kuwapa update ILA kifupi Tu Leo hili jiji litazizima siku nzima na dunia itasimama kuzunguka leo
kama umechoka kuishi kwenye hii Dunia nenda na kanga au shati la CCM.
kama umechoka kuishi kwenye hii Dunia nenda na kanga au shati la CCM.
Jaribu kupita na shati la mashaitwan wa kijani kariakoo wakuimbie wimbo
Ha ha haaa, mkuu tukiona shati la kijani au dela tuseme wafuasi wa shaitwan
Funga kazi ni Mwanza hapo kesho.Kwa huu upepo wa kisiasa unavyovuma nchini hivi sasa, naamini hadi ifikapo Oktoba 25 mwaka huu yanaweza yakawa yametokea maafa kadhaa ya wahanga wa pressure.
Maana hii CDM inachofanya hivi sasa ni kutaka sifa, yaani wakati maccm bado yanaugulia maumivu makali sana ya ile nyomi ya 'kufa mtu' kule Mbeya, leo tena mmepania huko Arusha kulisimamisha kabisa jiji la Arusha.
Hii nimeipenda, teh teh
Sio shaitwan tu! Unaongezea mashaitwan wa kijani!
Wanaenda kusikia MAMA NTILIE, BODABODA, MACHINGA. ignorants
Yale mabasi ya hood yameswashushia kia?