Elections 2015 Updates Kutoka Arusha: Mkutano wa kumtambulisha mgombea Urais kwa tiketi ya CHADEMA

Elections 2015 Updates Kutoka Arusha: Mkutano wa kumtambulisha mgombea Urais kwa tiketi ya CHADEMA

hii safi sana maana hata el akishinda kwa uhakika kabisa ataunda serikali yenye 4u movement wengi pamoja na friends of el. M4c na bavicha watakuwa wachache sana, kwa maana nyingine itaundwa serikali ya ccm ndani ya ukawa. Anaebisha abishe tu.

Upinzani imara utatoka ccm alisema Nyerere; sina uhakika kama alimaanisha itakayotoka ccm ni oili chafu au makapi. Kwa vyovyote alimaanisha watatoka watu thabiti, imara, wenye nguvu za kweli za kisiasa za upinzani; akimaanisha watakataa ujinga fulani mle ndani sasa hapo makapi nani aliyetoka au aliyebaki? Zingatieni kauli za Mwalimu hakuwa anabwabwaja wala kuvuvuzela
 
Mapepo ya CCM yanatolewaaaaaa leooo...🐛...🐍🐍🐙🐙👿👿👿
Tokaaaa pepooo la CCM, tokaaa ktk jina la Lowassaaaaa tokaaaaaaa tokaaaaa 👿👿👿🐙🐙🐛🐛🐍🐍CCM...waache wana wa Mungu...waache tembo wetu tokaaa..🐘🐘🐘🐘🐘🐘🐘🐘🐘🐘🐘🐘🐘🐘🐘🐘🐘🐘🐘🐘🐘🐘🐘🐘🐘🐘🐘🐘🐘🐘🐘🐘🐘🐘🐘🐘🐘🐘🐘🐘🐘🐘🐘🐘🐘

Pepo tokaaaa ktk jina la UKAWA....pepo CCM tokaaaaaaa....tokaaaaaaaaa🐙🐙🐙🐛🐛🐍🐍


Pepo CCM ktk jina la Lowassa tokaaaaaaa...pepo la kijaniiiii 🐙🐙🐙🐛🐛🐍🐍tokaaaaaaa....

Ktk jina la Lowassa pepo CCM tokaaaaaaaa.... waache watanzania...waache watu wa Mungu...shindwa...🐙🐙🐙🐙🐙🐍🐍🐍🐍🐍🐍

Kuna watu bado kama 5% wana pepo la CCM limewakamata kweli...ila Lowassa akiwafikia litawatoka...!!!
 
Endeleeni kujifariji na makapi yenu. Mtu anahama chama kwa kuwa mtoto wake kakosa ubunge wa viti maalumu? Lowasa ni fisadi na ndio maana kamati ya maadili imemkuta na matatizo lukuki.
Yakiisha makapi yote, CCM itakuwa chama salama, chenye kufuata misingi.

Just hear urself u fool.
yakiisha ndio chama kimekufa hakuna msafi CCM wote mauzauza wakimwagiwa mchuzi wa samaki wanaliwa na mbwa! Changes is un avoidable! Wtz wanataka mabadiliko tu!
 
haaaa wameshindwa kuzuia maandamano? huyo alietoa tamko ajiuzulu tu
 
Mzee mgeja umesema kweli baba.Waambie rafiki zako wasisubiri jumba bovu liwaangukie:thinking:
 
Mkuu hapa suala siyo Richmond bali ni kunadi sera na ilani za vyama. Mgombea wa CHADEMA ataweza kweli kusimama na kunadi sera za CHADEMA? Anazifahamu? Au atakuwa ananadi za CCM wakati mgombea mwenza ananadi za CUF! Watu watachanganyikiwa na Magufuli anaingia Ikulu akiwa na CCM iliyotakasika!

Sera za nn za danganya toto..lini mshawahi kukamilisha sera mlizotuambia zaidi ya miaka 50+..nani atawasikiliza hivi sasa..UKAWA hata bila ya sera tunawaingiza ikulu..kwendeni na sera zenu huko!
 
Its a global changes..hata lucifer mwenyewe hawezi kuzuia haya mabadiliko..UN,Vatican,rothchild etc wanaelewa haya mabadiliko...yatatokea na ni lazima yatokee..kwa wasio jaribu kuelewa wataendelea kutokuelewa
 
Walikuwa watia nia 38 kama sikosei, 5 ndo walionekana na maadili. Lowassa umemtaja kuwa fisadi ndo maana kamati ya maadili ilimkuta na matatizo lukuki, swali langu hao wengine waliokatwa na panga la maadili na bado wapo ccm wamebadilika na maadili yamerudi?

Mkuu.

Wewe muulize wale mafisadi wa escrow waliowapitisha kugombea ubunge kina chenge ngeleja na tibaijuka wana uadilifu gani?
 
Kamwe ccm haiwezi jitenga na ufisadi na agenda ya UFISADI dhidi ya ccm ni valid na Ita endelea kuwa valid madam ccm bado inaishi. .
 
We ndooorobo kweli na ccm yako.hivi mnaandika lakin?

Mimi naona mnazid kupagawaa

Leo mmemkata lowasa kwa kuwa ni fisadi ushahid hamna.

Then kesho wake mnawapitisha watu kama chenge wa escrow tibaijuka wa escrow na ngeleja wa esrow kwenye kugombea ubunge watu waliokiri wenyewe kuhusika na ufisadi ule.

Hivi mna akili timamu nyinyi.

Mwambie kabisa hakuna makapi hapoooo. Upinzani imara utatoka ccm alisema Nyerere; sina uhakika kama alimaanisha itakayotoka ccm ni oili chafu au makapi. Kwa vyovyote alimaanisha watatoka watu thabiti, imara, wenye nguvu za kweli za kisiasa za upinzani; akimaanisha watakataa ujinga fulani mle ndani sasa hapo makapi nani aliyetoka au aliyebaki? Zingatieni kauli za Mwalimu hakuwa anabwabwaja wala kuvuvuzela
 
Back
Top Bottom