nafikiri umejua matatizo uliyo nayowew ndio unaupungufu wa akili mpaka unandika mkufikiria sijuh kiswahili cha wapi icho...
Sent using Jamii Forums mobile app
Niko mitaa ya Mwenge.Huku hali ni shwari jua kali sana na joto sio kabisa wew upo dar ipi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndo ujiulize ikipiga kama hiyo huku siitakuwa ni maafa pamoja na maombolezoMafuriko hata California yapo
Wapinzani acheni kuokoteza matukio