Kwame Nkrumah
JF-Expert Member
- Dec 2, 2008
- 886
- 376
Kakatwa naye mpwa???
Si Tabora tu majimbo yafuatayo mbunge aongozi zaidi ya miaka motano no Musoma mjini, mwibala, nyamagana, shinyanga mjini, Rufiji nk
Maskini nape
Awena adabu walumshauri achananae Hugo akampelekea policemzee wawatu hanapesa wala akuwa anagawa rushes
Ukonga oyeeee
Mkono anagombea Butiama
.Wengine wapumzike tu wawapishe vijana hoja hawana kazi ndiyoooooooooo!
unamfahamu emmanuel papian vizuri? Au unachuki nae kwakuwa sio masai kama wewe!!!! Nizamu ya wakulima kuongoza mwaka huuanashindana na raia wakuandishwa wa rwanda mwenye cheti namba 11504 na faili namba: Dn.377799. Kama kweli huyu bwana ni mzalendo tumpe jukumu la kuimba ubeti wa kwanza wa wimbo wa taifa. Wazalendo wa kweli ni amina mrisho na benedict ole nangoro. Hawa wa 2 wana uchungu na nchi yao na kila wanapopata ushindi wanasheherekea hapa hapa tanzania na siyo kigali rwanda.
DC Masala asibweteke na ushindi wa kura ya maoni. CCM wana historia ya kubadilisha matokeo ya kura za maoni na kuweka mgombea wanayemtaka wao kwa vigezo vyao.
Hata hivyo jimbo hilo ni la UKAWA mwaka huu.
Kama ni kweli mwamoto kashinda, ni kama namuona Msolla akienda SUA kuomba kufundisha kwa mkataba
In the direction of force,and if net force is greater than zero tracy martins...!!:glasses-nerdy:inawezeka yuko sahii kwani kuna workdone negative ? W equal to FS.