Wana jf, yule nguli wa maneno ya kejeri bungeni na kwa vyombo vya habari hatimaye amebwagwa chali katika matokeo ya awali jimbo la mkurunga. Hii imethitishwa katika matokeo ya awali katika kata mbili amvazo zimesjatoa matokeo.
Aidha mke wake na wapambe walionekana wKihaha huko na huku kuwaadaa idara ys wazai na wanawake lakini hata hivyo kachemsha.
Mh. Malima analalamikiwa na wananchi kwakushindwa kuwaboreshea miundo mbinu kama vile barabara.
Pia huduma xa jamii kama vile shule,afya umeme na maji. Kwaniaba ya wapenda maendeleo, nachukua fursa hii kuwashukuru wanamkurunga kwa maamuzi magumu.
MKURANGA BILA MALIMA INAWEZEKANA