Ng'wanapagi
JF-Expert Member
- Sep 18, 2013
- 9,116
- 8,652
Kama huna picha usije tena watu tuna hasira na CCM.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Clock tower imetulia kwa sababu watu wengi wako kimandolu na ndio maana ya Mji kusimama. Mwanzoni hata mimi niliamini lowasa huwa analeta watu na mabasi leo nimeamini maana from no where hata family yangu wamenishikia chini eti wanataka kumwona lowasa kana kwamba ni mpya sana. Kweli nimeamini ukisema wa nini wenzio wanasema nitampa lini
unatia aibu sana .watanzania jitokezeni kwa wingi kumshangaa fisadi lowasa
bado wiki moja tu, lowassa naye ataonekana wa kawaida
Kia hapo
Clock tower imetulia kwa sababu watu wengi wako kimandolu na ndio maana ya Mji kusimama. Mwanzoni hata mimi niliamini lowasa huwa analeta watu na mabasi leo nimeamini maana from no where hata family yangu wamenishikia chini eti wanataka kumwona lowasa kana kwamba ni mpya sana. Kweli nimeamini ukisema wa nini wenzio wanasema nitampa lini
Sasa unasemaje mji umesimama wakati upande mwingine watu wanaendelea na shughuli zao kama kawaida*** unajua maana ya mji kusimama?? Rais wenu atakaguaje gwaride,, amir jeshi mkuu atakuwaje na afya ambayo sio nzuri,, amir jeshi atakuaje anapoteza kumbukumbu,, hatuhitaji kuwa kwenye risk ya kuitisha uchaguzi kabla ya 2020. Tunahitaji rais aliye fit kiafya..
bado wiki moja tu, lowassa naye ataonekana wa kawaida
Kumuona na kumpigia kura lowassa ni vitendo viwili tofauti""" umati wa watu sio tiketi ya lowassa kuwa rais,,, kaa ukijua tanzania ni kubwa sana na tuko zaidi ya 15 mil tuliojiandikisha,, je huo umati ni asilimia ngapi ya waarusha waliojiandikisha?? Vipi huo umati ni wangapi wana sifa za kupiga kura,, je huo umati unawageni wangapi ambao waliokuwa dar mbeya na leo ARusha??
bado wiki moja tu, lowassa naye ataonekana wa kawaida
Clock tower imetulia kwa sababu watu wengi wako kimandolu na ndio maana ya Mji kusimama. Mwanzoni hata mimi niliamini lowasa huwa analeta watu na mabasi leo nimeamini maana from no where hata family yangu wamenishikia chini eti wanataka kumwona lowasa kana kwamba ni mpya sana. Kweli nimeamini ukisema wa nini wenzio wanasema nitampa lini
Masha ni hasara. Ila ndo hivyo tena.
Atafata Karamagi kesho Mwanza, then Rostamu kisha Manji afu mchezo unamalizwa na JK kumchinjia baharini makomeo....
Jamaa wamejipanga kurudi kupitia mlango wa Chadema. Aibu!!
Huu utani sasa.....