Pre GE2025 Upendo Peneza: Maandamano ya CHADEMA hayahusu Miswada, yanalenga kuangalia kama bado wana watu

Pre GE2025 Upendo Peneza: Maandamano ya CHADEMA hayahusu Miswada, yanalenga kuangalia kama bado wana watu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Sijawahi kuwa mfuasi wq siasa za kitoto kikahaba Kama hizi, so far anachokifanya makonda huku mikoani sio kupima upepo Kama Bibi kirembwe wake anakubalika au laah!.
 
Sijawahi kuamini mara moja chochote kinachotoka kinywani mwa mwanasiasa yeyote yule!... Hasa nyakati kama hizi...

Aelewe ya kwamba ni rahisi sana kuibomoa nyumba yako ya zamani!.... Lakini Kuna kazi kubwa zaidi! ... kuanza kuijenga nyumba mpya!
Wanasiasa tena nyeusi anakuambia nyekundu
Kesho nyekundu anakuambia nyeusi

Ova
 
Hoja yake je?

Mngekuwa na akili mngeanzia pale pale pa Mwambukusi.

Lakini kwa kuwa haya kuwa maandamano ya kutetea vyeo mkaona mjinga.
Cdm ni taasisi, inashiriki jambo kwa utaratibu, sio mtu yoyote akianzisha hoja basi wanarukia. Vyeo gani ambavyo unaona ni vitu vya maana sana, au ni Yale Yale mambo ya kurukia propaganda za huku mitandaoni na ww unageuza ndio hoja zako?
 
Enzi za magu enzi za bahasha nzito alikuwa wapi kuunga juhudi,sidhani hata laki Tano kapata huyu kwa leo
 
Kaupendo kamehongwa Cheo?
Huko CCM kuna vilaza tupu ndiyo maana wamefuata kichwa toka Chadema,watu wenyewe si unaona hata jukwaani kazi yao uchawa tu,imagine chawa kama Lucas mwashambwa utampa kazi gani atakayoweza?
 
Chadema kiwanda kinawazalisha kila leo maana huko ccm wako watu kama wakina magige
Chadema kuna vijana walikuja hata kuchana nywele hawajui..chini kutwa kuvaA makobaZ
Wakapikwa wakapata ubunge
Leo hii wako ccm basi wanajiona
Miamba

Ova
Mtu kama Silinde na Lijualikali wamekuja wamevaa mabwanga yao hata kufunga tai tumewafundisha sisi.
 
Hii ni hazina adimu ambayo Chadema wameipoteza!


Masikini Chadema...!, lost this Gold in the rough! .
View: https://youtu.be/aHJGqYKrX5U?si=uX9m2pe3OIrHIHTX,
Nimemsikiliza, nimeguswa!.

Kiukweli I was very right about this beautiful queen, young and very energetic lovely lady ambaye ni beauty with brain!.

Nilimfahamia Upendo Peneza kupitia kwa Regia Mtema (RIP) Life After Life: Regia Mtema (RIP) Amerejea Bungeni Kiaina?

Angalieni niliwahi kusema nini kumhusu Upendo Furaha Peneza humu[/SIZE]
  1. Upendo Furaha Peneza (@UpendoPeneza) | Twitte
  2. Upendo Furaha Peneza: Gold in the rough. Vijana CHADEMA mpo?
  3. Upendo Peneza ni malkia Nzinga Mbandi wa BAVICHA
  4. Upendo Peneza: Nahitaji kushinda na nitashinda
  5. Upendo Peneza leo Bungeni; Huyu Dada ana uwezo mkubwa sana
  6. Upendo Peneza wa CHADEMA atoboa siri ya CHADEMA na Sabodo
  7. Mungu amenipa nafasi nyingine ya kumtumikia na kutumikia watu wake. Praise be to God!
  8. Upendo Peneza kapata ajali Geita akitokea kwenye Mikutano ya Kampeni (05 Dec 2014)
  9. Upendo Peneza ataja sifa za mwanaume wa kumuoa
  10. Upendo Peneza (CHADEMA) awalaumu Wabunge wanaohama vyama. Asema chaguzi za marudio ni kucheza pesa za wananchi!
  11. Mheshimiwa Upendo Peneza asisitiza amani akiwa ziarani na Waziri Mkuu
  12. Mbunge Upendo Peneza(CHADEMA) akamatwa Geita mjini, aachiwa kwa dhamana
  13. Je, Rais wetu, Magufuli anasoma JF? Rais, Please msikilize Binti huyu, ana hoja ya Msingi!

Nilikuja kumtafuta na nikaja kukutana nae View attachment 2879719
Hapo tulipokutana, yeye akiwa 20 something, mimi nilikuwa 50 something, nikiwa nimeisha oa na nina watoto 10!, hivyo sikuthubutu kumweleza lolote la moyoni mwangu, ila ningekuwa kijana... nakuapia... Haki ya ...!, nisinge kubali, .... naomba nisimalizie!.

Mungu ambariki sana Upendo Furaha Peneza!, hapa CCM imelamba dume!, naomba mimi ndio niwe mwana JF wa kwanza kuwatangazia Mbunge wa Geita 2025!.

P

CHADEMA ilishawapoteza watu wengi sana kwenye siasa kwa uchache...Zito, Nasari Joshua, Mashinji, Silaa Wilbroad na wengine wengi.
Je, nje ya CHADEMA unawasikia? Unaambiwa akina Mashinji na Nasari wanatembea huku wanajificha baada ya kutoka maofisini wanakotumika wananchi.
Kama mtu anamalengo ya kumtumikia wananchi kwanza kabla ya tumbo lako...suala la kuhama chama wala haina mantiki. Tofauti na hapo ni unafiki tu wa viongozi wengi wa kisiasa. Siasa zilizokomaa zipo huko ulaya na Amerika...mtu hakuungi mkono ndani ya chama na wala afukuzwi wala haondoki ila anaendeleza kile anachokiamini.
 
Mkuu!
.
Point yangu ni kwamba, Maandamano ya Mwambukusi yalikuwa yana maaana sana lakini chadena hawa kumuunga mkono.

Lakini hayo maandamano ya kesho utaona ni ya kutetea vyeo vya kina Mbowe zaidi alafu wanataka kila mtu awaunge mkono
Hawakuweza kuumunga mkono wakati tayari wamefungwa mezani kwenye mazungumzo

Leo mazungumzo mezani yamekufa,anything goes

Plus Mwabukusi ndio wa kuifata Chadema sio Chadema wamfate Mwabukusi

Whatever he does angetakiwa afate ratiba za Chadema,angeuwasha sasa hivi baada ya mazungumzo kufa

Chadema haiwezi kufata watu binafsi wakati ina ratiba ingine tayari,na tasisi haifati mtu binafsi regardless!

Ingetakiwa Mwabukusi ahakikishe ratiba zake zinalengana na za Chadema ku-share the same interests kwa wakati huo

Chadema ni powerful na ina watu mara mamilioni ya Mwabukusi,nani amfate nani?

Mwabukusi kafia pale sababu hana watu,Chadema kasema anaandamana serikali imeufyata wameruhusu coz jamaa wana numbers sio Mwabukusi!
 
Back
Top Bottom