Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Njaa na akili haviwezi kukaa sehemu moja.Umeacha mapambano ukiwa bado kijana sana, tena umekata tamaa tukiwa tunaelekea kwenye kilele cha Mafanikio.
Wakatti tunaandamana wote kupinga Mauaji ya Mwangosi, Emmanuel Nchimbi alikuwa mhusika, akishirikiana na Michael Kamuhanda.
Tunakutakia kila la heri
Kwanza usimuamini mwanamke yeyote...huyu Dada alidhalilishwa na kutukanwa na Ccm wakati wa kampeni leo amejiunga nao?
Alishaona Hali tete kwenye maamuzi ya mahakama na pia hatakubalika kwenye uchaguzi ujao akaona aanze safari huenda hata akapata ya kuteuliwa.Maskini Pendo, hakua na future! Kila la heri katika kuuza utu wako ili upate mkate wako
Hahahahahahahhah maisha hayaAlishaona Hali tete kwenye maamuzi ya mahakama na pia hatakubalika kwenye uchaguzi ujao akaona aanze safari huenda hata akapata ya kuteuliwa.
Chumvi tuu.
Wacha weeeee, Kesho akihamia CCM Mbowe utasema anajitambua, CCM ni mwehu Tu na mlafi ndio ataenda CCMCHADEMA watabaki wasiojitambua tu na wavuta bangi kama Mdude Nyagali ambaye kichwani hazisomi.
Jukumu lako kutafakari!Yeye au wewe??
Njaa!..huyu Dada alidhalilishwa na kutukanwa na Ccm wakati wa kampeni leo amejiunga nao?
SawaaJukumu lako kutafakari!
Kama alivyo mamako na babako wasivyojitambua kukuzalia chooni ms..ge.CHADEMA watabaki wasiojitambua tu na wavuta bangi kama Mdude Nyagali ambaye kichwani hazisomi.
Nashukuru sana ndugu yangu. Mungu akubariki sana . Aendelea kukulinda,kukupigania na kukutetea wakati wote zidi ya nguvu za shetani.Kama alivyo mamako na babako wasivyojitambua kukuzalia chooni ms..ge.
Hatimaye nimefikiwa.alijua hilo ndo maana amekuja,
Kazi kwako....nyoosha goti teleza!
Njaa!
Huyu ni MtutsiAliyekuwa Mbunge wa Vitu Maalum Chadema, Mweka Hazina wa Kanda ya Victoria na Mgombea Ubunge Jimbo la Geita kupitia Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Ndg. Upendo Peneza, amehamia CCM leo katika mapokezi ya Katibu Mkuu wa CCM Balozi Dkt Emmanuel John Nchimbi.
Mapambano yapi?Umeacha mapambano ukiwa bado kijana sana, tena umekata tamaa tukiwa tunaelekea kwenye kilele cha Mafanikio.
Wakatti tunaandamana wote kupinga Mauaji ya Mwangosi, Emmanuel Nchimbi alikuwa mhusika, akishirikiana na Michael Kamuhanda.
Tunakutakia kila la heri
DAB kama DABCHADEMA watabaki wasiojitambua tu na wavuta bangi kama Mdude Nyagali ambaye kichwani hazisomi.