Upendo Nkone anyooshwa na walokole wa DRC

Upendo Nkone anyooshwa na walokole wa DRC

Amesema mwenyewe;

"Basi nimepata mwaliko mwingine wa kwenda kuhudumu congo [emoji120][emoji120].

Wakasema tunaomba picha ya matangazo, nikawatumia picha nyingi wachague. Wakanijibu hawazipendi maana nimevaa mahereni na macheni [emoji24][emoji24], wenyewe wanaita (mabishuu) wakasema wanataka niwatumie picha ambayo nimefunika kichwa na nisivae cheni wala herenii [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787].

Mtihani mzitooo. Sikuwa na namna imebidi nikaipige picha wanayotaka na tayari nimewatumia. Duuu makanisa ya Kipentecoste ni balaa. Wamejua kuninyoosha [emoji1787][emoji1787][emoji122]..

Ngoja sasa uone wale wanaonionyaga nisivae hereni wala cheni leo watakavyotitirika hap,a maana wamepata wenzao."

Source: Facebook account ya Upendo Nkone.

Waimba gospel mnaotumia mkorogo piteni hapa mjifunze kitu kwa huyu mama.
View attachment 2656431
Walokole wengi wa Bongo wamehairisha trip ya paradiso
 
Yupo pale Mwenge makao makuu ya full gospel Bible fellowship church

Ila maisha ya Kwenye Tv na Media ni ya Kipumbavu sana, Enzi hizo kabla Sijafika jiji la Chalamila kwa Sasa, nilikuwa nikimfuatlia Kakobe kwenye Tv akiwa anafundisha kanisani kwake apo Pembeni na Mlimani city nilijua ni Bonge la Kanisa na Pengine hata Waumini Maelefu kwa maelefu wangeweza kusali humo, nilivyokuja kupajua live Sikuamini tena kitu ya Kuona kwenye Tv.
 
Ila maisha ya Kwenye Tv na Media ni ya Kipumbavu sana, Enzi hizo kabla Sijafika jiji la Chalamila kwa Sasa, nilikuwa nikimfuatlia Kakobe kwenye Tv akiwa anafundisha kanisani kwake apo Pembeni na Mlimani city nilijua ni Bonge la Kanisa na Pengine hata Waumini Maelefu kwa maelefu wangeweza kusali humo, nilivyokuja kupajua live Sikuamini tena kitu ya Kuona kwenye Tv.
Mimi bado nafuatilia kwenye TV mkuu kwani kupoje kiuhalisia?
 
Amesema mwenyewe;

"Basi nimepata mwaliko mwingine wa kwenda kuhudumu congo [emoji120][emoji120].

Wakasema tunaomba picha ya matangazo, nikawatumia picha nyingi wachague. Wakanijibu hawazipendi maana nimevaa mahereni na macheni [emoji24][emoji24], wenyewe wanaita (mabishuu) wakasema wanataka niwatumie picha ambayo nimefunika kichwa na nisivae cheni wala herenii [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787].

Mtihani mzitooo. Sikuwa na namna imebidi nikaipige picha wanayotaka na tayari nimewatumia. Duuu makanisa ya Kipentecoste ni balaa. Wamejua kuninyoosha [emoji1787][emoji1787][emoji122]..

Ngoja sasa uone wale wanaonionyaga nisivae hereni wala cheni leo watakavyotitirika hap,a maana wamepata wenzao."

Source: Facebook account ya Upendo Nkone.

Waimba gospel mnaotumia mkorogo piteni hapa mjifunze kitu kwa huyu mama.
View attachment 2656431
Kawa binti SAYUNI 😎😂😂😂
 
Ila maisha ya Kwenye Tv na Media ni ya Kipumbavu sana, Enzi hizo kabla Sijafika jiji la Chalamila kwa Sasa, nilikuwa nikimfuatlia Kakobe kwenye Tv akiwa anafundisha kanisani kwake apo Pembeni na Mlimani city nilijua ni Bonge la Kanisa na Pengine hata Waumini Maelefu kwa maelefu wangeweza kusali humo, nilivyokuja kupajua live Sikuamini tena kitu ya Kuona kwenye Tv.
Na kamwe usiziamini camera 😂
 
Back
Top Bottom