Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mavunde yule MC mwenye sauti nzito?Dodoma mjini kapenya Mavunde, yule mzee wakupiga makofi na kuuchapa usingizi Dr. Malole kapigwa chini
Nimechukia kuona amepata kura hata hizo 5200. Huyu alistahili kupata kura 15 tuu kutoka familia yake, hii inaonyesha bado kuna watu hawaelewi nini kinaendelea hapa nchini.
Dodoma mjini kapenya Mavunde, yule mzee wakupiga makofi na kuuchapa usingizi Dr. Malole kapigwa chini
Kama kuna watu alikuwa anawategemea sana Lowasa katika mikakati yake basi ni pamoja na huyu Hussein Bashe. Bashe ni miongoni mwa makada wa CCM ambao walitajwa kuhamia CHADEMA kumfuata bosi wao Lowasa. Pia alikuwepo Mussa Zungu, Kangi Lugola, Christopher Ole Sendeka nk. Ushindi wa makada hawa hakika ni pigo kubwa sana kwa Lowasa. Sidhani kama kuna dalili za yale Mafuriko ya makada wa CCM kukimbilia CHADEMA. Mpaka sasa, katika watu wake wa karibu, ni mkewe tu ndiye aliyeenda CHADEMA.
Na bado
Huyo mmama amegawa sana hela..Mtaani jana ilikuwa ni sherehe
Ningekuwa mwana ccm ningepatwa na hofu sana wafuasi kindakindaki wa EL kubaki ccm na kuwa kwenye vyombo nyeti vya maamuzi.
Mfano Nchimbi, Kimbisa et al. Kama unajua siasa utakuwa umenielewa
Furahia Bashe kushinda kura za maoni kwa sasa
WANAOONGOZA KURA ZA MAONI MAJIMBONI MPAKA SASA:
1. Mwigulu - Iramba
2. Nape - Mtama
3. Mwakasaka - Tabora Mjini
4. Mama Sitta - Urambo
5. Kadutu - Ulyankulu
6. Bashe - Nzega
7. Ngeleja - Sengerema
8. Seif - Igunga ktk jimbo jipya.
9. Masaburi - Ubungo
10. Patel - Ukonga
11. Prof Kamala - Nkenge, Misenyi
12. Kagasheki -
13. Lukuvi - Isimani
14. January - Bumbuli
15. Muhongo - Musoma vijijini
16. Ndugai - Kongwa
17. Chumi - Mafinga
18. Kigola - Mufindi kusini
19. Mgimwa - Mufindi kaskazini
20. Filikunjombe - Ludewa
21. Mgimwa - Kalenga...
22. Lusinde - Mtera
23. Imani Moshi - Kaliua bado kata 2
Ningekuwa mwana ccm ningepatwa na hofu sana wafuasi kindakindaki wa EL kubaki ccm na kuwa kwenye vyombo nyeti vya maamuzi.
Mfano Nchimbi, Kimbisa et al. Kama unajua siasa utakuwa umenielewa
Furahia Bashe kushinda kura za maoni kwa sasa
Lowasa ana hela lakini watu hana.Nilishangaa MBowe aliposema eti lowasa atawaleta wanaCCM mamilioni kuhamia CHADEMA.Lowasa ana watu CCM kawatoa wapi? Akina mbowe jiandaeni hao hao mlionao ndio atakaowatumia yeye kaja mweupe hana wafuasi huyo ana wapenzi tu wa muda kutegemea na hela alizowamwagia.Mtu mwenye watu CHADEMA ni SLAA SIO MBOWE na CUF ni SEIF sio Lipumba.
Lowasa mliyemchukua CHADEMA mmechukua mtu asiyekuwa na watu huyo alikuwa anategemea wana CCM wenye watu wampe na wamsaidie kampeni.Mbowe sababu hana watu hawezi mbeba Lowasa.Ni wajanja wawili wasio na watu wanaoviziana Mbowe akidhani Lowasa ana watu na Lowasa akivizia na kudhani mbowe ana watu.Wamekutana wajanja wa mjini wawili wasiokuwa na watu.CHADEMA itagaragazwa safari hii uchaguzi mkuu hadi basi.Matokeo ya safari yatakuwa ya aibu kwa CHADEMA mark my words.