Wazazi wao waliwaachia pesa na biashara za maana. Umeona ee na vinywele vyake visivyo na shukrani pesa ipo si viote tu na kustawi kama shamba lake la mboga mboga.
Hahaha kuna mmoja aliniambia yeye shida yake kubwa ni adress! Aitwe Mrs BAK ! Sasa hao ndio wale wanakufa na tai shingoni ili tu aonekane nae ameolewa! Sasa mume wa open kitchen wako kny ile ile nyumba ya former hazband,hivi kuna heshima kweli!
Hivi unakumbuka zile tuhuma kuwa alikuwa ana mahusiano ya kimapenzi ya jinsia moja na mdada anaemiliki nyumba ambayo wasafi wanaitumia kama office..... Resty nadhani kama sikosei.
Yaani kwa kifupi mdada inaonekana anapelekeshwa na kichwa chake unaweza kuta mwanaume amevumilia mengi sana hapo.....
Aaaah yule mzee nae alichukua undersize kiukweli. Mzee wa miaka 75 utake kupambana na mdada mbichi kama Kylin, mimi mwenyewe hapa akinipea kuna muda nitaomba poo nikusanye sukari ya kurejea ulingoni.
Sasa mzee akajikuta cowboy akakwea farasi kijana akavunjwa kiuno....
Mimi swali langu hivi ile nyumba yenye swimming pool ilikua ya mwanamke au ya yule mume wake? Mbona hadi sasa anaishi huyu mama? Je huyu mama anamiliki ule mjengo kwa kazi ya umama ntilie? Swali gumu sana au ni nyumba ya urithi?
Resty anamiliki ule mjengo acheni utani baba yao mbona choka
Alijengewa na mwanaume ni nyumba ya mtoto wa resty
Okay duh. Nilishangaa nikazani uyo resty nae kwao kuna hela kama upendo
Mahaba dada!Mie hata wiki moja siwezi ishi naye! Hakawii kuwa anasikiza tu bongofleva na matamthilia ya sultan sijui kara sevda sijui[emoji38][emoji38]!
Basi tu imekuwa trend ya kijinga Sana...wewe umri Kama wa huyu dada unahamu gani Tena kuishi na mwanamume mwingine? Unawaonesha Nini wanao? Si ana binti kbs huyu? Unashindwaje kukaa na wanao ukawalea tu? Kama ni Mahusiano yako yawe ya Siri sirini! Eti unaachika unaenda kuolewa Tena oyeee[emoji1784][emoji1784][emoji1784]!tena unaolewa na bongofleva..hutaacha ona rangi zote
Hamna tena hawa mama ntilie wa insta wengi hawategemei umama ntilie kuwapa hela ni kama pazia tu la kufunikia chanzp halali
Unasema zile kuku za resty anazouza paja moja na ndizi mbili kwa elfu 10 ni zuga tu? Kwamba kuna chanzo kingine nyuma ya pazia? Ila kusema kweli nnawajua wauza chipsi kuku wengi mtaani hawajawahi kwenda holiday dubai kama resty
Siifahamu my dearNaomba handle ya mumewe wa zaman insta,kama unaijua.
Nasubiria uzi wa ndoa ya mbuta nanga jamani ee mbuta nae kaolewa tena kanisani kabisaa
Sijatukana mamba Ila unene wetu wa Africa ni ulaji wa wanga mwingi lakini mazoezi hamna hasa wa mjini vijijini huko ni nadra kukuta watu wanene, hata Mimi nikitulia tu bila mazoezi mwili huja kwa Kasi ya 4g hata tunafanya nao mazoezi walikuwa wanene Sana sikuhizi wamekuwa wembamba Hadi inashangaza. So unene ni choice yako na ulaji tu Wala haihusiani na kutukana mamba au niniUmezaa? Kama haujazaa, usitukane mamba
Mbona hyo nyumba imechukuliwa na baba mtoto baada ya kutoka jela alipokuwa kifungoni kwa tuhuma za dawaAlijengewa na mwanaume ni nyumba ya mtoto wa resty
Ubatili tu!Mahaba dada!
Huyu resty Kuna siku nniliona Rachel kamchamba eti alikuwa punda wa shkuba, ingawa simjui huyo shkuba ni Nani?Unasema zile kuku za resty anazouza paja moja na ndizi mbili kwa elfu 10 ni zuga tu? Kwamba kuna chanzo kingine nyuma ya pazia? Ila kusema kweli nnawajua wauza chipsi kuku wengi mtaani hawajawahi kwenda holiday dubai kama resty
Hii imenishangaza Sana dah...kumbe zile biashara bado zimetamalaki tuHamna tena hawa mama ntilie wa insta wengi hawategemei umama ntilie kuwapa hela ni kama pazia tu la kufunikia chanzp halali
Huyu resty Kuna siku nniliona Rachel kamchamba eti alikuwa punda wa shkuba, ingawa simjui huyo shkuba ni Nani?
Mbona hyo nyumba imechukuliwa na baba mtoto baada ya kutoka jela alipokuwa kifungoni kwa tuhuma za dawa