Pre GE2025 Upendo Peneza: Maandamano ya CHADEMA hayahusu Miswada, yanalenga kuangalia kama bado wana watu

Pre GE2025 Upendo Peneza: Maandamano ya CHADEMA hayahusu Miswada, yanalenga kuangalia kama bado wana watu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Huyu alikuwa anasubiriwa akina Halima Mdee watemeshwe Ubunge na Mahakama Ili wao waingie

Sasa Mdee na wenzake wamekata Rufaa imebidi akubali yaishe na kujisalimisha CCM

Ile ziara ya Mbowe na Halima Mdee Kanisani KKKT itawakimbiza Bawacha wengi
Na anajua kucheza na maneno ambayo wateuzi ndani ya ccm wanataka kuyasikia.
Naona Yahaya (Madilu) kaona hii ya kumlipia invoice haina maana wakati anaweza akatoka kule na kuingia CCM akapewa uteuzi ili kama invoice awe anajilipia mwenyewe kupitia mchongo atakaopewa.
 
Anatoka mkoa wa madini, anatupia madini katika siasa, kudos Upendo
 
Lazima KAAHIDIWA something kaUpendo nakajua sana.
Imagine ka upendo kanakuwa ka mkuu wa mkoa halafu kanakufokea, na kalivyo kazuri, yaani unavumilia tu moyoni unasema, hiiiiiii!!!!!asante Mungu kwa huu uumbaji
 
Aandae ngozi tu wakubwa waichape apate teuzi maisha yaendelee.
 
Wapumbavu sana!

Mwambukusi aliitisha maandamano ya kutetea bandari machadema yakambeza!

Alafu eti maandamano ya kutetea vyeo vyao ndio wanataka nchi nzima tutoke!
 
Akitangaza kuhamia CCM jana January 22, Upendo Peneza amesema kuwa...

"Sasa tuna hoja nzuri sana mezani, Bungeni kuna Miswada mitatu ya Sheria ambayo inabidi ipitishwe na Bunge lakini mmesikia Mwenyekiti Freeman Mbowe (Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa) akitangaza maandamano jambo ambalo Mimi naliona (na haya ni mawazo yangu binafsi), Mimi nadhani Viongozi wapo kwenye mshtuko, wanataka kukagua kwa sababu wameshawafanya Wananchi na Wanachama wao ni bidhaa sasa wanataka kutumia maandanamano waangalie hivi tuna bidhaa ngapi na zipi zilizoondoka

Wameshapoteza uhalali wa Kisiasa sasa wanalazimisha uhalali wa Kisiasa wanataka kwenda kwenye maandanamano, wanatumia hoja nzuri sana, na hoja hii naomba niwashukuru sana Viongozi wa Dini na Watu wote ambao wameenda kutoa maoni

Hoja ni nzuri sana lakini inatajwa hoja nzuri ili kuwaaminisha Watu kwamba hiki ndicho wanachokipigania ili Watu kuwaingiza Barabarani lakini lengo ni kuangalia hivi hizo bidhaa bado tunazo au zimeshatukimbia?"

Peneza umeingia CCM relax,kula kwa adabu usitukane ulipotoka

I even contributed my 200,000/= kwenye kampeni of this motherfvcker

Simjui,hanijui ila nilituma straight M-Pesa just kuunga juhudi

Atateuliwa on something,even uwaziri and shit.
 
Huyu alikuwa anasubiriwa akina Halima Mdee watemeshwe Ubunge na Mahakama Ili wao waingie

Sasa Mdee na wenzake wamekata Rufaa imebidi akubali yaishe na kujisalimisha CCM

Ile ziara ya Mbowe na Halima Mdee Kanisani KKKT itawakimbiza Bawacha wengi
Huyo alikuwa ahame toka kipindi Cha zile siasa chafu za kuunga juhudi, ila alisita. Sasa hivi ameamua kujilipua maana ameona atakufa njaa wakati wenzake wanafaidi kwa kuamua kujizima Data. Ccm kwa sasa wamepoteza mvuto, hivyo wanadhani wakichukua watu wenye mvuto ndani ya cdm huo mvuto utahamia kwao.
 
Wapumbavu sana!

Mwambukusi aliitisha maandamano ya kutetea bandari machadema yakambeza!

Alafu eti maandamano ya kutetea vyeo vyao ndio wanataka nchi nzima tutoke!
Mkuu

Regardless motive of anything,Chadema ina power!

Na power ni exclusive haitaki umalaya malaya kuchanganya na Mwabukusi and shit.

Chadema ina power...sasa wewe kiutani ruhusu waandamane 24 watakuja wachache then 25 utaona vitu vya ajabu

Ni kesho actually

Nyie jamaa mnataka ku play down Chadema's power as if haina power
 
Peneza umeingia CCM relax,kula kwa adabu usitukane ulipotoka

I even contributed my 200,000/= kwenye kampeni of this motherfvcker

Simjui,hanijui ila nilituma straight M-Pesa just kuunga juhudi

Atateuliwa on something,even uwaziri and shit.
Homeboy hiki kishageuka
Huko anatafuta cheo kwa
Nguvu tu ,sana sana anapigania tumbo lake

Ova
 
Akitangaza kuhamia CCM jana January 22, Upendo Peneza amesema kuwa...

"Sasa tuna hoja nzuri sana mezani, Bungeni kuna Miswada mitatu ya Sheria ambayo inabidi ipitishwe na Bunge lakini mmesikia Mwenyekiti Freeman Mbowe (Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa) akitangaza maandamano jambo ambalo Mimi naliona (na haya ni mawazo yangu binafsi), Mimi nadhani Viongozi wapo kwenye mshtuko, wanataka kukagua kwa sababu wameshawafanya Wananchi na Wanachama wao ni bidhaa sasa wanataka kutumia maandanamano waangalie hivi tuna bidhaa ngapi na zipi zilizoondoka

Wameshapoteza uhalali wa Kisiasa sasa wanalazimisha uhalali wa Kisiasa wanataka kwenda kwenye maandanamano, wanatumia hoja nzuri sana, na hoja hii naomba niwashukuru sana Viongozi wa Dini na Watu wote ambao wameenda kutoa maoni

Hoja ni nzuri sana lakini inatajwa hoja nzuri ili kuwaaminisha Watu kwamba hiki ndicho wanachokipigania ili Watu kuwaingiza Barabarani lakini lengo ni kuangalia hivi hizo bidhaa bado tunazo au zimeshatukimbia?"

Uzuri ni kwamba kuondoka kwake hakujabadili chochote.
 
Mkuu

Regardless motive of anything,Chadema ina power!

Na power ni exclusive haitaki umalaya malaya kuchanganya na Mwabukusi and shit.

Chadema ina power...sasa wewe kiutani ruhusu waandamane 24 watakuja wachache then 25 utaona vitu vya ajabu

Ni kesho actually

Nyie jamaa mnataka ku play down Chadema's power as if haina power
Chadema kiwanda kinawazalisha kila leo maana huko ccm wako watu kama wakina magige
Chadema kuna vijana walikuja hata kuchana nywele hawajui..chini kutwa kuvaA makobaZ
Wakapikwa wakapata ubunge
Leo hii wako ccm basi wanajiona
Miamba

Ova
 
Huyu alikuwa anasubiriwa akina Halima Mdee watemeshwe Ubunge na Mahakama Ili wao waingie

Sasa Mdee na wenzake wamekata Rufaa imebidi akubali yaishe na kujisalimisha CCM

Ile ziara ya Mbowe na Halima Mdee Kanisani KKKT itawakimbiza Bawacha wengi
Hahahahahahah sema huyu manzi ni kisu ile laana..... kuna mabazazi ndani ya chama lazima wajitafunie piga ua.
 
Wapumbavu sana!

Mwambukusi aliitisha maandamano ya kutetea bandari machadema yakambeza!

Alafu eti maandamano ya kutetea vyeo vyao ndio wanataka nchi nzima tutoke!
Hakuna anayelazimishwa kuandamana kwenye hayo maandamano ya cdm, na Wala ww hutakiwi kwenye hayo maandamano maana utaishia kupora vitu vya watu. Cdm ni taasisi ina taratibu zake. Mwabukusi ni taasisi gani?
 
Akitangaza kuhamia CCM jana January 22, Upendo Peneza amesema kuwa...

"Sasa tuna hoja nzuri sana mezani, Bungeni kuna Miswada mitatu ya Sheria ambayo inabidi ipitishwe na Bunge lakini mmesikia Mwenyekiti Freeman Mbowe (Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa) akitangaza maandamano jambo ambalo Mimi naliona (na haya ni mawazo yangu binafsi), Mimi nadhani Viongozi wapo kwenye mshtuko, wanataka kukagua kwa sababu wameshawafanya Wananchi na Wanachama wao ni bidhaa sasa wanataka kutumia maandanamano waangalie hivi tuna bidhaa ngapi na zipi zilizoondoka

Wameshapoteza uhalali wa Kisiasa sasa wanalazimisha uhalali wa Kisiasa wanataka kwenda kwenye maandanamano, wanatumia hoja nzuri sana, na hoja hii naomba niwashukuru sana Viongozi wa Dini na Watu wote ambao wameenda kutoa maoni

Hoja ni nzuri sana lakini inatajwa hoja nzuri ili kuwaaminisha Watu kwamba hiki ndicho wanachokipigania ili Watu kuwaingiza Barabarani lakini lengo ni kuangalia hivi hizo bidhaa bado tunazo au zimeshatukimbia?"

Ukitaka cheo CCM hakikisha unawatukana CHADRMA uwezavyo😀
 
Back
Top Bottom