Donnie Charlie
JF-Expert Member
- Sep 16, 2009
- 16,908
- 19,123
DARAJA LINAJENGWA BAHARINI LABDA LITASAIDIA KUPUNGUA MAFURIKO JANGWANINawaza kwa sauti kama Mkoloni angeendelea kututawala basi pale jangwani angeshajenga daraja, ila serikali ya ccm tangu imeingia madarakani wanapatazama tu pale hawachukui hatua sijui wanatuchukuliaje watanzania.
Sent using Jamii Forums mobile app
Watanzania sio wafuatiliaji tu, hizi mvua TMA walishazitangaza na wakatoa tahadhari kwa mikoa ya kanda ya ziwa na ukanda wa pwani dar ikiwemo
wewe mlokole nani kakudanganya mungu ni SHetani....Pia kumbuka herufi ndogo kama mungu sio Mungu aliye hai ni mungu wa dunia(Shetani) jitahidi kuandika herufi kubwa majina kama Haya Mungu na wala sio mungu au uandike herufi kubwa yote kama hivi MUNGU
Sent using Jamii Forums mobile app
Walio hamia Dodoma wanawasikitikia.
kwanza dodoma hizo mvua zinatoka wap huko? Kukame balaa.Dar ilijengwa hovyo sana.
Dodoma imejengwa kwa mpangilio huwezi sikia kitu kama hicho cha mvua kidogo mafuriko siku tatu, Dar es salaam kila mtu kajenga anavyotaka nyumba zipo kama zilikuwa zinatupwa sio kujengwa.
Mkuu Mwanza hii hii ya TZ..Kama haijatokea mahali ulipo basi usikatae.Hiyo itakuwa ni Mwanza ya Malawi ila Mwanza ya Tz haiko hivyo ulivyoielezea, ki ujumla ukanda wa ziwa Victoria radi ni jambo la kawaida, mara nyingi radi ina strike eneo la ziwa sio kwenye makazi ya watu ikitokea hivyo ni nadra sana labda tuseme mara moja baada ya muongo, na sehemu inayoongoza kwa radi ukanda huu ni Kampala ila huku Mwanza radi ni za kawaida sana.
Mnajiskia sana ka mvua kadogo tu kakinyesha mnatuwekea ma thread kibao mnahisi huku mkoani hazinyeshi?mbona mnatuchukia sana watu wa dar?[emoji3][emoji3][emoji3]
Uko sahihi kabisa hakuna mkoa wowote tz unalalamika sijui mvua zimenyesha leo barabara hazipitiki au wewe umeskia wapi?Sasa dar unaweza kuifananisha na mkoa wowote Tz hii?
Haha mimi nipo Geneva of AfricaWe we kwa vile upo huko Dodoma ndo maana unatucheka
kwanza dodoma hizo mvua zinatoka wap huko? Kukame balaa.
kufika?Ushawahi fika Dodoma?
Chuga
Habari za asubuhi wadau, maeneo ya Mbagala kuna mvua kubwa sana yenye radi inanyesha tangu majira ya saa 12 asubuhi hadi muda huu, radi ni za nguvu hadi ardhi inatetema, tuombe Mungu isilete madhara.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi nimechoka kushauri kuanzia serikali Hadi watu binafsi Mimi kila siku.nashauri serikali ihamasishe watu kununua helikopta serikali haisikii na watu hawasikii wamekazana tu kununua vigari Vitz nk
Watu wakinunua helikopta gharama za ujenzi wa barabara zitashuka na kelele Kama hizi za ohhh barabara ya wapi haipitiki hazitakuwepo .
Ngoja nikajipumzikie kwa Bibi Bukoba Nikaangalie na helikopta yake aliyonunua juzi new model
Kwa kweli mungu asimamie hili hizi radi hapana
Pia kumbuka herufi ndogo kama mungu sio Mungu aliye hai ni mungu wa dunia(Shetani) jitahidi kuandika herufi kubwa majina kama Haya Mungu na wala sio mungu au uandike herufi kubwa yote kama hivi MUNGU
Sent using Jamii Forums mobile app
Dar ilijengwa hovyo sana.
Dodoma imejengwa kwa mpangilio huwezi sikia kitu kama hicho cha mvua kidogo mafuriko siku tatu, Dar es salaam kila mtu kajenga anavyotaka nyumba zipo kama zilikuwa zinatupwa sio kujengwa.