joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 17,420
- 35,765
Wakali hizi kazi nawaona.simpo sana kuwapata hawa mpaka unamvua pichu huamini......unateleza tu kama ganda la ndizi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakali hizi kazi nawaona.simpo sana kuwapata hawa mpaka unamvua pichu huamini......unateleza tu kama ganda la ndizi
acha kumdharau bahariaup
Unawaza Kama Mimi wewe..Raha ya mume akuzidi elimu...upeo..mawazo...kutafakari...hela...busara! Na awe mwalimu wako kitandani dadek..hapo ndo unakamilisha utu wa mwanamke!
Unadhan huyu wataongea nin Sasa la maana! Daily atamjia na stry za uchebe
kama kawa ndio walionikuza hawa mamaeeeWakali hizi kazi nawaona.
Ajira, mitaji hakuna, vipaji havithaminiwi hahaaa kaona ajiozeshe kakijana kake alee mwenyewe akape na mtajiYaani ni mbingu na ardhi..kijana bado Toto kbs dah
Wala sihukumu
Watu wamezaliwa na bahati za ndoa dunianiKijana wa tisini na kitu naye haoni aibu kumvulia, angetafta tu vetenari mwenzake na hivi ni lazima uolewe hata na ki benten
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamaniiiiih mbavu zinauma khaaaahKing'amuzi kikiisha wife anarekebisha .
Hapo unaweza ukakuta hiyo ndoa hata hajachangia hata senti, kuanzia kanzu mpaka boxer kasimamia mwanamke,hana kitu kaenda kuoa yy na korodani zake.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamaniiii km ya nandy au?Na aache Sasa kuvaa machupi, chupi sasa
JAH awasaidie tyuuuh wadumu wallahYeye akitulia ndoa inaanza kucharuka... Si amefunga ndoa ya mzaha na kabenten
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaahNaona leo kamati kuu ya umbea ipo kwenye kikao kujadili masuala ya umbea kwa ujumla wake wajumbe wanaonesha viwango vya juu kabisa ktk uchambuzi juu ya umbea.
Binafsi nawatakia mjadala mwema.
ExactlyMie hata wiki moja siwezi ishi naye! Hakawii kuwa anasikiza tu bongofleva na matamthilia ya sultan sijui kara sevda sijui😆😆!
Basi tu imekuwa trend ya kijinga Sana...wewe umri Kama wa huyu dada unahamu gani Tena kuishi na mwanamume mwingine? Unawaonesha Nini wanao? Si ana binti kbs huyu? Unashindwaje kukaa na wanao ukawalea tu? Kama ni Mahusiano yako yawe ya Siri sirini! Eti unaachika unaenda kuolewa Tena oyeee🤧🤧🤧!tena unaolewa na bongofleva..hutaacha ona rangi zote
Inawezekana mwanaume alimpendea pesa za urithi so alivyotimiza yake akasepa,na ukimuangalia vizuri huyo mama anaonyesha wazi hana furaha na tabasamu ni lakulazimisha tu inaonekana kuvunjika kwa hyo ndoa kulimuumiza, hyo sub aliyoifanya haiwezi kuziba nafasi ya aliyetoka.Nasikia mumewe alioa mke wa pili walivyokua wanapendana jamn tusiamini Sana couple za mitandao wanaonekanaga Kama wako perfect
Inawezekana mwanaume alimpendea pesa za urithi so alivyotimiza yake akasepa,na ukimuangalia vizuri huyo mama anaonyesha wazi hana furaha na tabasamu ni lakulazimisha tu inaonekana kuvunjika kwa hyo ndoa kulimuumiza, hyo sub aliyoifanya haiwezi kuziba nafasi ya aliyetoka.Nasikia mumewe alioa mke wa pili walivyokua wanapendana jamn tusiamini Sana couple za mitandao wanaonekanaga Kama wako perfect
Haujakosea Ni sister wake kabisa MC masqo maana naona na yeye Dishi limecheza!!Hahaha kwa kifupi kila pipa na mfuniko wake. Kuna kipindi nilidhani mbuta ni dada ake kisandu a.k.a don namilison
Hawa hapaView attachment 1526033
Kwenye Picha kama Khadija Kopa , Ukute Nyumba ya Mbweni JKT kapanga ila anavyopost kama yake,naona sasa amerudi kwenye ubonge tena ila sister ana pulling kwa jamaa yake yule 45+ hatawezana bora alivyotafuta youngblood 25 ampelekee moto wa hatari.Mwanamama huyu ni maarufu sana huko Instagram. Hufanya biashara ya chakula kwa mafanikio makubwa sana. Pia huamasisha wanawake kufanya mazoezi na Mambo ya maendeleo. Kwakweli ana majumba ya kifahari, magari na hujinasibu mumewe Dr. Baba Iman baba wa mwanae mmoja humpa support kubwa Sana.
Tulizoea kuona akipost picha za mumewe huyo na yeye na mtoto. Alimpa sofa zoote. Huyu dada ni kioo Cha jamii na wanawake wengi yeye ndo 'role model' wao. Mara ghafla naona Tena KAFUNGA NDOA na kijana mwingine. Je ni Nini KILIMPATA YULE mume wake baba Iman, daktari wake wa maradhi yote? Cc warumi
View attachment 1525867
View attachment 1525868
Naomba handle ya mumewe wa zaman insta,kama unaijua.Huyu open kitchen sidhani ka kaolewa kiupendo nadhani anamkomoa mumewe aliyeoa dada mwingine mrembo kuliko yeye. Na inakuwaje dada mzima anaolewa na katoto ka tisini na kitu karibia 2000 naona hapo hamna ndoa ni Kama mama kaoa mwanawe
Najitahidi kutokula hvo bia sinywi, kitimoto nafanya mazoezi, hamnaga mtu mnene ni basi ulaji wetu sio mzuri
Ni kweli masikini.. Ukimuangalia kwa makini deep down she looks sad.. But Mungu amsaidie apate amani na furaha.. Watu wanapitia maumivu makali mnooInawezekana mwanaume alimpendea pesa za urithi so alivyotimiza yake akasepa,na ukimuangalia vizuri huyo mama anaonyesha wazi hana furaha na tabasamu ni lakulazimisha tu inaonekana kuvunjika kwa hyo ndoa kulimuumiza, hyo sub aliyoifanya haiwezi kuziba nafasi ya aliyetoka.
So true my dear... Kuna mengi sana na pia kuna second chance always, so let wish her happy marriageUpendo ukiacha udada wa mjini tangu enzi hizo(misigara,mipombe mikali na makorokoro yote)anajielewa vyema tu na namkubali vibaya mno...Mmungu amfanyie wepesi kwa kila jambo na amuondolee yenye shari na yeye.Tukiona ndoa inavunjika tujifunze kutonyoosha vidole.
Ndoa ilivunjika zaman mno akaona aibu kuweka wazi,alifanya sana jitihada za mazoezi waapii mwili ndo kwanzaa unastawi.
Kama ilivyo kawaida ya wadada wa mjini kufuga mashost kama james delicious si ajabu bibie alipokonywa mume na shost mmoja au jamaa aliamua kujisogeza pembeni kwa mke wa pili