Upendo wa Open Kitchen kafunga ndoa. Je, nini kilimpata yule mumewe wa mwanzo?

Upendo wa Open Kitchen kafunga ndoa. Je, nini kilimpata yule mumewe wa mwanzo?

Harusi za hivyo zinaitwa tuwakomeshee. Kama wanashindana na watu hivi

Kwa esma namhurumia yule binti mdogo tangia sendoff iliyopewa jina la maulid bint hakua na raha hadi kwenye sherehe ya harusi. Yule mkubwa keshazoea kubadilishiwa kila kukicha.

Ila nimeshangaa harusi za kiislamu siku hizi zina kash kashi,madoido sherehe kama zote.
Harusi za kiislamu zenye fwwza wanakuwa na Kashi Kashi sana
Hata kusikia zile ngoma zao hua nadra kidg
 
Kweli wamama wengine chanzo cha unyanyasaji wa watoto
Unaoa kijana wa kiume ambaye umemuacha miaka 15 amepishana na watoto wako miaka minne au mitano, unataraji nini, tena ndio benten anakuwa anaspend muda mwingi nyumbani na watoto wako..... Huku na kule anaanza wagegeda kimya kimya, ukija stuka ameshawaharibu na story ni ya muda mrefu.....
 
Hivi huwa watu wanaosema hawana stress yet wapo busy kuonyesha hawana stress huwa mnawaamini....?!

Aisee kuna watu wakinambia hawana stress nawaelewa but kuna sampuli fulani zinapambana na msongo wa mawazo ila huwezi jua hadi uwe na jicho la tatu.
Ubawaona kwa matendo yao tu Ila ujue stress ukitaka ziondoke zinaondoka tu, maana kinacholeta stress ni ku force vitu ambavyo huna control navo. Ila ukiacha nature I take control and uwe positive stress utazisikia kwa jirani
 
Ukikaa na kampani flan utaona ndoa ni lazima angalia familia ya mond wanavyofosi ndoa. Khadija kopa na umri ule bado anatamani ndoa.

Kuitwa Mrs flan raha sana kwa baadhi ya wanawake na kuvaa mipete mikubwa hata kama ndani hamna amani
Ndoa ni heshima kubwa sana. Na siwalaumu hawa wanaoipigania kuipata ila shida ni maandalizi yao yanawanyima qualifications.
 
hahahahahah labda tunabadili misimamo ya Wahenga na kuja na yetu.

Sahihi kabisa, wahenga walishatoa uhuru ila waja akina siye ndiyo tuko busy kutoa mitazamo yetu! Na wahenga wa kizungu wakasema love has no count.... . Ila mmhhh!
 
Inasikitisha sana,kuna uzi ulianzishwa humu kijana kaanza baka mtoto ana miaka minne majirani wakaja muokoa ana miaka tisa kuelekea kumi.mtoto anasema alipoanza chezewa kwa vidole akamuambia mama ake,mama mtu akampiga na kumtaka anyamaze atamuharibia ndoa
Unaoa kijana wa kiume ambaye umemuacha miaka 15 amepishana na watoto wako miaka minne au mitano, unataraji nini, tena ndio benten anakuwa anaspend muda mwingi nyumbani na watoto wako..... Huku na kule anaanza wagegeda kimya kimya, ukija stuka ameshawaharibu na story ni ya muda mrefu.....
 
Nadhani majority ya wapenda ndoa na shughuli ni watu waliokulia uswahili, wanatumia nguvu nyingi kwa shughuli Mara sare, hebu mwangalie esma platnumz hyo ndoa ya tatu kajitutumua ka futu, Tena kaolewa mke wa tatu, Yani wao huwaza sherehe Ila kutunza ndoa zao hawawezi. Huyo Khadija kopa aliolewaga na kiben ten sema alishafariki, huyo esma ana watoto wakubwa daily kubadilisha wanaume, hivi anawafundisha Nini wale wanawe wa kike maana wakikua wataona tu sawa.
Hizi familia za kiswahili shida sana
True uswahili unachangia sana. Wanawake wa kiswahili wakiwa na uhakika wa laki kwa wiki au mwezi basi wanakuwa na fujo sana na akili zao zilivyo takataka
 
Harusi za hivyo zinaitwa tuwakomeshee. Kama wanashindana na watu hivi

Kwa esma namhurumia yule binti mdogo tangia sendoff iliyopewa jina la maulid bint hakua na raha hadi kwenye sherehe ya harusi. Yule mkubwa keshazoea kubadilishiwa kila kukicha.

Ila nimeshangaa harusi za kiislamu siku hizi zina kash kashi,madoido sherehe kama zote.
Na esma alipania kweli hizo sherehe kukomesha petit man na hao wake wenza wenzio, Ila waswahili Wana tabu Sana wallah.
Huyo esma nadhani shinikizo la kina diamond kuwa petiti haieleweki basi kamkimbilia huyo msizwa ambaye anauza sembe na ana Deni South huko, maana jamaa walijitutumua hatari.
Nawahurumia wale kina tahia na yule mdogo angewaacha tu nyumbani, maana watoto huwa hawahudhuriagi ndoa ya mzazi.
Hafu waislam sikuhizi huvaa nguo nyeupe na shela ka wakristo hawataki sare zao kabisa
 
Ni heshima pale mwanamke atakapo lipiwa mahari bila yeye kuongeza hata senti,bila kulazimisha hio ndoa. Bila kumbeba mume kuanzia mavazi hadi makazi. Huyu jamaa kaoa ila kaenda kuishi nyumba ya mke ambayo ex mume alikua anaishi humo pia.
Ndoa ni heshima kubwa sana. Na siwalaumu hawa wanaoipigania kuipata ila shida ni maandalizi yao yanawanyima qualifications.
 
Mnhhh uachike uumie..mwenzako anaoa wewe unabaki na donda la roho...akitokea mtu yeyote akakupa 'attention' huyo huyo unae..unasomba kama gari la mchanga...sad, very sad. Wanawake tunadhania tunaweza ku 'hit' back kwa waliokua wapenzi wetu kwa kutuachia majeraha ila kiukweli tunaoumia ni sisi wenyewe...anyway asanteni kwa kunijulisha mtu wa kufollow insta..mie nilikua simjui atii...😀

kama kuumia huwa tunaumia wote....sema huwa watu wanajikaza tu...lakini kidonda huwa hakiponi mapema...kupenda wakati mwingine huacha majeraha makubwa kwenye mioyo ya watu....am a victim.....
 
Ubawaona kwa matendo yao tu Ila ujue stress ukitaka ziondoke zinaondoka tu, maana kinacholeta stress ni ku force vitu ambavyo huna control navo. Ila ukiacha nature I take control and uwe positive stress utazisikia kwa jirani
Ngoja nikuelekeze jambo, stress ni kitu cha muda tu na huwa kinatokea temporarily kulingana na upo moment ipi katika maisha yako.

But mimi nilimaanisha depression au msongo wa mawazo. Hiki kitu huwa kina imarika na kuongezeka exponentially as you grow old with unfixed issues..... Yaani tatizo moja linazaa tatizo jipya.

Kimsingi usimuone mtu anapost picha za furaha na video anaimba, anacheka, anaongea na watu, anatoka out, ana afya.... Ila anaporudi nyumbani, na usiku unapoingia akawa mwenyewe huwa dunia yake inakuwa ni giza tupu.

Utajua hayupo sawa kulingana na mwenendo wake watofauti katika jamii.

Fuatilia sana matukio ya watu mbali mbali mashuhuri utagundua kuwa they are fighting secret battles alone..... Wengine hadi wanajiuwa wakiona mziki umezidi spika.
 
Huyu open kitchen sidhani ka kaolewa kiupendo nadhani anamkomoa mumewe aliyeoa dada mwingine mrembo kuliko yeye. Na inakuwaje dada mzima anaolewa na katoto ka tisini na kitu karibia 2000 naona hapo hamna ndoa ni Kama mama kaoa mwanawe
@cariha umeanza[emoji1787][emoji1787][emoji16]
 
Yupo leo kaweka picha ana kata kata mboga za wateja wake baasi sijui kuna misukule inayoamini maigizo full kulalamikia hina ya ndoa itafutika kabla siku saba mara ooh superwoman hujaenda honeymoon usharudi kazini aisee watanzania tuna safari ndefu
[emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16][emoji16]watu wa insta huwajui nini Numbi?

Hapo wanamg'ong'a pembeni[emoji1787][emoji16]
 
Tofautisha kulipiza na kuendelea na maisha Sasa huyo open mzee anatokaje na kiben ten, angetafta mwanaume anayemzidi ex waako viwango Sasa huyu anatoka na mtoto wa kumzaa si mjinga sasa
[emoji1787][emoji16][emoji16][emoji16][emoji28]
 
Back
Top Bottom