Dawa ya Uvccm
JF-Expert Member
- Aug 3, 2021
- 2,223
- 4,717
Mwabukusi ungeungana naye wewe na wajinga wenzio huko ccm.Hoja yake je?
Mngekuwa na akili mngeanzia pale pale pa Mwambukusi.
Lakini kwa kuwa haya kuwa maandamano ya kutetea vyeo mkaona mjinga.
sawaCcm inafuga nguruwe na mabwabwa kama makonda.
Akimsikiliza pole pole hatotokwa na maneno hayo maana ana safari ndefuAkumbuke kuna waliosota tangu uvccm wakiipigania ccm yao, aache ulafi
Si anataka cheoHahahahahahah sema huyu manzi ni kisu ile laana..... kuna mabazazi ndani ya chama lazima wajitafunie piga ua.
Walikujaga wakina silinde cdmUzuri wa Mbowe huwa hawajibu chochote hawa kima
Wanasiasa tena nyeusi anakuambia nyekunduSijawahi kuamini mara moja chochote kinachotoka kinywani mwa mwanasiasa yeyote yule!... Hasa nyakati kama hizi...
Aelewe ya kwamba ni rahisi sana kuibomoa nyumba yako ya zamani!.... Lakini Kuna kazi kubwa zaidi! ... kuanza kuijenga nyumba mpya!
Cdm ni taasisi, inashiriki jambo kwa utaratibu, sio mtu yoyote akianzisha hoja basi wanarukia. Vyeo gani ambavyo unaona ni vitu vya maana sana, au ni Yale Yale mambo ya kurukia propaganda za huku mitandaoni na ww unageuza ndio hoja zako?Hoja yake je?
Mngekuwa na akili mngeanzia pale pale pa Mwambukusi.
Lakini kwa kuwa haya kuwa maandamano ya kutetea vyeo mkaona mjinga.
Ingekuwa enzi za Jiwe angepata mara moja lakini kwa huyu kutoka Kizimkazi atasubiri sana!Amelenga uteuzi wala hana kingine
Huko CCM kuna vilaza tupu ndiyo maana wamefuata kichwa toka Chadema,watu wenyewe si unaona hata jukwaani kazi yao uchawa tu,imagine chawa kama Lucas mwashambwa utampa kazi gani atakayoweza?Kaupendo kamehongwa Cheo?
Wewe unafikiri amefuata kuwa mwanachama wa kawaida tu huko CCM? Bakini hivyo hivyo na uchawa wenu lakini hamna hadhi ya kuteuliwaHapana, hana cheo ni mwanachama wa kawaida tu
Mtu kama Silinde na Lijualikali wamekuja wamevaa mabwanga yao hata kufunga tai tumewafundisha sisi.Chadema kiwanda kinawazalisha kila leo maana huko ccm wako watu kama wakina magige
Chadema kuna vijana walikuja hata kuchana nywele hawajui..chini kutwa kuvaA makobaZ
Wakapikwa wakapata ubunge
Leo hii wako ccm basi wanajiona
Miamba
Ova
Acha ubishiWewe unafikiri amefuata kuwa mwanachama wa kawaida tu huko CCM? Bakini hivyo hivyo na uchawa wenu lakini hamna hadhi ya kuteuliwa
Sio vibaya tukija kupata kampwa kama kale cha kidotiHahahahahahah sema huyu manzi ni kisu ile laana..... kuna mabazazi ndani ya chama lazima wajitafunie piga ua.
hahaaaaa hii ilikuwa wapi siku zote tunashangaa kwanini chawa hawana akili
CHADEMA ilishawapoteza watu wengi sana kwenye siasa kwa uchache...Zito, Nasari Joshua, Mashinji, Silaa Wilbroad na wengine wengi.Hii ni hazina adimu ambayo Chadema wameipoteza!
Masikini Chadema...!, lost this Gold in the rough! .
View: https://youtu.be/aHJGqYKrX5U?si=uX9m2pe3OIrHIHTX,Nimemsikiliza, nimeguswa!.
Kiukweli I was very right about this beautiful queen, young and very energetic lovely lady ambaye ni beauty with brain!.
Nilimfahamia Upendo Peneza kupitia kwa Regia Mtema (RIP) Life After Life: Regia Mtema (RIP) Amerejea Bungeni Kiaina?
Angalieni niliwahi kusema nini kumhusu Upendo Furaha Peneza humu[/SIZE]
- Upendo Furaha Peneza (@UpendoPeneza) | Twitte
- Upendo Furaha Peneza: Gold in the rough. Vijana CHADEMA mpo?
- Upendo Peneza ni malkia Nzinga Mbandi wa BAVICHA
- Upendo Peneza: Nahitaji kushinda na nitashinda
- Upendo Peneza leo Bungeni; Huyu Dada ana uwezo mkubwa sana
- Upendo Peneza wa CHADEMA atoboa siri ya CHADEMA na Sabodo
- Mungu amenipa nafasi nyingine ya kumtumikia na kutumikia watu wake. Praise be to God!
- Upendo Peneza kapata ajali Geita akitokea kwenye Mikutano ya Kampeni (05 Dec 2014)
- Upendo Peneza ataja sifa za mwanaume wa kumuoa
- Upendo Peneza (CHADEMA) awalaumu Wabunge wanaohama vyama. Asema chaguzi za marudio ni kucheza pesa za wananchi!
- Mheshimiwa Upendo Peneza asisitiza amani akiwa ziarani na Waziri Mkuu
- Mbunge Upendo Peneza(CHADEMA) akamatwa Geita mjini, aachiwa kwa dhamana
- Je, Rais wetu, Magufuli anasoma JF? Rais, Please msikilize Binti huyu, ana hoja ya Msingi!
Nilikuja kumtafuta na nikaja kukutana nae View attachment 2879719
Hapo tulipokutana, yeye akiwa 20 something, mimi nilikuwa 50 something, nikiwa nimeisha oa na nina watoto 10!, hivyo sikuthubutu kumweleza lolote la moyoni mwangu, ila ningekuwa kijana... nakuapia... Haki ya ...!, nisinge kubali, .... naomba nisimalizie!.
Mungu ambariki sana Upendo Furaha Peneza!, hapa CCM imelamba dume!, naomba mimi ndio niwe mwana JF wa kwanza kuwatangazia Mbunge wa Geita 2025!.
P
Hawakuweza kuumunga mkono wakati tayari wamefungwa mezani kwenye mazungumzoMkuu!
.
Point yangu ni kwamba, Maandamano ya Mwambukusi yalikuwa yana maaana sana lakini chadena hawa kumuunga mkono.
Lakini hayo maandamano ya kesho utaona ni ya kutetea vyeo vya kina Mbowe zaidi alafu wanataka kila mtu awaunge mkono