Upendo wa Open Kitchen kafunga ndoa. Je, nini kilimpata yule mumewe wa mwanzo?

Upendo wa Open Kitchen kafunga ndoa. Je, nini kilimpata yule mumewe wa mwanzo?

Unatoa tu povu la bure Mimi from begining nilisema hii ndoa haudumu na kweli imekufa kifo chali Cha mende huku upendo akiumizwa tuwe tunaangalia na watu kabla ya mahusiano huyo pendo alivo na huo mwili na kila kitu kujitaftia ben ten ni anajitaftia maradhi ya moyo. Ben ten anataka kula maisha na kuzaa huyo pendo staweza. Wanawake msiojiamini ka huyo upendo mtataseka Sana kuchunguliwa papa zenu
[emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Hahaaa witness, na shoga angu Yuko ka upendo anateseka kuhonga vibeten ambavyo havitaki kutembea naye barabarani. Lazima mda mwingine kujua relationship sio za kila mtu
Ha ha ha we cariha wewe unanichana mbavu bana
 
Unatoa tu povu la bure Mimi from begining nilisema hii ndoa haudumu na kweli imekufa kifo chali Cha mende huku upendo akiumizwa tuwe tunaangalia na watu kabla ya mahusiano huyo pendo alivo na huo mwili na kila kitu kujitaftia ben ten ni anajitaftia maradhi ya moyo. Ben ten anataka kula maisha na kuzaa huyo pendo staweza. Wanawake msiojiamini ka huyo upendo mtataseka Sana kuchunguliwa papa zenu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dea wee unamwaga tyuuuh upupu,
Miss San u moaah
 
Hahaaa witness, na shoga angu Yuko ka upendo anateseka kuhonga vibeten ambavyo havitaki kutembea naye barabarani. Lazima mda mwingine kujua relationship sio za kila mtu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tobaaaah nimecheka had mbavu zinauma, eti havitaki kutembea nae barabarani. Khaaaah
 
Mapenzi ya kwenye mitandao full kupostiana ni sura ya mbele tu, si kila uhusiano unaopostiwa insta ni bora kuliko usio postiwa. Tuishi maisha yetu.
 
Haya matinginya inabidi yaelewe kuwa hakuna serengeti boy anayapenda from the heart ila ni pesa tu ndo inasababisha. So kama wanapatwa na miwasho watafute vijana wa kuwasugua tu, lakini wasiwafuge kama umbwa. Watapata tabu sana.
 
Haya matinginya inabidi yaelewe kuwa hakuna serengeti boy anayapenda from the heart ila ni pesa tu ndo inasababisha. So kama wanapatwa na miwasho watafute vijana wa kuwasugua tu, lakini wasiwafuge kama umbwa. Watapata tabu sana.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom