Upendo wa Open Kitchen kafunga ndoa. Je, nini kilimpata yule mumewe wa mwanzo?

Upendo wa Open Kitchen kafunga ndoa. Je, nini kilimpata yule mumewe wa mwanzo?

True.... Unajua watu wengi huwa wanapuuza frequency wanakwenda na Vibe au swaga... Of which is wrong. Mara nyingi mtu ambaye una run naye katika same frequency huwa hamuwezi kumalizana na huwa mnakuwa na ile ajenda isiyoisha so every time huwa mnataka kuendelea mlipoishia mara ya mwisho.

Kimsingi frequency inakusaidia kubond na anaekwenda nawe level moja haijalishi katoka familia, koo, kabila, au kuonekano wake upoje namna watu wanamcompare.......

By the way mimi na air katika very high n strong frequency...... Clever conversation light up my head.
Watu huwa hawaangalii vitu vingine, wanaweza tu vutiwa na sura au vitu visivo na mantinki.
Mkikutana watu mnaoelewana na kushare mawazo, maono ni rahisi kudumu na kuvumiliana Hadi uzeeni, tofauti na mtu msio share naye interest ni rahisi kumchukia na kuona mapungufu yake na ugonvi daily.
 
Petit mwana kulitaka mwana kulipata toka kwa kajala mpaka kwa esma kisha kwa mdada mmoja akamuoa na kumuacha ghafla akamrudia esma. Umario shida sana.

Maisha waliyopitia zamani yanawawinda mno wanajitahidi kuyasahau kwa kufanya kufulu ila bado hayafutiki.

Naona mondi hajasoma mchezo dar saiv haipo mikononi mwao(mkuu wa mkoa wa saiv si wa mchezo),angecheza kwa stepu. Zile hela walizomwaga wakianza daiwa kodi watalalamika

chereko chereko wakiweka zile zao halisi nzuri sana. Unashuhudia uhalisia unaona mpunga unavyofinywa kihalali

Nyumbani kuna benten wa mama yake(nae busy kukimbizana na ujana) yaan huku moto kule moto.
Na esma alipania kweli hizo sherehe kukomesha petit man na hao wake wenza wenzio, Ila waswahili Wana tabu Sana wallah.
Huyo esma nadhani shinikizo la kina diamond kuwa petiti haieleweki basi kamkimbilia huyo msizwa ambaye anauza sembe na ana Deni South huko, maana jamaa walijitutumua hatari.
Nawahurumia wale kina tahia na yule mdogo angewaacha tu nyumbani, maana watoto huwa hawahudhuriagi ndoa ya mzazi.
Hafu waislam sikuhizi huvaa nguo nyeupe na shela ka wakristo hawataki sare zao kabisa
 
Ngoja nikuelekeze jambo, stress ni kitu cha muda tu na huwa kinatokea temporarily kulingana na upo moment ipi katika maisha yako.

But mimi nilimaanisha depression au msongo wa mawazo. Hiki kitu huwa kina imarika na kuongezeka exponentially as you grow old with unfixed issues..... Yaani tatizo moja linazaa tatizo jipya.

Kimsingi usimuone mtu anapost picha za furaha na video anaimba, anacheka, anaongea na watu, anatoka out, ana afya.... Ila anaporudi nyumbani, na usiku unapoingia akawa mwenyewe huwa dunia yake inakuwa ni giza tupu.

Utajua hayupo sawa kulingana na mwenendo wake watofauti katika jamii.

Fuatilia sana matukio ya watu mbali mbali mashuhuri utagundua kuwa they are fighting secret battles alone..... Wengine hadi wanajiuwa wakiona mziki umezidi spika.
Unalosema ni kweli depression inatesa watu wengi Kama ukiruhusu ikae kwa wingi na hasa uruhusu jamii ikuamulie baadhi ya Mambo, na Hali huwa mbaya zaidi kwa mastar maana huishi ili waonekane wako vizuri kumbe Wana Hali mbaya, mfano Vanessa mdee Hadi akasema ukweli wa Hali yake.
Diamond mwenyewe ingawa anabadilisha wanawake na kuzalilisha juu, but he is not happy hata ukimuona usoni waweza jua Kuna vitu haviko sawa na anapitia, ni vile tu hufanya Ila ku wa fool ma fans wake.
Depression ni mbaya ukifika usiku hulali hata kidogo wallah
 
Siamini umefungua uzi upate taarifa za kuvinjika ndoa ya mtu usie mjua...KAZI UNAYO KWELI...?. Fanya ata kuwa unadeki chumba chako TU.mambo ya huyu Mama yanakuhusu Nini?
 
Heeeeh huyu mwanaume kamtoa wapi? Mbna ana vigezo vyote vya kuitwa mwanaume boraaah. Lol mbutananga kaokota dodo chini ya mnazi.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16][emoji28][emoji28][emoji16][emoji122]
 
Ogopa sana wanawake kwa wanaume wanaopost post huko Instagram na kujifanya oooh...ni rules model. Usishangae sembe nayo wanauza. Vipi yule mwingine wa fursa,na mumewe waliachiwa?
 
Petit mwana kulitaka mwana kulipata toka kwa kajala mpaka kwa esma kisha kwa mdada mmoja akamuoa na kumuacha ghafla akamrudia esma. Umario shida sana.

Maisha waliyopitia zamani yanawawinda mno wanajitahidi kuyasahau kwa kufanya kufulu ila bado hayafutiki.

Naona mondi hajasoma mchezo dar saiv haipo mikononi mwao(mkuu wa mkoa wa saiv si wa mchezo),angecheza kwa stepu. Zile hela walizomwaga wakianza daiwa kodi watalalamika

chereko chereko wakiweka zile zao halisi nzuri sana. Unashuhudia uhalisia unaona mpunga unavyofinywa kihalali

Nyumbani kuna benten wa mama yake(nae busy kukimbizana na ujana) yaan huku moto kule moto.
Hawa mastar uchwara kazi yao nikubadilishana na kushare tu wanaume na wanawake, Sasa huyo petit huyo dada aliye mwacha ndo waliendana Sasa matokeo yake esma kamuacha kaenda kuolewa na mwanaume mwingine, na dai kamponda kuwa hakuwa na kitu.
Hao kina Diamond hzo elfu kumi kumi za show off hazifiki hata milion mbili, na makondo no longer in power Ile biashara ya madawa sijui itakuwaje?
 
Tofautisha kulipiza na kuendelea na maisha Sasa huyo open mzee anatokaje na kiben ten, angetafta mwanaume anayemzidi ex waako viwango Sasa huyu anatoka na mtoto wa kumzaa si mjinga sasa
Shida ni kwamba hakuna mzee anataka kuoa demu mzee 😂😂😂!!! RIP Mengi alionesha mfano wa wazi.

Wazee wanataka kula vitoto vibichi sio madungaembe, kwahio salama yenu ni kuwaoa vibenten au vijana wadogo msingi kiuno ambao wanapenda slope za kipuuzi na ndio ambao wapo available.
 
kama kuumia huwa tunaumia wote....sema huwa watu wanajikaza tu...lakini kidonda huwa hakiponi mapema...kupenda wakati mwingine huacha majeraha makubwa kwenye mioyo ya watu....am a victim.....
Uko sahihi break up yoyote huacha maumivu makali moyoni kwa wahusika wote na inachukua mda ku recover hao wanaokimbilia mahusiano mapya huwa wanafikiria ka njia ya kujiponyesha kumbe wapi, nikutesa tu mtu mpya ili kupunguza maumivu.
 
Ni heshima pale mwanamke atakapo lipiwa mahari bila yeye kuongeza hata senti,bila kulazimisha hio ndoa. Bila kumbeba mume kuanzia mavazi hadi makazi. Huyu jamaa kaoa ila kaenda kuishi nyumba ya mke ambayo ex mume alikua anaishi humo pia.
Huyo kaolewa mwanaume, yasije kujirudia ya uchebe
 
True uswahili unachangia sana. Wanawake wa kiswahili wakiwa na uhakika wa laki kwa wiki au mwezi basi wanakuwa na fujo sana na akili zao zilivyo takataka
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]wanapenda shughuli na sherehe ya ndoa wakati kuifanya ndoa idumu hawawezi. Ndio maana wafa maskini kila siku masherehe na hvi ndoa zao rahisi kuvunjika.
 
Ni heshima pale mwanamke atakapo lipiwa mahari bila yeye kuongeza hata senti,bila kulazimisha hio ndoa. Bila kumbeba mume kuanzia mavazi hadi makazi. Huyu jamaa kaoa ila kaenda kuishi nyumba ya mke ambayo ex mume alikua anaishi humo pia.
Kama namuona mida hii na pensi yake yupo sebuleni na remote ana angalia TV.
😀😀😀😀😀
 
Hahaaaa nilivoona huyo mwanaume na amepokelewa ukweni kwa upendo nikasoma huyu mbutananga kiboko, sijui alimtolea wapi mwanaume mzuri hivi na mpole.
Yaan hapana kwakweli saivi cheusi mangla atulie tyuuuh na ndoa yake, na aache ule ukichaa wake khaaaah.
 
Shida ni kwamba hakuna mzee anataka kuoa demu mzee [emoji23][emoji23][emoji23]!!! RIP Mengi alionesha mfano wa wazi.

Wazee wanataka kula vitoto vibichi sio madungaembe, kwahio salama yenu ni kuwaoa vibenten au vijana wadogo msingi kiuno ambao wanapenda slope za kipuuzi na ndio ambao wapo available.
[emoji23][emoji23][emoji23]kwahyo kwa Sasa watu wanatumia ule msemo wa gari bovu linavutwa na gari jipya lenye engine nzuri sio[emoji23][emoji23]
 
Yaan hapana kwakweli saivi cheusi mangla atulie tyuuuh na ndoa yake, na aache ule ukichaa wake khaaaah.
Naona katulia na kapendeza mwenyewe I think kipindi Cha nyuma alikuwa na stress
 
Back
Top Bottom