Pre GE2025 Upendo Peneza: Viongozi CHADEMA wanakitumia chama kama duka lao

Pre GE2025 Upendo Peneza: Viongozi CHADEMA wanakitumia chama kama duka lao

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kwa muda mrefu Viongozi wa Upinzani ambao ninawafahamu wa Chama changu (CHADEMA) wamekifanya Chama kama sehemu ya kufanikisha biashara zao, wanakuwa wanafanya Siasa za kilaghai, ni Viongozi ambao wamekifanya Chama kama Duka lao, na Wananchi na Watu wanaowaamini wamewafanya kama bidhaa leo hii wamegundua kwamba Watu wameanza kuwashtukia, wamegundua kwamba Watu wameona michezo yao, wamegundua kwamba Watu wameona consistency na hawana hoja ya kuleta mabadiliko ya kweli kwenye Nchi yetu, Watu wamegundua, Watu wameanza kurudi nyuma.

Upendo weka akiba ya maneno,kumbuka Chadema ndiyo imekulea hadi hao majizi ya kura yakakuona na kukunua.
 
Crap from a mind crippled woman.

Siku zite hizi alizokuwa huko CHADEMA kwa nini hakuyasema hayo?

Kuna evidence yoyote anaweza kuitoa? Haya ameyatoa hayo akiwa huko CCM, ambao wanashikilia idara zote. Awasilishe tuhuma zake TAKUKURU wazifanyie kazi.

Vinginevyo, huyu atakuwa ni kiumbe punguani na mnafiki.

Siku atakayoondoka CCM atasema, nimeona viongozi wa CCM wameifanya CCM kuwa danguro.
 
Kwa muda mrefu Viongozi wa Upinzani ambao ninawafahamu wa Chama changu (CHADEMA) wamekifanya Chama kama sehemu ya kufanikisha biashara zao, wanakuwa wanafanya Siasa za kilaghai, ni Viongozi ambao wamekifanya Chama kama Duka lao, na Wananchi na Watu wanaowaamini wamewafanya kama bidhaa leo hii wamegundua kwamba Watu wameanza kuwashtukia, wamegundua kwamba Watu wameona michezo yao, wamegundua kwamba Watu wameona consistency na hawana hoja ya kuleta mabadiliko ya kweli kwenye Nchi yetu, Watu wamegundua, Watu wameanza kurudi nyuma.

Namuonea huruma sana huyu DADA.
 
Kwa muda mrefu Viongozi wa Upinzani ambao ninawafahamu wa Chama changu (CHADEMA) wamekifanya Chama kama sehemu ya kufanikisha biashara zao, wanakuwa wanafanya Siasa za kilaghai, ni Viongozi ambao wamekifanya Chama kama Duka lao, na Wananchi na Watu wanaowaamini wamewafanya kama bidhaa leo hii wamegundua kwamba Watu wameanza kuwashtukia, wamegundua kwamba Watu wameona michezo yao, wamegundua kwamba Watu wameona consistency na hawana hoja ya kuleta mabadiliko ya kweli kwenye Nchi yetu, Watu wamegundua, Watu wameanza kurudi nyuma.

Hayo mambo ya kuham vyama na kutoa kashfa imesha kuwa ni old fashion.
Tumesha gundua kwamba wote ni waoiga deal.
Ukiumizia pesa alizo pewa ahame chama uta shangaa wakati watu wana kufa kwa kipindupindu kwa kukosa sawa.
 
Kwa muda mrefu Viongozi wa Upinzani ambao ninawafahamu wa Chama changu (CHADEMA) wamekifanya Chama kama sehemu ya kufanikisha biashara zao, wanakuwa wanafanya Siasa za kilaghai, ni Viongozi ambao wamekifanya Chama kama Duka lao, na Wananchi na Watu wanaowaamini wamewafanya kama bidhaa leo hii wamegundua kwamba Watu wameanza kuwashtukia, wamegundua kwamba Watu wameona michezo yao, wamegundua kwamba Watu wameona consistency na hawana hoja ya kuleta mabadiliko ya kweli kwenye Nchi yetu, Watu wamegundua, Watu wameanza kurudi nyuma.


Yah right.

Viongozi wa CCM wanaitumia Tanzania kama shamba la BIBI.
 
Kwa muda mrefu Viongozi wa Upinzani ambao ninawafahamu wa Chama changu (CHADEMA) wamekifanya Chama kama sehemu ya kufanikisha biashara zao, wanakuwa wanafanya Siasa za kilaghai, ni Viongozi ambao wamekifanya Chama kama Duka lao, na Wananchi na Watu wanaowaamini wamewafanya kama bidhaa leo hii wamegundua kwamba Watu wameanza kuwashtukia, wamegundua kwamba Watu wameona michezo yao, wamegundua kwamba Watu wameona consistency na hawana hoja ya kuleta mabadiliko ya kweli kwenye Nchi yetu, Watu wamegundua, Watu wameanza kurudi nyuma.

Mzee Mbowe ana raha aisee,kafubza makamanda hadi inasikitisha ,kuna yule kamanda hadi kamuacha mke wake wazungu wa Canada wanapuuliza taratiiibu
 
Kwa muda mrefu Viongozi wa Upinzani ambao ninawafahamu wa Chama changu (CHADEMA) wamekifanya Chama kama sehemu ya kufanikisha biashara zao, wanakuwa wanafanya Siasa za kilaghai, ni Viongozi ambao wamekifanya Chama kama Duka lao, na Wananchi na Watu wanaowaamini wamewafanya kama bidhaa leo hii wamegundua kwamba Watu wameanza kuwashtukia, wamegundua kwamba Watu wameona michezo yao,
Angeanzisha chama kipya maana kurudi kwenye chama cha kwanza ni kula matapishi yake
 
Umekuwa kiongozi wa taasisi hiyo kwa muda mrefu sana, hayo ya upigaji uliyajua tangu lini? Kwa nini ulinyamaza na kuendelea kubaki kwa muda wote huo? Je unaweza kuwa na nyaraka za kusaidia madai yako? Huko ulikohamia kuna tofauti ya upigaji na kule ulikotoka?
 
Back
Top Bottom