Boveta
JF-Expert Member
- Jul 23, 2019
- 3,174
- 3,804
Inatia uchungu kwa aina ya kizazi cha carible ya Kawe Alumni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inatia uchungu kwa aina ya kizazi cha carible ya Kawe Alumni
UNAWAZA UFIPA?Vipi waliopo karibu na ufipa
Jengo letu lipo salama?
Nimekuelewa hoja yako Mamii.Watanzania sio wafuatiliaji tu, hizi mvua TMA walishazitangaza na wakatoa tahadhari kwa mikoa ya kanda ya ziwa na ukanda wa pwani dar ikiwemo
Wewe unaishi huko?Hahahaha kazi kweli kweli,, na vyenye kila mtu yuko ndani ya geti lake hamna mwenye habari na mwenzie sasa sijui huo muafaka wa kujichangisha wataufikia lini..
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe unaishi huko?
Dada kumbe unaish mbagalaMbagala niliyopo imenyesha nje kumelowa ndembendembe... nimerudi kitandani kujilaza nimejigubika blanketi bwiiii.
Naperuuuzzzzzz na Kudaaadiiiizzzzzz
Hili hapa MpwaLeo ndo Ile siku unazururazurura dar Mara tuu unaona gar na unaliokota na linakuwa lako
Kwani WAPUMBAVU wa Magufuli, MaCCM yanasemaje.
DAR IPO VIZURI, ILA MABEBERU HAWANA NIA NJEMA NA INCHI YETU.