Pre GE2025 Upendo Peneza awahamasisha wanachadema sasa waandamane kuelekea ofisi za chama chao kupinga rushwa

Pre GE2025 Upendo Peneza awahamasisha wanachadema sasa waandamane kuelekea ofisi za chama chao kupinga rushwa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kumekucha! Maguzu masese.

Upendo Peneza ana hoja, kwamba, kwa muda mrefu wanachadema wamekuwa wakiandamana kwa kuisingizia serikali kwamba kuna rushwa ndani yake.

Upendo Peneza anasema, kwa kuwa ndani ya Chadema imethibitika pamevunda na kuoza kwa rushwa, basi maandamano ya wanachadema yaelekee ofisi za makao makuu ya chama.

View attachment 2995704
Mimi namshauri awaambie makada wenzake Halima Mdee na genge lake wakome kuleta hela chafu toka CCM, na hizo walizoleta zimeliwa na hoja ya wao kusamehewa imekataliwa.
 
Kumekucha! Maguzu masese.

Upendo Peneza ana hoja, kwamba, kwa muda mrefu wanachadema wamekuwa wakiandamana kwa kuisingizia serikali kwamba kuna rushwa ndani yake.

Upendo Peneza anasema, kwa kuwa ndani ya Chadema imethibitika pamevunda na kuoza kwa rushwa, basi maandamano ya wanachadema yaelekee ofisi za makao makuu ya chama.

View attachment 2995704
bishangazi naona kawekewa mafuta full tanki
 
Kanateseka haka kadada. Ngoja mbususu ichakatwe huko ccm katatulia kama yule wa Mbozi walivyommimba naona siku hizi kasahau hata kama alikuwa CHADEMA
 
..Chadema waandamane kwenda kwenye ofisi za chama chao kupinga ubadhirifu wa fedha.

..Je, wananchi wa kawaida tuandamane kwenda IKULU kupinga hali ngumu ya uchumi, ubadhirifu, na ufisadi wa serikali ya Samia Suluhu?

..Hivi Upendo anasoma ripoti za CAG? Je, ana uchungu wowote na madudu ya serikali yanayoripotiwa? Anatushauri tuandamane kwenda wapi?
 
Rushwa gani CHADEMA?. Na hiyo Ripoti ya CAG haioni?. CCM hawajampa attention anayoitaka ndio maana amebakia kubwatuka. Mwakani alikuwa anachukua Jimbo la Geita Mjini, sijui nani kamdanganya.
 
Kumekucha! Maguzu masese.

Upendo Peneza ana hoja, kwamba, kwa muda mrefu wanachadema wamekuwa wakiandamana kwa kuisingizia serikali kwamba kuna rushwa ndani yake.

Upendo Peneza anasema, kwa kuwa ndani ya Chadema imethibitika pamevunda na kuoza kwa rushwa, basi maandamano ya wanachadema yaelekee ofisi za makao makuu ya chama.

View attachment 2995704
CHADEMA angeiua kikwete kabla ya 2010 ila kwa ilipofikia hata jiwe angefufuka in a fair political ground hawa jamaa ni habari nyingine,hongera kwa Mbowe etal
 
Kumekucha! Maguzu masese.

Upendo Peneza ana hoja, kwamba, kwa muda mrefu wanachadema wamekuwa wakiandamana kwa kuisingizia serikali kwamba kuna rushwa ndani yake.

Upendo Peneza anasema, kwa kuwa ndani ya Chadema imethibitika pamevunda na kuoza kwa rushwa, basi maandamano ya wanachadema yaelekee ofisi za makao makuu ya chama.

View attachment 2995704
Uyu naye kaenda ccm ya chadema yanamhusu nini
 
Rushwa gani CHADEMA?. Na hiyo Ripoti ya CAG haioni?. CCM hawajampa attention anayoitaka ndio maana amebakia kubwatuka. Mwakani alikuwa anachukua Jimbo la Geita Mjini, sijui nani kamdanganya.
Huyu ndo wale aliokua akiwazungumzia Kambarage,yaani wanasiasa wenye tabia za"kimalayamalaya"
 
Kumekucha! Maguzu masese.

Upendo Peneza ana hoja, kwamba, kwa muda mrefu wanachadema wamekuwa wakiandamana kwa kuisingizia serikali kwamba kuna rushwa ndani yake.

Upendo Peneza anasema, kwa kuwa ndani ya Chadema imethibitika pamevunda na kuoza kwa rushwa, basi maandamano ya wanachadema yaelekee ofisi za makao makuu ya chama.

View attachment 2995704
Ulikokimbilia Kuna siku utalia machozi mdogo wangu !
 

Attachments

  • VID-20240521-WA0015.mp4
    16 MB
Back
Top Bottom