Elections 2015 Updates: Mchakato na Matokeo ya kura za maoni ya Ubunge CCM nchini kote

Huku Serengeti mwamko ni mdogo wa wapiga kura, wagombea wawili wamesusa baada ya yule mwenzao (Kebwe) kugawa rushwa ovyo. Inasemekana zoezi linaweza simama.

Wacha yatowane ngeu
 

Duuu from kugombea ubunge to udiwani
Hongera mwampamba kichwa kikubwa akili hamna
 
Kutoka Arusha ccm hali tete wafuasi wake wamejitokeza wachache sana na waandikishaji wanasinzia kwa kukosa watu source: radio sun rice 94.85 arusha

Hizo ni salaam tosha kwa magamba kuwa mwaka huu ni mwaka wa shiida
 
Kutoka Arusha ccm hali tete wafuasi wake wamejitokeza wachache sana na waandikishaji wanasinzia kwa kukosa watu source: radio sun rice 94.85 arusha

Niko hapa Majengo mapya Shy, nimepita kituo cha Shitta shule ya Msingi wasimamizi wanapapasana tu yaani watu hawapo kabisa! Magamba hapa mini wanapigwa tena!!! Safari hii ushindi wa kura 1 haukubaliki!
 
Kutoka Arusha ccm hali tete wafuasi wake wamejitokeza wachache sana na waandikishaji wanasinzia kwa kukosa watu source: radio sun rice 94.85 arusha

Niko hapa Majengo mapya Shy, nimepita kituo cha Shitta shule ya Msingi wasimamizi wanapapasana tu yaani watu hawapo kabisa! Magamba hapa mini wanapigwa tena!!! Safari hii ushindi wa kura 1 haukubaliki!
 

Nguvu ya Dr kamala ni kubwa kwa kipindi hiki.
 
Huku Bukoba Vijijini wagombea kwa CCM ni Karamagi na Rweikiza,kila mmoja kagawa manoti!mfano ktk kata moja ya Izimbya Karamagi amegawa 5000/= kwa kila mwananchi,ila ametoa angalizo kuwa kama akikatwa anahamia CHADEMA na kumfata swahiba wake el the don.

Kwa upande wa udiwani ktk kata ya Izimbya wako wagombea wanne,mmoja ni diwani anayetetea kitu chake,ila wote wametembeza karanga,na wote wameapiana kuwa iwapo mmoja wapo atakatwa basi wale wote watatu waliokatwa watampa kura mgombea wa chadema,wao na wafuasi wao,ahahaha
 
Mtu mmoja amekamatwa akiwa ktk harakati za kuingiza kura zilizotikiwa tayari kwenye box la Kura.

Katika kata hii ya Kaloleni wagombea wenye upinzani mkubwa ni Tojo na Seif Simba.

Kura zilizokamatwa zilitikiwa jina la Seif Simba.

Baada ya vurugu kutokea mjumbe wa halmashauri kuu Ndugu Godfrey Mwalusambo aliweza kumuokoa Mtu huyo na kumpeleka Polisi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…