Elections 2015 Updates: Mchakato na Matokeo ya kura za maoni ya Ubunge CCM nchini kote


Ndicho wanachoweza
 
Mambo ya magamba msilete huku ... hao wamezoea magoli ya mkono siku zote
 
wachapwe tu kwani tumewachoka na rushwa akuna namna nyingine.
 
Huu mfumo wa maccm tumeuuchoka
Waondolewe tuu October tumewachoka
 

Nkende ni ngedere....wengine wataelewa vibaya
 
Last edited by a moderator:
Tutafahamu jioni kati ya Sendeka na Toima....maana iko wazi kuwa Sendeka hatakiwi kabisa.
 

Duuu...huku ni kina muganyizi tuuu ...
hapa kuna kitu tofauti nimejifunza
maana sijaona hapo kina
Simba Mpunda (kutoka songea)
Mushi Kileo (wachaga)
Mwakatumbula Mwakyambiki (wanyakyusa)
Kikoti Kufakunoga (wahehe)
Ngosha N'gwanangwa (wasukuma)
Sanga Chengula (wakinga) n.k
hiyo ni baadhi tu ya mifano niliyoitoa ....wadau mnaweza toa zaidi.
 
Wameanza kuchanganyikiwa kabla ya oktoba.
 

Unamaanisha.........!!!!
 
Dalili za kushindwa zimeanza kuonekana mapema
 
Niko hapa Majengo mapya Shy, nimepita kituo cha Shitta shule ya Msingi wasimamizi wanapapasana tu yaani watu hawapo kabisa! Magamba hapa mini wanapigwa tena!!! Safari hii ushindi wa kura 1 haukubaliki!

Wewe utakuwa umesahau hand goal
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…