Pre GE2025 Upendo Peneza: Viongozi CHADEMA wanakitumia chama kama duka lao

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Hana madhara! Alilijua Hilo na bado akabaki humo chamani! Hii ndio hasara ya ubongo kuhamia tumboni!
Eti Kuna watu wanamuona huyu na kumuita genius kumbe bogus tu! Ajiandae kurudi kwani Burundi kwani cdf keshasema.
 

Watumishi wa UVCCM waliokopa fedha zaidi ya Milioni 600 kutoka DCB Bank, watakiwa kurejesha
 
Maskini ka Peneza kameshakabidhi akili kwa Makonda kamebaki na kopo tu!
 
Njaa mbaya Sana hasa ikitoka tumboni na kuhamia kichwani
 
Sasa ccm wao ndiyo wataleta mabadiko wewe nenda huko ukapate cheo upate ugali wako wenzako wakina halima mdee wako mbali sana wameshakusanya pesa zakutosha.
 
Huyo dada ni jasusi ccm wamuangalie vzur katumwa mtakuja kurud kusema hpa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…