Upendo una viwango, nimegundua mzazi wangu ananipenda kwa kiasi kidogo sana

Upendo una viwango, nimegundua mzazi wangu ananipenda kwa kiasi kidogo sana

Surya

JF-Expert Member
Joined
Jun 7, 2015
Posts
8,774
Reaction score
13,566
Hivi kama mzazi anaweza kukubali mwanae afanye kazi ya ukaaba ili nyumbani wapate chakula na kulipa madeni hapo kuna mzazi kweli ?

Mazazi ukiwa huna kitu mfukoni, ni anakutukana na kukukashifu kila wakati na kukutumikisha kama mtumwa,
siku ukizipata anajileta kama mzazi sasa na yeye anaanza kudai haki zake ati apate gawio.

Ila nyie jamani Wabongo tuache roho mbaya.

Mazazi wangu wa kiume akae akijua kama yeye aliwekeza kwenye pombe sigara na anasa zingine.
Sitatumikia chini ya miguu yako
Nitaenda kuanzisha ukoo wangu binafsi.

Kwa imani Ibrahimu alipoitwa aliitika, atoka kwenye nyumba ya baba yake aende mahali pale atakapopapata kuwa urithi; akatoka asijue aendako.

Mathayo 10:34-36
[34]Msidhani ya kuwa nimekuja kuleta amani duniani; la! Sikuja kuleta amani, bali upanga.
[35]Kwa maana nalikuja kumfitini mtu na babaye, na binti na mamaye, na mkwe na mkwe mtu;
[36]na adui za mtu ni wale wa nyumbani mwake.
 
Hivi kama mzazi anaweza kukubali mwanae afanye kazi ya ukaaba ili nyumbani wapate chakula na kulipa madeni hapo kuna mzazi kweli ?

Mazazi ukiwa huna kitu mfukoni, ni anakutukana na kukukashifu kila wakati na kukutumikisha kama mtumwa,
siku ukizipata anajileta kama mzazi sasa na yeye anaanza kudai haki zake ati apate gawio.

Ila nyie jamani Wabongo tuache roho mbaya.

Mazazi wangu wa kiume akae akijua kama yeye aliwekeza kwenye pombe sigara na anasa zingine.
Sitatumikia chini ya miguu yako
Nitaenda kuanzisha ukoo wangu binafsi.

Kwa imani Ibrahimu alipoitwa aliitika, atoka kwenye nyumba ya baba yake aende mahali pale atakapopapata kuwa urithi; akatoka asijue aendako.

Mathayo 10:34-36
[34]Msidhani ya kuwa nimekuja kuleta amani duniani; la! Sikuja kuleta amani, bali upanga.
[35]Kwa maana nalikuja kumfitini mtu na babaye, na binti na mamaye, na mkwe na mkwe mtu;
[36]na adui za mtu ni wale wa nyumbani mwake.
Mzeebaba, hiyo mistari ya bible Haina maana kama unayoitaka wewe,...
 
Hivi kama mzazi anaweza kukubali mwanae afanye kazi ya ukaaba ili nyumbani wapate chakula na kulipa madeni hapo kuna mzazi kweli ?

Mazazi ukiwa huna kitu mfukoni, ni anakutukana na kukukashifu kila wakati na kukutumikisha kama mtumwa,
siku ukizipata anajileta kama mzazi sasa na yeye anaanza kudai haki zake ati apate gawio.

Ila nyie jamani Wabongo tuache roho mbaya.

Mazazi wangu wa kiume akae akijua kama yeye aliwekeza kwenye pombe sigara na anasa zingine.
Sitatumikia chini ya miguu yako
Nitaenda kuanzisha ukoo wangu binafsi.

Kwa imani Ibrahimu alipoitwa aliitika, atoka kwenye nyumba ya baba yake aende mahali pale atakapopapata kuwa urithi; akatoka asijue aendako.

Mathayo 10:34-36
[34]Msidhani ya kuwa nimekuja kuleta amani duniani; la! Sikuja kuleta amani, bali upanga.
[35]Kwa maana nalikuja kumfitini mtu na babaye, na binti na mamaye, na mkwe na mkwe mtu;
[36]na adui za mtu ni wale wa nyumbani mwake.
Kuna wazaz wengine fucken kichiz... bi mkubwa kabla hajafa maisha yalikuwa sio magum. Kafa katuachia nyumba leo hii mzaz wa kiume anataka aumiuze eti maisha magumu... mzaz kama huyu nikimtanguliza mbele ya haki nitakuwa nakosea?
 
Upendo ni subjective pia. Inawezekana yeye anaona anakupenda sana saivi na wewe unaona tofauti. Kaa mzungumze.
 
Kuna wazaz wengine fucken kichiz... bi mkubwa kabla hajafa maisha yalikuwa sio magum. Kafa katuachia nyumba leo hii mzaz wa kiume anataka aumiuze eti maisha magumu... mzaz kama huyu nikimtanguliza mbele ya haki nitakuwa nakosea?
Ila we jamaaa
Kwani ni kosa mtu kuuza mali yake?

Punguza uchawi, katafute mali zako.

#YNWA
 
Back
Top Bottom