Updates: Uzinduzi wa Kishujaa wa jezi ya Mnyama Simba Sc

Aibu nyingine hii[emoji23][emoji23] haya malonya ndio walikua wana dhurula nayo usiku na mchana
 
Baadae msije mkasema Bora Fred Vunja bei, wekeni na akiba ya maneno na hizi sifa , baadae tutafufua makaburi .
 
Hivi Simba Kile kibegi Kule kileleni kina nini sababu ulitakiwa jezi iwekwe ndio wafate hawa watu kwenye picha kwanza jezi zingeanzia kileleni Kule au mmepeleka uchawi Kule juu mana hata haieleweki mpaka sasa
 
Kuanzia Kibegi hadi hizi Jezi ndio habari ya mjini..daah yaani si Twitter si kwenye status za whatsup...sipati picha mitaani kesho na kuendelea ....sherehe yao kule imedodaaaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…