cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dea bhana mjini pazito, acha tufurahi tyuuuh[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16][emoji28][emoji28][emoji16][emoji122]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dea bhana mjini pazito, acha tufurahi tyuuuh[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16][emoji28][emoji28][emoji16][emoji122]
Eeh gari nzima huvuta mbovu bana,,, we uliskia wapi gari bovu likavuta bovu lenziwe aisee 😂😂😂!!![emoji23][emoji23][emoji23]kwahyo kwa Sasa watu wanatumia ule msemo wa gari bovu linavutwa na gari jipya lenye engine nzuri sio[emoji23][emoji23]
Yaan hadi rangi nzuri na wajihi unajionesha kabisaaah. Kapatia sasaNaona katulia na kapendeza mwenyewe I think kipindi Cha nyuma alikuwa na stress
Yeye akitulia ndoa inaanza kucharuka... Si amefunga ndoa ya mzaha na kabentenYaan hapana kwakweli saivi cheusi mangla atulie tyuuuh na ndoa yake, na aache ule ukichaa wake khaaaah.
Na aache Sasa kuvaa machupi, chupi sasaYaan hadi rangi nzuri na wajihi unajionesha kabisaaah. Kapatia sasa
Kama namuona mida hii na pensi yake yupo sebuleni na remote ana angalia TV.
😀😀😀😀😀
Huyo kaolewa mwanaume, yasije kujirudia ya uchebe
Hahaaa Ni mwendo wa tit for tat ngoma droo, Ila mwanamke kuishi na kiben ten tabu, maana hakina upendo kimefata masilahi hapo katarudi kwa kijana mwenziwe, ndoa za mabinti wadogo na wazee ni rahisi kudumu kuliko za shuga Mami na kiben tenEeh gari nzima huvuta mbovu bana,,, we uliskia wapi gari bovu likavuta bovu lenziwe aisee [emoji23][emoji23][emoji23]!!!
Sahivi mke akiwa mmbovu unavuta chombo zaidi yake....nae mke akiamua kujibu mapigo anachukua damu changa [emoji23][emoji23][emoji23] mambo yanakwenda bara bara
Aaaah yule mzee nae alichukua undersize kiukweli. Mzee wa miaka 75 utake kupambana na mdada mbichi kama Kylin, mimi mwenyewe hapa akinipea kuna muda nitaomba poo nikusanye sukari ya kurejea ulingoni.Shida ni kwamba hakuna mzee anataka kuoa demu mzee [emoji23][emoji23][emoji23]!!! RIP Mengi alionesha mfano wa wazi.
Wazee wanataka kula vitoto vibichi sio madungaembe, kwahio salama yenu ni kuwaoa vibenten au vijana wadogo msingi kiuno ambao wanapenda slope za kipuuzi na ndio ambao wapo available.
Ila wanawake mabonge huwa insecure wanapenda kulea vijana wadogo na kuwahudumia sijui ili iwejeKweli
Niliona siku kapost yuko Michigan, akasema kakulia huko na blah blah kibao
Wazazi wake wameshafariki?
[emoji23][emoji23][emoji23] angeoa hata mtu wa 50 hivi Sasa kylin Alisha zoea kudanga na kukutana na size tofauti Sasa mzee kumtulixa ilikuwa ngumu, mwishowe kapata pressure, maana mengi alikuwa kibabu Sana, so kylin alishajiandaa na ujane wa ujanaAaaah yule mzee nae alichukua undersize kiukweli. Mzee wa miaka 75 utake kupambana na mdada mbichi kama Kylin, mimi mwenyewe hapa akinipea kuna muda nitaomba poo nikusanye sukari ya kurejea ulingoni.
Sasa mzee akajikuta cowboy akakwea farasi kijana akavunjwa kiuno....
Umeongea kwa msisitizo sana [emoji1787][emoji1787] piga spanaMie hata wiki moja siwezi ishi naye! Hakawii kuwa anasikiza tu bongofleva na matamthilia ya sultan sijui kara sevda sijui[emoji38][emoji38]!
Basi tu imekuwa trend ya kijinga Sana...wewe umri Kama wa huyu dada unahamu gani Tena kuishi na mwanamume mwingine? Unawaonesha Nini wanao? Si ana binti kbs huyu? Unashindwaje kukaa na wanao ukawalea tu? Kama ni Mahusiano yako yawe ya Siri sirini! Eti unaachika unaenda kuolewa Tena oyeee[emoji1784][emoji1784][emoji1784]!tena unaolewa na bongofleva..hutaacha ona rangi zote
Mwanamke akiishi na mwanaume baada ya muda fulani anamzoea na wenge linaisha anatulia.Hahaaa Ni mwendo wa tit for tat ngoma droo, Ila mwanamke kuishi na kiben ten tabu, maana hakina upendo kimefata masilahi hapo katarudi kwa kijana mwenziwe, ndoa za mabinti wadogo na wazee ni rahisi kudumu kuliko za shuga Mami na kiben ten
Na ndio kitu huwa kinatokea maana kumwambia mwanaume ahamie kwako ingawa atatulia Ila anakuwa na lake jamboMwanamke akiishi na mwanaume baada ya muda fulani anamzoea na wenge linaisha anatulia.
Ila mwanaume ni ngumu siku zinavyozidi kwenda pressure ya kutaka uhuru kupata chuma cha umri chini yake inaanza kuongezeka..... Mwishowe anatoka tu hakuna namna.
Imagine kaja hana hata salio la mpesa account hata hakumbuki password.Na ndio kitu huwa kinatokea maana kumwambia mwanaume ahamie kwako ingawa atatulia Ila anakuwa na lake jambo
Na mwanaume kumsaidia kwa wema anaona dharau anatafta namna akupige tukio ahamie kwa mwanamke mwingineImagine kaja hana hata salio la mpesa account hata hakumbuki password.
Then anakuja unampendezesha, anampa matunzo, anamjaza salio la account na kumpa ujuzi dogo akiwa imara shughuli inaishia hapo hapo.....
Ile noma mzee 😃😃😃Aaaah yule mzee nae alichukua undersize kiukweli. Mzee wa miaka 75 utake kupambana na mdada mbichi kama Kylin, mimi mwenyewe hapa akinipea kuna muda nitaomba poo nikusanye sukari ya kurejea ulingoni.
Sasa mzee akajikuta cowboy akakwea farasi kijana akavunjwa kiuno....
Hawa mastar uchwara kazi yao nikubadilishana na kushare tu wanaume na wanawake, Sasa huyo petit huyo dada aliye mwacha ndo waliendana Sasa matokeo yake esma kamuacha kaenda kuolewa na mwanaume mwingine, na dai kamponda kuwa hakuwa na kitu.
Hao kina Diamond hzo elfu kumi kumi za show off hazifiki hata milion mbili, na makondo no longer in power Ile biashara ya madawa sijui itakuwaje?
Of course ndio maana wanasema kazi ya mwanamke kwa mwanaume sio kumlea ni kumsaidia kusimama na kuamsha potential zake....Na mwanaume kumsaidia kwa wema anaona dharau anatafta namna akupige tukio ahamie kwa mwanamke mwingine