Pamoja na Miundombinu mibovu katika Jiji la Dar es salaam lakini Wana Daaslam nyinyi ni Wachafu mnoooooo. Mitaro mnaziba na magunia ya taka, Vyooo Vinatiririsha Uchafu humo humo, Wauza maembe, miwa, mananasi, nguo nk uchafu wao woooote wanatupia mitaroni tuu. Miafrika sijui fyuzi gani haikuungwa vizuri kwenye mabichwa yetu. Then mitaro ikiziba utatuona tunabana pua ooooooh therikali yetuu nyoooo nyoooooo ole wenu watu kama mie tumekosa hata utendaji wa mtaaa hakyanani mgetoa takataka mitaroni kwa meno yenu wachafu wakubwa nyie mxiuuuuuuuuu.