Surya
JF-Expert Member
- Jun 7, 2015
- 8,774
- 13,566
Hivi kama mzazi anaweza kukubali mwanae afanye kazi ya ukaaba ili nyumbani wapate chakula na kulipa madeni hapo kuna mzazi kweli ?
Mazazi ukiwa huna kitu mfukoni, ni anakutukana na kukukashifu kila wakati na kukutumikisha kama mtumwa,
siku ukizipata anajileta kama mzazi sasa na yeye anaanza kudai haki zake ati apate gawio.
Ila nyie jamani Wabongo tuache roho mbaya.
Mazazi wangu wa kiume akae akijua kama yeye aliwekeza kwenye pombe sigara na anasa zingine.
Sitatumikia chini ya miguu yako
Nitaenda kuanzisha ukoo wangu binafsi.
Kwa imani Ibrahimu alipoitwa aliitika, atoka kwenye nyumba ya baba yake aende mahali pale atakapopapata kuwa urithi; akatoka asijue aendako.
Mathayo 10:34-36
[34]Msidhani ya kuwa nimekuja kuleta amani duniani; la! Sikuja kuleta amani, bali upanga.
[35]Kwa maana nalikuja kumfitini mtu na babaye, na binti na mamaye, na mkwe na mkwe mtu;
[36]na adui za mtu ni wale wa nyumbani mwake.
Mazazi ukiwa huna kitu mfukoni, ni anakutukana na kukukashifu kila wakati na kukutumikisha kama mtumwa,
siku ukizipata anajileta kama mzazi sasa na yeye anaanza kudai haki zake ati apate gawio.
Ila nyie jamani Wabongo tuache roho mbaya.
Mazazi wangu wa kiume akae akijua kama yeye aliwekeza kwenye pombe sigara na anasa zingine.
Sitatumikia chini ya miguu yako
Nitaenda kuanzisha ukoo wangu binafsi.
Kwa imani Ibrahimu alipoitwa aliitika, atoka kwenye nyumba ya baba yake aende mahali pale atakapopapata kuwa urithi; akatoka asijue aendako.
Mathayo 10:34-36
[34]Msidhani ya kuwa nimekuja kuleta amani duniani; la! Sikuja kuleta amani, bali upanga.
[35]Kwa maana nalikuja kumfitini mtu na babaye, na binti na mamaye, na mkwe na mkwe mtu;
[36]na adui za mtu ni wale wa nyumbani mwake.