OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
- Thread starter
-
- #81
Hv Ndo Hizo Mlokuwa Mnahangaika Kuzipandisha Mlima Au Kuna Zingine? [emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 2695478
Kwa hii mijezi mikali nashauri Uto wahairishe kwanza bonanza
Hujajitambulisha kama wewe ni UtopoloHv Ndo Hizo Mlokuwa Mnahangaika Kuzipandisha Mlima Au Kuna Zingine? [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Jezi kama Kaniki au Sanda bwana.
Then tell people that you are the great haterJezi kama Kaniki au Sanda bwana.
Aiseeeee wanetu mmepigwa, check hiyo shingo ya jezi ya bluuView attachment 2695490
Vile hakuwepo Uturuki mlisema, sasa hivi hayupo Kilimanjaro mnasema tena. Any way kazi yake alishamaliza kuhakikisha kibegi kimefika salama mkoani Kilimanjaro na kukabidhi kwa wahusika kwa ajili ya kupanda nachoAhmed Ally yuko Wapi?
White kali