Elections 2015 Updates Kutoka Arusha: Mkutano wa kumtambulisha mgombea Urais kwa tiketi ya CHADEMA

Elections 2015 Updates Kutoka Arusha: Mkutano wa kumtambulisha mgombea Urais kwa tiketi ya CHADEMA

Lema:
Nasikitika Rais wetu amepokelewa na mabomu, vijana wamezuiwa.
Wanachokifanya hivi sasa ni kutengeneza mazingira ya kuiba kura kutufundisha uwoga.

Nampa taarifa IGP kuwa kama wamezoea kuua sisi tumezoea kuwa maiti.

Dhambi mbaya kuliko zote duniani ni uwoga.

Polisi wanamzuia Rais wetu asishiriki msiba wa rafiki yake kwa hofu tu akienda atamfunika kikwete.

Namuahidi Rais Lowassa kuwa kura yake Haitaibiwa.

Watu wakiamini kuwa hatuwezi kushinda kwa njia ya demokrasia, watatafuta mbinu nyingine kushinda.

Usalama mwambieni Kikwete yeye sasa ni rais, lkn hii nchi siyo ya mama yake wala ya baba yake

ni ujumbe mwafaka kabisa
 
'kila siku huwa nakaa najiuliza hivi KINYONGA ana rangi gani?.

Siku nikija kuijua rangi ya KINYONGA ntafurahi sana'
 
Hivi sifa ya mtu kujiuanga na Chama anatakiwa asiwe amewahi kuwa mwanachama wa chama chochote cha siasa? Au mimi ndiye sielewi hawa CCM wanamaanisha nini wanaposema CHADEMA wanachukua makapi?
 
Haya yule mtabiri wetu anayetabiri majanga makubwa Pro TB Joshua kanena Raisi ni Lowassa teh teh teh
Lowassa-Prophecy-02.png
j KIKWETE 2015
ccm tujiandae kisaikolojia
 
Hivi sifa ya mtu kujiuanga na Chama anatakiwa asiwe amewahi kuwa mwanachama wa chama chochote cha siasa? Au mimi ndiye sielewi hawa CCM wanamaanisha nini wanaposema CHADEMA wanachukua makapi?

Mfa maji mkuu,biznee ya prof lipumba ishawakata hawana hamu
 
Lema kaagizwa aende Tanesco afuatilie umeme akishindwa ampigie simu low as a.
 
Haki ya Mungu nimekupenda bure, tafadhali niko tayar kuwa mkeo hata WA pili Tu sijali

Mkuu umejipatia second wife buree upewe nini sasa...huku Lowass huku mke mdogo kama nakuonea dongo vileeee.
 
Upinzani imara utatoka ccm alisema Nyerere; sina uhakika kama alimaanisha itakayotoka ccm ni oili chafu au makapi. Kwa vyovyote alimaanisha watatoka watu thabiti, imara, wenye nguvu za kweli za kisiasa za upinzani; akimaanisha watakataa ujinga fulani mle ndani sasa hapo makapi nani aliyetoka au aliyebaki? Zingatieni kauli za Mwalimu hakuwa anabwabwaja wala kuvuvuzela

Mkuu hayo maneno ya makapi na oil chafu ni kukataa tamaa!umati wote huo unaondoka unafikiri watasema nini?
 
Lugha Mbaya na Siasa Mbaya Nadhani Zimeasisiwa Siku Dr. Magufuli Alipochukua Form ya Kugombea Urais. Nakumbuka Mh.

JK Alitamka "Adui Ni Adui Tu, Hakuna Adui Mdogo,Akiwa Upande wa Pili Mpelekee Huko Huko". So Statement Kama Hizi

Zinaashiria Nini?.
 
Back
Top Bottom