Precise Pangolin
JF-Expert Member
- Jan 4, 2012
- 13,010
- 6,678
Wewe na FaizaFoxy lazima niwafungie tu nikati ya wanawake ambao hamna adabuNaona unatafuta mume jf.nitakutoa busha sasa hivi.pumbavu wewe.
Last edited by a moderator:
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe na FaizaFoxy lazima niwafungie tu nikati ya wanawake ambao hamna adabuNaona unatafuta mume jf.nitakutoa busha sasa hivi.pumbavu wewe.
mitandao imechezewa. kurusha picha ni vigumu sana leo. labda mtumie whatsapp. arusha mitandao imezuiwa kurusha picha au kuna tatizo flani la kimitandao.
Niko eneo la tukio, kuna nyomi ya kutosha ila bado mheshimiwa rais hajafika,wekeni namba niwatumie picha watsap. Kwa hili nyomi ccm tumeshikwa pabaya,kuna watu karbu milion 2 hapa.
Niko eneo la tukio, kuna nyomi ya kutosha ila bado mheshimiwa rais hajafika,wekeni namba niwatumie picha watsap. Kwa hili nyomi ccm tumeshikwa pabaya,kuna watu karbu milion 2 hapa.
nipo hapa, picha kibao ila ku upload ndiyo inakuwa tabu,kuna hujuma si bureTumeni picha waungwana
mkuu usilalamike, ni kwamba EL kakataliwa Arusha.
Kweli we ladypepeta kama si kiuno basi mdomoPaka sasa nimehesabu wako watu wa 5 tu kwny mkutano
MUSOLLIN5@
Kijana umetuangusha sana, Hivi unajua mateso unayo tupa sie wa mikoani? kama kuna msaada unahitaji ungesema ili tupate hizo picha na update nyingine tafadhali
Paka sasa nimehesabu wako watu wa 5 tu kwny mkutano
Wanaenda kusikia MAMA NTILIE, BODABODA, MACHINGA. ignorants
Mkuu shida ni network leo ipo chini sana, ila picha zipo za kutosha.