Hahahaha mkuu hao washajiunga kimyakimya Jana nilikuanaosehem nikawa naonyesha picha za mbea haowazee wa cape wakajikusanya wakawa wana zicheck huku wanacheka chekatu kiaina sababu walikuwa kwenye sutizao za kazi.
Mbona teamlaptop imekanushwa, Mh. Hakujipanga vizuri? Madereva wanajua gari huwezi kuliondoa na gear no. 5, huyu haitaji Coke ya baridi
Hawa polisi ngoja waanze kupiga watu huko ni kutisha watu kwanini wanatumia nguvu kiasi hichoNaona zaidi ya gari Mia za polisi zinatumwa kimandolu, aibu, mtu mmoja Tu gari Mia za polisi, hamjiamini nyie kijani, kwishney
Kama unajitaftia janga ni kujibeba tu na hizo nguo za kijani.kama umechoka kuishi kwenye hii Dunia nenda na kanga au shati la CCM.
nanyi si muwapige tu,polisi wachache hivoHawa polisi ngoja waanze kupiga watu huko ni kutisha watu kwanini wanatumia nguvu kiasi hicho
Leo walinde amani ka ilivokua Dar na Mbeyananyi si muwapige tu,polisi wachache hivo
Magufuli ageuka kama mgombea wa CHAUMA jmn hasemwi popote muoneeni huruma basi jmn mtamua kwa pressure
Lowassa rais 2015