Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
Harusi za kiislamu zenye fwwza wanakuwa na Kashi Kashi sanaHarusi za hivyo zinaitwa tuwakomeshee. Kama wanashindana na watu hivi
Kwa esma namhurumia yule binti mdogo tangia sendoff iliyopewa jina la maulid bint hakua na raha hadi kwenye sherehe ya harusi. Yule mkubwa keshazoea kubadilishiwa kila kukicha.
Ila nimeshangaa harusi za kiislamu siku hizi zina kash kashi,madoido sherehe kama zote.
Hata kusikia zile ngoma zao hua nadra kidg