Pre GE2025 Upendo Peneza ahamia CCM, awananga CHADEMA

Pre GE2025 Upendo Peneza ahamia CCM, awananga CHADEMA

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Umeacha mapambano ukiwa bado kijana sana, tena umekata tamaa tukiwa tunaelekea kwenye kilele cha Mafanikio.

Wakatti tunaandamana wote kupinga Mauaji ya Mwangosi, Emmanuel Nchimbi alikuwa mhusika, akishirikiana na Michael Kamuhanda.

Tunakutakia kila la heri
Njaa na akili haviwezi kukaa sehemu moja.
 
Ni haki yake kwenda anakotaka na ashukuriwe kwa mchango aliotoa kwa chama chake cha awali. Muhimu ni asianze kutukana alikotoka (kama wakina Lijualikali) maana kuna kesho. Na Chadema wasimsakame.

Amandla...
 
Aliyekuwa Mbunge wa Vitu Maalum Chadema, Mweka Hazina wa Kanda ya Victoria na Mgombea Ubunge Jimbo la Geita kupitia Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Ndg. Upendo Peneza, amehamia CCM leo katika mapokezi ya Katibu Mkuu wa CCM Balozi Dkt Emmanuel John Nchimbi.

Huyu ni Mtutsi
 
Amechelewa sana kufanya huo uamuzi. Mtoto mzuri kama Upendo hakupaswa kuwa kwenye hilo genge la wahuni wanaotukana hadi maaskofu... CHADEMA panawafaa watu kama Mdude wasiojitambua. NINAMPONGEZA SANA kwa kujiondoa kwenye kundi la wapuuzi wanaotumia matusi kama ndo sera ya chama chao.
 
Umeacha mapambano ukiwa bado kijana sana, tena umekata tamaa tukiwa tunaelekea kwenye kilele cha Mafanikio.

Wakatti tunaandamana wote kupinga Mauaji ya Mwangosi, Emmanuel Nchimbi alikuwa mhusika, akishirikiana na Michael Kamuhanda.

Tunakutakia kila la heri
Mapambano yapi?
 
Back
Top Bottom