UPDATES: Madhara ya mvua iliyonyesha jijini Dar - Desemba 17, 2019

UPDATES: Madhara ya mvua iliyonyesha jijini Dar - Desemba 17, 2019

Watanzania sio wafuatiliaji tu, hizi mvua TMA walishazitangaza na wakatoa tahadhari kwa mikoa ya kanda ya ziwa na ukanda wa pwani dar ikiwemo
Nimekuelewa hoja yako Mamii.
 
Jangwani
Screenshot_2019-12-17-11-53-25.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Poleni aisee...huku Tanga mjini..leo tumeamka na kijiwingu hakuna jua..yaani burdan,mishe zinaendelea kama kawa..ila wingu bado lipo nadhani ni sababu ya hiyo mvua ya huko daslam...
 
Back
Top Bottom